Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

🙏🤝🔊🆒
 
1. Zamani ni lini? Unawezaje kuongelea mambo ya Kikwete na Lowassa bila kuzungumzia mambo ya zamani wakati hawa watu wana historia kutoka Chuo Kikuu?

Kwani mtu akiwa anaujua utani wa vijiweni ndiyo maana yake hana visasi? Unaelewa kuwa mtu mwenye kifua cha kuweka maneno anaweza pia kuwa mtu wa visasi sana tu? Akawa mtu wa kufuata maneno ya Shakespeare "revenge is a dish best served cold". Yani mtu anayatunza maneno miaka na miaka, anakuchekea tu, halafu siku hujategemea kabisa anakupiga daflao. Unaujua huo msemo wa "revenge is a dish best served cold"?

Mbona unasoma kitu ambacho mimi sikuandika?

Mimi nimeandika "Kikwete ana kifua cha kuweka maneno" wewe unasoma "Kikwete hana visasi". Where do you get this?

Unasoma ninayoandika au unayotaka niandike ambayo sijaandika?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Huzo habari za wasaidizi wake nimekwambia siwezi kumtetea Kikwete pote, kwa sababu pengine aliona anapata political advantage na political expediency akapafumbia macho.

Kwa nini unazing'ang'ania bado? Unataka niwe ninesema namtetea Kikwete kwenye kila kitu wakati sijasema hivyo?

Mkuu, unajua kusoma? Unasoma ninayokujibu?

Nishakwambia Kikwete siwezi kumtetea huko, kwa nini unataka kufanya kama bado nataks kumtetea?

Una matatizo ya kisaikolojia kwenye kichwa chako yanayokufanya ushindwe kusoma vizuri ninayoandika?

Nimeshakwambia "Hapa kwa kweli siwezi kumtetea Kikwete. Kqa sababu mengine hakuyakemea, inaonekana yalimoa faida ya kisiasa ndiyo maana hakuyakemea". Halafu bado unaniandama kwa kumtetea Kikwete?

Una matatizo gani wewe?

Mimi nikisema "Huyu Kikwete ni kiongozi asiyejali maneno ya watu" ni kumsifia? How? Kiongozi kutojali maneno ya watu ni kukwepa wajibu wake, ni dharau, ni kuwa kichwa ngunu, ni kukosa unyenyekevu, ni kutowapa wananchi haki yao ya kusikilizwa. Wewe unaonaje mimi kusema kiongizi hasikikizi maneno ya watu kuwa namsifia?

Again, unajua kusoma? Una matatizo gani?

You rest your case? Which case? You don't have one.
 
Kulikuwa na ulazima gani Lowasa awe Rais?

Lowasa alishakuwa na kashfa za uwizi ,CCM walikuwa wanalinda brand ...It was a technical trick..


lowasa analazimisha mpaka akaenda upinzani yeye ndio mweny tamaa acheni unafiki...Shule za kata mlimsifu kwa vile alikuwa waziri mkuu wala idea ilikuwa sio yake ila Escrow mnadai kasingiziwa wakati alikuwa waziri mkuu 😅😅😅.


Lowasa ndio msaliti kwa tamaa za uongozi mtu anaapa lazima awe Rais kabla ya kufa mbona kafa bila ya kuwa Rais😁😁


Lowasa ndio msaliti mkuwa mpaka kumpa pesa Mbowe ili agombee CDM...lowasa ,Membe na Mbowe ndio wasaliti wakubwa kutokea.
 

Barua ya kujiuzulu kumnusuru bosi na maswahiba utaiandikaje?

Hata ukisema "mimi sina makosa, ila najiuzulu kwa kuinusuru serikali kutoka kwenye matatizo yanayohusiana na mimi kuwapo serikalini" tayari unanuka, tayari umejiweka katika matatizo ya kukufanya uwe untenable. Kuna calculations fulani umekosea hapo.

Bismarck said Politics is tge art of the possible.

Caesar's wife must be above suspicion.

Kuhusu Kikwete.

Kwanza kabisa mna uhakika gani Kikwete alikata jina la Lowassa? Kwa uamuzi wake tu. Hizi habari zina uhakiki gani? Was Kijwete realky that powerful?

Pili,

Chama kinapeleka vipi mbele jina la mtu aliyejiuzulu kwa kashfa kubwa ya rushwa na kutoa angalau optics kwamba ama ameshiriki moja kwa moja katika hiyo rushwa, ama ameshindea kusimamaia wizara rushwa hiyo isitokee?

Yani chama badala ya kujikita kwenye ilani na kampeni, kianze kumsafisha mgombea na ku explain kwa nini mgombea alijiuzulu, huku wapinzani wakimpiga mawe kwamba huyu ni mla rushwa aliwahi mpaka kujiuzulu kwa rushwa?

Kwa nini chama kichague mgombea huyo wakati kina wagombea wengine ambao hawana wingu hilo la kashfa ya rushwa na wanaweza kuanza kampeni moja kwa moja bila kuhitaji kusafishwa?
 
