Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Mna dhambi 😂😂😂😂
 
siku hizi meno yanasafishwa
 
Umenichekesha sana mzeee
 
Hizi ndo pisi za ara yani zisicheke au kuvaa umini utanyong'onyea
 
Umekosea kutokuweka kigezo kimoja tu, AKILI!
Ningekupa 100% maana umesema yote!
 
Kuna siku nilikatiza hapo walikuwa wananishangaa miguu na mie sio kihivyo, kwa upande wa miguu katuuza mi sijakubali kuuzwa😂😂, ukanda huo ni rangi hasa kwa wapenda rangi ya chungwa vilivyobaki ni wastani kama maeneo mengine tu
Wewe sio mwanaume labda ndo maana huwezi kunielewa, wadada wengi wa arusha wanajambia mbali, yaani hayo makalio Yao, najizuiaga tu 😋 Kapeace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…