Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

Nmekupenda bure, hata me huwa spend mtu anayebakisha chakula. N her useme kipunguzwe lakn s kukishka shka na kukiacha, huo n ulimbuken na utovu wa nidhamu.
Wanakera Sana,Ni utomvu kweli wa nidhamu na kutaka kufukuziana riziki ndani ya nyumba...imagine umwage sahani nzima?malaika mgawa riziki akipita anasema Hawa kimewazidia,anapita zake😆
 
Huyu dada ni rafiki yangu kiasi flani maana tuliwahi kuwa karibu kipindi cha nyuma. Nmekuja kutana naye this time ana watoto watatu wana baba tofauti.

Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye watoto. So anahangaika nao sana. Nilipokutana naye tukaongea nilimwonea huruma sana.nikawaza how to help her. Sikumwambia lolote lakini.

Juzi kaniambia anaumwa UTI nikaona leo nimpeleke Hosp. Kwa roho safi kabisa. Pamoja na kuwa najua ana Bima maana anafanya kazi Serikalini.

Akanitajia jina la Hosp flani ndo anapenda aende huko. Nikampeleka.... Tumeenda amepima kila ugonjwa mwilini na kuchukua dawa nyingi sana. Yaani alikuwa anaomba tu apimwe kitu flani,apimwe na hiki, apimwe na kile....

Mwishowe akawa anaomba apewe dawa na nyingine anazo kwenye simu anaomba aandikiwe apewe. Analeta Bill Tsh 378,000. Nilipe. Kweli nimelipa. But ameni disappoint sana. Anaonekana hana utu au hajui thamani ya pesa ya mwenzie.

Wakati mimi nlidhani ataangalia tu UTI ,Typhoid na Malaria. Then tutoke twende fanya shopping ya vyakula awapelekee watoto. Yeye kaona watoto wake wataenda kula madawa.

Tunatoka ananambia "sasa tunaelekea wapi My?" Nimemjibu tu nyumbani kwako.

Anaonekana hajafurahi. Tunarudi ananiambia 'yaani hapa sijui hata nachowaza My.... Nyumbani nimeishiwa kila kitu" nimejisikia uvivu hata kumjibu. Nimeona tu huyu dada akili hana.

Last week tumetoka out akawa anaagiza vinywaji vya gharama na kuku mzima ambaye hakummaliza nikadhani atabeba apeleke nyumbani. Akaacha. Nlimwambia basi si bora angeagiza nusu. Akajibu tu hakutegemea kuku angekuwa mkubwa kiasi kile. Simple like that.

Nimeshindwa namna ya kuendelea kuwaza msaidia. Maana naona hasaidiki. Sijui anawaza nini. Dada mzuri sister du but kichwani mweupe kabisa. Huku analalamika kuwa wazazi wenzie wamemwachia tu watoto ahangaike nao peke yake.

Imeniumiza sana. Akina dada muwe na subra, uvumilivu na upendo. Usimkatishe tamaa mtu anayetaka kukusaidia.
Wewe ndo mweupe Zaidi yake mkuu,,Yani single mother WA watoto watu, kila mmoja na Baba yake! Hujiulizi hao njemba imekuwaje wote wanamwachia watoto? Au wamekufa wote?

Hebu jipige kifua useme "Mimi ni boya"
 
T
Huyu dada ni rafiki yangu kiasi flani maana tuliwahi kuwa karibu kipindi cha nyuma. Nmekuja kutana naye this time ana watoto watatu wana baba tofauti.

Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye watoto. So anahangaika nao sana. Nilipokutana naye tukaongea nilimwonea huruma sana.nikawaza how to help her. Sikumwambia lolote lakini.

Juzi kaniambia anaumwa UTI nikaona leo nimpeleke Hosp. Kwa roho safi kabisa. Pamoja na kuwa najua ana Bima maana anafanya kazi Serikalini.

Akanitajia jina la Hosp flani ndo anapenda aende huko. Nikampeleka.... Tumeenda amepima kila ugonjwa mwilini na kuchukua dawa nyingi sana. Yaani alikuwa anaomba tu apimwe kitu flani,apimwe na hiki, apimwe na kile....

Mwishowe akawa anaomba apewe dawa na nyingine anazo kwenye simu anaomba aandikiwe apewe. Analeta Bill Tsh 378,000. Nilipe. Kweli nimelipa. But ameni disappoint sana. Anaonekana hana utu au hajui thamani ya pesa ya mwenzie.

Wakati mimi nlidhani ataangalia tu UTI ,Typhoid na Malaria. Then tutoke twende fanya shopping ya vyakula awapelekee watoto. Yeye kaona watoto wake wataenda kula madawa.