Rudi ukasome bandiko kwa utulivu utapata majibu ya kila neno lako hapo juu.

FYI nimeandika wazi, ENL hakudhulimiwa Urais. Ngoyai alidhulumiwa taratibu ambazo alishinda
Wajumbe ndio walliopaswa kuamua hatma yake, kukatwa jina ni kukiuka taratibu

CCM walijua amechukua Form. Ikiwa walijua ni Fisadi wangetumia kanuni kumzuia hata asichukue Form.

Kumwacha achukue halafu kuondoa jina kwasababu alikuwa ana ushawishi ni kumdhulumu.
 
Yule alishakuwa na kashfa CCM sio wajinga ila wanatawala wajina..

Tamaa gani kaonyesha Lowasa kisa cha pesa kwenda kuhonga ndugu yake wa kaskazini ili agombee kule ....Punguzeni ujinga lowasa hakupangwa kuwa Rais wa Tanzania hamuwezi kupingana wala Mbowe hawezi kuwa Rais ,hivyo ndio mambo yalivyo.

Mnaangalia kikwete wakati alikatwa kulinda brand mtu ana kesi kibao japo sio uhakika...Unamsikiliza pro Tibaijuka ambaye ni wale wale wenye kesu za wizi .

Lowasa alikuwa na tamaa za madaraka ndio maana kafeli ,acheni unafiki semeni ukweli kulikuwa na haja gani kwenda upinzani na Mbowe kumsapot kisa kanda yao ili awe Rais ...Jamaa yenu alikuwa mzuri ila alitaka kutumia pesa awe Rais kwa lazima jambo ambalo haliwezekani ..

Baadae karudi CCM what a hypocrisy ?mnatetea tu ujinga huyo Tibaijuka ana kesi kibao kiburi cha kujiona hana lolote alikuwa CCM ila mda ushamtupa mkono.
 
Umeandika kwa uchungu usiomithilika,hakika Lowassa alishinda urais ni imani yangu pia na kwenye mtandao wa X Tibaijuka amesema jambo ambalo ni uhalisia "mfumo".
 
Kukatwa kwa EL kulituletea majanga watz tukaongozwa na mshamba wa madaraka kwa kivuli cha uzalendo
 
Wala sina tatizo nae huyo, kama ana hoja yake aje nayo nipo nitamjibu, lakini kutumia hoja zako kunijibu mimi bila kujua wapi tumeanzia na kipi kilinifanya nikakujibu vile, namuona kama aliyedandia treni kwa mbele.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Bora Lowasa lakini alichomfanyia SALIM A SALIM ni Zaid Alimuita muislam mwenye misimamo mikali hafai kupewa nchi akamalizia kuwa SALIM ni Hizbu
Binafsi naona dhulma aliyomfanyia EL haimithiliki,kimsingi kufanya deal na mswahili wapaswa kua makini,waswahili wana hulka ya unafiki
 
Ume panic. I repeat; I rest my case.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
W
Watu mliofilisika kifikra ndio mnaowaza masuala ya ukanda na ukabila,nchi hii watu wa kaskazini mnatuchukuliaje eti!?.
 
Ume panic. I repeat; I rest my case.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Kupanic ni nini? Unahakikishaje hapa mtu ka panic na hapa anaandika kwa passion tu hajapanic?

Unajuaje wewe unapoona mtu ka panic, mwenzako hajapiga chafya tu kwa reflex action ila wewe nyoronyoro unaona amepanic?

Nimepanic vipi, wapi, kwa sababu gani, unajuaje nimepanic na si wewe uliye panic kusema nime panic?

How do you know you meet the requisite wattage to make me panic and that you are not just flattering yourself by thinking that you could make me panic?

Tutajuaje kuwa hutumii gia ya kuniambia "umepanic" kukimbia mazungumzo haya na kukimbia kujibu hoja na maswali nilliyoyaleta?

Mtu yeyote anayetaka kukimbia maswali anaweza kusema "Umepanic". Kwa nini tusikuchukulie kama mtu anayekimbia maswali kwa gia ya kusema "umepanic"?

You rest your case? Do you even know what a case is?
 
W

Watu mliofilisika kifikra ndio mnaowaza masuala ya ukanda na ukabila,nchi hii watu wa kaskazini mnatuchukuliaje eti!?.
Kama ulivyokuwa bogus angali huko juu umeandika nn?

Eti kaskazini mnamsapot Lowasa kuhusu kutoa Rais sio leo mkajipange🤣🤣🤣🤣...Yaani mtu atoke CCM siku mbili halafu mumpe nafasi ya kugombea kisa ndugu yenu baada ya Mbowe kuhongwa.

Hatuwezi kuongozwa na watu wa hovyo ,matapeli hawana utu ,wezi, wana tamaa za mali


Mpaka kafa hajawa Rais tambua CCM ndio ilimpa nguvu ila sio yeye na usaliti wake...Kama CCM wangetaka angekuwa Rais hilo kalitambua kabla hajafa ndio maana alirudi..


Eti pesa 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…