Kwa ambae anafahamu Waziri wa Ajira kwa sasa ni nani Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani?

Kwa ambae anafahamu Waziri wa Ajira kwa sasa ni nani Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani?

Ambivert88

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
3,609
Reaction score
6,388
Wakuu naomba kufahamu maana hizi pangua za hivi karibuni zimesababisha nivurugwe sielewi elewi naomba kwa anaefahamu anifahamishe vizuri.

Hivi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa sasa ni nani?

Naombeni kumfahamu wakuu Waziri anaeshughulikia masuala ya Ajira kwa sasa ni Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani Kikwete?
 
Wakuu naomba kufahamu maana hizi pangua za hivi karibuni zimesababisha nivurugwe sielewi elewi naomba kwa anaefahamu anifahamishe vizuri.

Hivi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa sasa ni nani?

Naombeni kumfahamu wakuu Waziri anaeshughulikia masuala ya Ajira kwa sasa ni Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani Kikwete?
Bado nasema, wote tutachanganyikiwa tuu!!
 
Ovyo kivipi
Kuna mdau mmoja alileta uzi humu jf akimfananisha waziri wa kazi,vijana na ajira wa Kenya na Ridhiwani Kikwete, yule wa Kenya ukipitia kurasa zake za mitandao ya kijamii unaona ni namna Gani anavyowapambania vijana kupata kazi na inafika mpaka kuwaangangaikia kupata VISA lakini ukipitia kurasa za Ridhiwani yeye ni kumsifu Samia tu mwanzo mwisho.

Sasa kijana wa Tz unakuta anahangaika kutafuta kazi waziri wake ansyeshughulikia hayo mambo hamjui kwa vile tu huyo waziri amejiweka mbali huku akiendekeza uchawa badala ya kuwasaidia vijana wenye uhitaji
 
Kuna mdau mmoja alileta uzi humu jf akimfananisha waziri wa kazi,vijana na ajira wa Kenya na Ridhiwani Kikwete, yule wa Kenya ukipitia kurasa zake za mitandao ya kijamii unaona ni namna Gani anavyowapambania vijana kupata kazi na inafika mpaka kuwaangangaikia kupata VISA lakini ukipitia kurasa za Ridhiwani yeye ni kumsifu Samia tu mwanzo mwisho.

Sasa kijana wa Tz unakuta anahangaika kutafuta kazi waziri wake ansyeshughulikia hayo mambo hamjui kwa vile tu huyo waziri amejiweka mbali huku akiendekeza uchawa badala ya kuwasaidia vijana wenye uhitaji
Kwa hio Rizimoko ndio Waziri wa Ajira? Au nimesikia vibaya una uhakika au umekosea kuandika? Rizimoko ndio Waziri wa Ajira na Kazi kwa Vijana na wenye Ulemavu? Hio Wizara haiwezi sio ya kutembelea vituo vya mafuta hio ni zaidi ya Sheli
 
Kwa hio Rizimoko ndio Waziri wa Ajira? Au nimesikia vibaya una uhakika au umekosea kuandika? Rizimoko ndio Waziri wa Ajira na Kazi kwa Vijana na wenye Ulemavu? Hio Wizara haiwezi sio ya kutembelea vituo vya mafuta hio ni zaidi ya Sheli
Ndio waziri mwenye dhamana wa hiyo wizara.
 
Wakuu naomba kufahamu maana hizi pangua za hivi karibuni zimesababisha nivurugwe sielewi elewi naomba kwa anaefahamu anifahamishe vizuri.

Hivi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa sasa ni nani?

Naombeni kumfahamu wakuu Waziri anaeshughulikia masuala ya Ajira kwa sasa ni Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani Kikwete?
Kawaulize inzi wa chooni ndiyo wanawajua hao viongozi maana kazi kubwa wanayo fanya ni kula na ku💩 tu ...hivyo nzi wanawajua vizuri
 
Mhe. Ridhiwan J. Kikwete ndiye waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.
 
Back
Top Bottom