Tunatoka ananambia "sasa tunaelekea wapi My?" Nimemjibu tu nyumbani kwako.

Anaonekana hajafurahi. Tunarudi ananiambia 'yaani hapa sijui hata nachowaza My.... Nyumbani nimeishiwa kila kitu" nimejisikia uvivu hata kumjibu. Nimeona tu huyu dada akili hana.

Last week tumetoka out akawa anaagiza vinywaji vya gharama na kuku mzima ambaye hakummaliza nikadhani atabeba apeleke nyumbani. Akaacha. Nlimwambia basi si bora angeagiza nusu. Akajibu tu hakutegemea kuku angekuwa mkubwa kiasi kile. Simple like that.

Nimeshindwa namna ya kuendelea kuwaza msaidia. Maana naona hasaidiki. Sijui anawaza nini. Dada mzuri sister du but kichwani mweupe kabisa. Huku analalamika kuwa wazazi wenzie wamemwachia tu watoto ahangaike nao peke yake.

Imeniumiza sana. Akina dada muwe na subra, uvumilivu na upendo. Usimkatishe tamaa mtu anayetaka kukusaidia.
watu wa aina hiii tupo wachache sana.
 
Yaani katika Mambo ya chakula mtu akiacha chakula huwa namuona mshamba na limbukeni wa kupitiliza,kwa Nini uagize kitu hujawahi kula lakini?sijui huwa wanawaza Nini hata!
Nyumbani kwangu ukipakua sahani hairudi nyeupe hata Kama mgeni ukishashika ukasema Asante nauliza hiki nikakitupe??anaona aibu
Nimekupenda bureeee!!safi sana
 
Huyu dada ni rafiki yangu kiasi flani maana tuliwahi kuwa karibu kipindi cha nyuma. Nmekuja kutana naye this time ana watoto watatu wana baba tofauti.

Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye watoto. So anahangaika nao sana. Nilipokutana naye tukaongea nilimwonea huruma sana.nikawaza how to help her. Sikumwambia lolote lakini.

Juzi kaniambia anaumwa UTI nikaona leo nimpeleke Hosp. Kwa roho safi kabisa. Pamoja na kuwa najua ana Bima maana anafanya kazi Serikalini.

Akanitajia jina la Hosp flani ndo anapenda aende huko. Nikampeleka.... Tumeenda amepima kila ugonjwa mwilini na kuchukua dawa nyingi sana. Yaani alikuwa anaomba tu apimwe kitu flani,apimwe na hiki, apimwe na kile....

Mwishowe akawa anaomba apewe dawa na nyingine anazo kwenye simu anaomba aandikiwe apewe. Analeta Bill Tsh 378,000. Nilipe. Kweli nimelipa. But ameni disappoint sana. Anaonekana hana utu au hajui thamani ya pesa ya mwenzie.

Wakati mimi nlidhani ataangalia tu UTI ,Typhoid na Malaria. Then tutoke twende fanya shopping ya vyakula awapelekee watoto. Yeye kaona watoto wake wataenda kula madawa.

Tunatoka ananambia "sasa tunaelekea wapi My?" Nimemjibu tu nyumbani kwako.

Anaonekana hajafurahi. Tunarudi ananiambia 'yaani hapa sijui hata nachowaza My.... Nyumbani nimeishiwa kila kitu" nimejisikia uvivu hata kumjibu. Nimeona tu huyu dada akili hana.

Last week tumetoka out akawa anaagiza vinywaji vya gharama na kuku mzima ambaye hakummaliza nikadhani atabeba apeleke nyumbani. Akaacha. Nlimwambia basi si bora angeagiza nusu. Akajibu tu hakutegemea kuku angekuwa mkubwa kiasi kile. Simple like that.

Nimeshindwa namna ya kuendelea kuwaza msaidia. Maana naona hasaidiki. Sijui anawaza nini. Dada mzuri sister du but kichwani mweupe kabisa. Huku analalamika kuwa wazazi wenzie wamemwachia tu watoto ahangaike nao peke yake.

Imeniumiza sana. Akina dada muwe na subra, uvumilivu na upendo. Usimkatishe tamaa mtu anayetaka kukusaidia.
to be honest kwa hasira ningemtomber then nika mblock kabisa
 
Huyu dada ni rafiki yangu kiasi flani maana tuliwahi kuwa karibu kipindi cha nyuma. Nmekuja kutana naye this time ana watoto watatu wana baba tofauti.

Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye watoto. So anahangaika nao sana. Nilipokutana naye tukaongea nilimwonea huruma sana.nikawaza how to help her. Sikumwambia lolote lakini.

Juzi kaniambia anaumwa UTI nikaona leo nimpeleke Hosp. Kwa roho safi kabisa. Pamoja na kuwa najua ana Bima maana anafanya kazi Serikalini.

Akanitajia jina la Hosp flani ndo anapenda aende huko. Nikampeleka.... Tumeenda amepima kila ugonjwa mwilini na kuchukua dawa nyingi sana. Yaani alikuwa anaomba tu apimwe kitu flani,apimwe na hiki, apimwe na kile....

Mwishowe akawa anaomba apewe dawa na nyingine anazo kwenye simu anaomba aandikiwe apewe. Analeta Bill Tsh 378,000. Nilipe. Kweli nimelipa. But ameni disappoint sana. Anaonekana hana utu au hajui thamani ya pesa ya mwenzie.

Wakati mimi nlidhani ataangalia tu UTI ,Typhoid na Malaria. Then tutoke twende fanya shopping ya vyakula awapelekee watoto. Yeye kaona watoto wake wataenda kula madawa.

Tunatoka ananambia "sasa tunaelekea wapi My?" Nimemjibu tu nyumbani kwako.

Anaonekana hajafurahi. Tunarudi ananiambia 'yaani hapa sijui hata nachowaza My.... Nyumbani nimeishiwa kila kitu" nimejisikia uvivu hata kumjibu. Nimeona tu huyu dada akili hana.

Last week tumetoka out akawa anaagiza vinywaji vya gharama na kuku mzima ambaye hakummaliza nikadhani atabeba apeleke nyumbani. Akaacha. Nlimwambia basi si bora angeagiza nusu. Akajibu tu hakutegemea kuku angekuwa mkubwa kiasi kile. Simple like that.

Nimeshindwa namna ya kuendelea kuwaza msaidia. Maana naona hasaidiki. Sijui anawaza nini. Dada mzuri sister du but kichwani mweupe kabisa. Huku analalamika kuwa wazazi wenzie wamemwachia tu watoto ahangaike nao peke yake.

Imeniumiza sana. Akina dada muwe na subra, uvumilivu na upendo. Usimkatishe tamaa mtu anayetaka kukusaidia.
Bila shaka huyo dada ana tako
 
Mkuu, kama ana bima kwa nini umetumia cash?
Juzi kaniambia anaumwa UTI nikaona leo nimpeleke Hosp. Kwa roho safi kabisa. Pamoja na kuwa najua ana Bima maana anafanya kazi Serikalini.

Mkuu kama kweli una nia ya kumsaidia, muite mkalishe chini umueleweshe. Kuna watu hawako smart lakini ni wasikivu. Hayo mapungufu yake uliyoyaoma mueleze. Inawezekana hao jamaa watatu walomuachia watoto ni kama wewe. Unaona mapungufu ya mwenzako badala ya kumuelekeza, unamuacha kimya kimya, na kwa kuwa hayuko smart bas hajui sababu, kesho anarudia tena yale yale anaachika.

Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye watoto. So anahangaika nao sana. Nilipokutana naye tukaongea nilimwonea huruma sana.nikawaza how to help her. Sikumwambia lolote lakini.
 
Huyu dada ni rafiki yangu kiasi flani maana tuliwahi kuwa karibu kipindi cha nyuma. Nmekuja kutana naye this time ana watoto watatu wana baba tofauti.

Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye watoto. So anahangaika nao sana. Nilipokutana naye tukaongea nilimwonea huruma sana.nikawaza how to help her. Sikumwambia lolote lakini.

Juzi kaniambia anaumwa UTI nikaona leo nimpeleke Hosp. Kwa roho safi kabisa. Pamoja na kuwa najua ana Bima maana anafanya kazi Serikalini.

Akanitajia jina la Hosp flani ndo anapenda aende huko. Nikampeleka.... Tumeenda amepima kila ugonjwa mwilini na kuchukua dawa nyingi sana. Yaani alikuwa anaomba tu apimwe kitu flani,apimwe na hiki, apimwe na kile....

Mwishowe akawa anaomba apewe dawa na nyingine anazo kwenye simu anaomba aandikiwe apewe. Analeta Bill Tsh 378,000. Nilipe. Kweli nimelipa. But ameni disappoint sana. Anaonekana hana utu au hajui thamani ya pesa ya mwenzie.

Wakati mimi nlidhani ataangalia tu UTI ,Typhoid na Malaria. Then tutoke twende fanya shopping ya vyakula awapelekee watoto. Yeye kaona watoto wake wataenda kula madawa.

