Ndiyo maana mi maza simtaki sababu siyo mbara mwenzetu na anataka kutugawa kwa maslahi yake binafsisio cha hovyo bali walijifanyia self assessment na kukundua SWOC (strengths, weaknesses, Opportunities na challenges) zao kabla ya uchaguzi. Kazi hii ya kujifanyia tathimini ndiyo inayowaleta akina Makonda, Dotto na kuwanyooshea kidole akina Majaliwa Kasimu Majaliwa. Kazi hii ya Makonda kwa vyovyote vile ina baraka za mwenyekiti wa CCM ambae kwa vyovyote vile Majaliwa hakuwa chaguo lake.
Muulize yeye Samia sasaKwanini yeye Samia asimfukuze kama madai Yako yana ukweli?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sijibugi maswali ya kitoto mimi!Kwa tume ipi?
Uchaguzi wa serikali za mitaa unasimamiwa na nani??
Na wewe ni mtoto wa Shule!Sijibugi maswali ya kitoto mimi!
Wewe acha tabia zako za kibaguzi. Ukimaliza kujibagua kiubara baadaye utakuja kubagua watu kimkoa, wilaya, tarafa, kata, kijiji, kitongoji, kaya hadi kwenye familia yako utapanda tabia ya ubaguzi. Wewe si ajabu siyo mtanzania.Ndiyo maana mi maza simtaki sababu siyo mbara mwenzetu na anataka kutugawa kwa maslahi yake binafsi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule jamaa ni kama vile viledio vya kichina!!! Vina sauti mpaka mtaa wa tatu!!!
Hujui chochote! Wewe na Makonda wote " Manzi ga Nyanza"!Mwenezi ni sawa na HR kwenye kampuni, au taasisi yoyote ile.
Anauwezo wa kumuwajibisha hata mkurugenzi kimfumo. Na mkurugenzi akitaka asiwajibishwe na RASILIMALI WATU (HR) labda amfukuze kazi. Ndiomaana unaona ma HR makini kwenye makampuni hawadumu.
Hivyo MAKONDA yupo sahihi kuhoji kuhusu yeyote ambae hafuati/hawajibiki kutokana na ilani ya chama chao.
Sawa dada anguWewe acha tabia zako za kibaguzi. Ukimaliza kujibagua kiubara baadaye utakuja kubagua watu kimkoa, wilaya, tarafa, kata, kijiji, kitongoji, kaya hadi kwenye familia yako utapanda tabia ya ubaguzi. Wewe si ajabu siyo mtanzania.
Kama ilivyoanishwa katika katiba ya chama cha mapinduzi ya mwaka 1977 na marekebisho yake ya mwaka 2018 ibara ya 107 ibara ndogo ya 2 seheme a-f. Asante sanaIdara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
- Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
- Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
- Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
- Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
- Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
- Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
Naam!Na wewe ni mtoto wa Shule!
Mswahili anaweza kukusema kwa kanga tu! au kukusunya au kukukata jicho.Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
- Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
- Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
- Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
- Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
- Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
- Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
Kiko wapi?Tafsiri yako si sahihi hata kidogo wote tumemskiliza,vyura ni nyinyi.
Mwisho aliwapongeza wajumbe wote wa kamati kuu na halimashauri kuu kwa kupitisha jina lake
Wewe una mimba ya Makonda sio bure kwa hili ghubu
Shoga yule hana uwezo wa kusimamisha wala kumpa mtu mimbaWewe una mimba ya Makonda sio bure kwa hili ghubu