Kwa bandiko la Joti Twitter na maoni ya raia, hii ndiyo nyimbo iliyotamba Tanzania ya muda wote


Mods nawaomba mfunge huu Uzi shughuli imeishia hapa.




Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Watoto WA miaka ya 2000 mna tabu sana huyo Vanessa Hana hit hata moja kumfikia Saida kakori alivyokuwa hit

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Dude swali langu lilitoka hapa kwenye comment ya joseph1989 na muhusika amenijibu nikamuelewa. sasa wewe unakuja na stori zako za Saida karoli sijui nani kakauliza au unadhani simjui saida.
 
List yangu ya nyimbo Kali Tanzania
1.Kwangwaru
2.Macmuga
3.Piipii
4.Starehe
5.Binti Kiziwi
6.Cindelella
 
List yangu ya nyimbo Kali Tanzania
1.Kwangwaru
2.Macmuga
3.Piipii
4.Starehe
5.Binti Kiziwi
6.Cindelella
 
List yangu ya nyimbo Kali Tanzania
1.Kwangwaru
2.Macmuga
3.Piipii
4.Starehe
5.Binti Kiziwi
6.Cindelella
 
List yangu ya nyimbo Kali Tanzania
1.Kwangwaru
2.Macmuga
3.Piipii
4.Starehe
5.Binti Kiziwi
6.Cindelella
 
List yangu ya nyimbo Kali Tanzania
1.Kwangwaru
2.Macmuga
3.Piipii
4.Starehe
5.Binti Kiziwi
6.Cindelella
 
List yangu ya nyimbo Kali Tanzania
1.Kwangwaru
2.Macmuga
3.Piipii
4.Starehe
5.Binti Kiziwi
6.Cindelella
 
Ki ukweli dogo alipindua meza
 
2018 kila m Tz aliiokota
2010 piiipiiii
2021 bia ilikua tamu
Nikusaidieje prof J
 
Starehe ndoo nyimbo iliyohit zIdi
 
Starehe unakalishwa hata na Hip Hop mdundiko ya mambo jambo
 
Starehe hata ikipigwa leo bado masikio yatasimama, wengi hawaupi heshima yake sababu ya muimbaju kufulia ndo wabongo tulivyo ila huo wimbo utaishi kwa muda mrefu Sana sababu aliimba uhalisia kabisaaa na isingekuwa ARV zenu hizo mpk kesho ungeimbwa km wimbo wa taifa,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…