Tunatoka ananambia "sasa tunaelekea wapi My?" Nimemjibu tu nyumbani kwako.

Anaonekana hajafurahi. Tunarudi ananiambia 'yaani hapa sijui hata nachowaza My.... Nyumbani nimeishiwa kila kitu" nimejisikia uvivu hata kumjibu. Nimeona tu huyu dada akili hana.

Last week tumetoka out akawa anaagiza vinywaji vya gharama na kuku mzima ambaye hakummaliza nikadhani atabeba apeleke nyumbani. Akaacha. Nlimwambia basi si bora angeagiza nusu. Akajibu tu hakutegemea kuku angekuwa mkubwa kiasi kile. Simple like that.

Nimeshindwa namna ya kuendelea kuwaza msaidia. Maana naona hasaidiki. Sijui anawaza nini. Dada mzuri sister du but kichwani mweupe kabisa. Huku analalamika kuwa wazazi wenzie wamemwachia tu watoto ahangaike nao peke yake.

Imeniumiza sana. Akina dada muwe na subra, uvumilivu na upendo. Usimkatishe tamaa mtu anayetaka kukusaidia.
Nipe namba yake namm nimsaidie. Maendeleo hayani chama
 
Yaani katika Mambo ya chakula mtu akiacha chakula huwa namuona mshamba na limbukeni wa kupitiliza,kwa Nini uagize kitu hujawahi kula lakini?sijui huwa wanawaza Nini hata!
Nyumbani kwangu ukipakua sahani hairudi nyeupe hata Kama mgeni ukishashika ukasema Asante nauliza hiki nikakitupe??anaona aibu
Nilikasirika ikabidi nitoke nje nisione kile chakula kinarudi kumwagwa halaf bado nikilipie
 
Nakumbuka ilikuwa Jmosi fulani hivi, dada mmoja ambaye ni rafiki yangu alinipigia simu. J uko wapi? Nikamwambia niko getho. Nimeboreka home bana, tunaweza kutoka? Nikasema poa.

Tukaenda kijiwe fulani hivi, mi nilibeba 50,000.00. Tulikaa kuanzia saa 10 hadi saa 6 usiku. Nilitumia kama 23,000.00 tu, maana situmii wine, sijui bia. Labda Maji. Mwenzangu sasa, anakula hiki anaacha, mara sijui mbona ladha yake, sijuii nini, mara ili Mradi tu anikomoe!

Mara nifungieni niwapelekee watoto, ana watoto wawili, na msichana wake wa kazi + mdogo wake. Bill inakuja napewa Mimi kulipa 129,000.00/=

Nikamwambia mhudumu, naomba unipe ya kwangu kwanza! Akarudi akaniletea 23,000.00, then akampa yule dada 106,000.00. Nikatoa 30,000.00 nikaomba Chenji yangu. Akanipa 7,000.00 yangu nikatulia.

Namwambia lipa twende, anasema hana hela. Nikamwambia naondoka. Mhudumu nafikir mi sidaiwi naondoka. Akasema hudaiwi kaka, nikanyanyuka. Hivi kweli J ndo unaondoka bila kulipa, mi nishalipa wee ndo hujalipa! Lipa twende!

Akainuka akaenda pembeni, akaongea na simu, baada ya maongezi yale akamuuliza mhudumu unaweza kupokea kw M-pesa! Mhudumu sawa tu, ila uweke na ya kutolea. Mhudumu alivosema tu, nimeiona. Akanyanyuka bila kuniaga!

Tuko nae ofisi moja, hadi Leo hata nikimwambia tukanywe, chai naona anachungulia kwenye wallet yake kwanza, ndo ananyanyuka.
Mkuu wewe ni mafia[emoji3][emoji3]
 
Hizo taka taka mnatoaga wapi aisee..na inakuaje mnazivumilia...au papuchi zao kuliko...kheeee[emoji1787]

But nimegundua ukikuta mtu hana mtu na kazalishwa ..jiulize why ameachwa...aliyeondoka kilimshinda nn[emoji28]
Single maza ni tabia halaf demu pisi kali.....
 
Wanaume pia tunafeli sn.Unamruhusu vip mtu achague anachotaka?

Kuwa director wa kika kitu mapemaa.Bwana ee tunaenda sehemu tutachoma kuku kienyeji nusu,au mzima na ndizi/chips za kadhaa.

Au pork ya namna hii.Na vinywaji ni soda ama local beer.Ni marufuku Heineken na so like beers.

Utaona kama atakataa.Tabu zote hizo za nn?
 
Back
Top Bottom