Kwa ambao hawajui, hizi ndizo kazi za Mwenezi wa CCM Taifa. Makonda anajua ana mtu nyuma yake aliyempa maelekezo maalum

Kwa ambao hawajui, hizi ndizo kazi za Mwenezi wa CCM Taifa. Makonda anajua ana mtu nyuma yake aliyempa maelekezo maalum

Makonda anaielewa audience vizuri na anahakikisha inamjadili yeye na personality yake kuliko matatizo ya msingi ya watanzania ambayo hayajasababishwa na tabia yake. Watanzania baadhi wanahurumia watu ambao wanawajibishwa kwa kuwa nafasi walizopewa na wanazolipwa kwa kodi zao hawazifanyii kazi ipasavyo. Wanataka wawajibishwe kwa namna fulani hiviii waliyozoea. Kazi Iendelee.
 
sio cha hovyo bali walijifanyia self assessment na kukundua SWOC (strengths, weaknesses, Opportunities na challenges) zao kabla ya uchaguzi. Kazi hii ya kujifanyia tathimini ndiyo inayowaleta akina Makonda, Dotto na kuwanyooshea kidole akina Majaliwa Kasimu Majaliwa. Kazi hii ya Makonda kwa vyovyote vile ina baraka za mwenyekiti wa CCM ambae kwa vyovyote vile Majaliwa hakuwa chaguo lake.
Ndiyo maana mi maza simtaki sababu siyo mbara mwenzetu na anataka kutugawa kwa maslahi yake binafsi
 
Wew mwandishi uwezo wako mdogo sana, Paul makonda yuko sahihi. Wew ndio umekalili uzembe wa watangulizi wake,CCM ndio mwajiri wa Rais hakuna mtu mkubwa zaidi ya CCM
 
Ndiyo maana mi maza simtaki sababu siyo mbara mwenzetu na anataka kutugawa kwa maslahi yake binafsi
Wewe acha tabia zako za kibaguzi. Ukimaliza kujibagua kiubara baadaye utakuja kubagua watu kimkoa, wilaya, tarafa, kata, kijiji, kitongoji, kaya hadi kwenye familia yako utapanda tabia ya ubaguzi. Wewe si ajabu siyo mtanzania.
 
Mwenezi ni sawa na HR kwenye kampuni, au taasisi yoyote ile.
Anauwezo wa kumuwajibisha hata mkurugenzi kimfumo. Na mkurugenzi akitaka asiwajibishwe na RASILIMALI WATU (HR) labda amfukuze kazi. Ndiomaana unaona ma HR makini kwenye makampuni hawadumu.

Hivyo MAKONDA yupo sahihi kuhoji kuhusu yeyote ambae hafuati/hawajibiki kutokana na ilani ya chama chao.
Hujui chochote! Wewe na Makonda wote " Manzi ga Nyanza"!
 
Wewe acha tabia zako za kibaguzi. Ukimaliza kujibagua kiubara baadaye utakuja kubagua watu kimkoa, wilaya, tarafa, kata, kijiji, kitongoji, kaya hadi kwenye familia yako utapanda tabia ya ubaguzi. Wewe si ajabu siyo mtanzania.
Sawa dada angu
 
Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
  • Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
  • Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
  • Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
  • Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
  • Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
  • Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
Kama ilivyoanishwa katika katiba ya chama cha mapinduzi ya mwaka 1977 na marekebisho yake ya mwaka 2018 ibara ya 107 ibara ndogo ya 2 seheme a-f. Asante sana
 
Ukimuona mbwa anabweka sana ni kati ya haya mawili;
1. Yupo karibu na kwao! AU
2. Mmiliki wa "mbwa" yupo karibu

Bashite ana maagizo maalumu aliyopewa na "boss" wake kwani inaonekana huyu BOSS ameshachafukwa na yule "MSTAAFU'
 
Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
  • Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
  • Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
  • Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
  • Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
  • Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
  • Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
Mswahili anaweza kukusema kwa kanga tu! au kukusunya au kukukata jicho.
YeYe ameamua kumtumia Makonda na Mpoto kufikisha ujumbe kwa anao-pretend anaheshimianan. nao.
 
Tafsiri yako si sahihi hata kidogo wote tumemskiliza,vyura ni nyinyi.

Mwisho aliwapongeza wajumbe wote wa kamati kuu na halimashauri kuu kwa kupitisha jina lake


Wewe una mimba ya Makonda sio bure kwa hili ghubu
Kiko wapi?
 
Back
Top Bottom