Kwa ambae anafahamu Waziri wa Ajira kwa sasa ni nani Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani?

Kwa ambae anafahamu Waziri wa Ajira kwa sasa ni nani Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani?

Wakuu naomba kufahamu maana hizi pangua za hivi karibuni zimesababisha nivurugwe sielewi elewi naomba kwa anaefahamu anifahamishe vizuri.

Hivi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa sasa ni nani?

Naombeni kumfahamu wakuu Waziri anaeshughulikia masuala ya Ajira kwa sasa ni Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani Kikwete?
Nafikiri Ni ndalichako,Ila Sina uhakika
 
Wakuu naomba kufahamu maana hizi pangua za hivi karibuni zimesababisha nivurugwe sielewi elewi naomba kwa anaefahamu anifahamishe vizuri.

Hivi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa sasa ni nani?

Naombeni kumfahamu wakuu Waziri anaeshughulikia masuala ya Ajira kwa sasa ni Ndejembi, Ndalichako au Ridhiwani Kikwete?
Ni Ridhiwan Kikwete.
 
Back
Top Bottom