like what mkuu eg.Hapana unaweza kama upo dar,..angalia bidhaa online kupitia alibaba na wengine (fanya research kwanza)agiva Vitu vidogo vinavoweza kuuzika haraka apa tz,..chukua vya bei ya chini lakin vipo in high demand,..then see itself grow as fast as rocket jet
like what mkuu eg.
sure, thanksVipo ving ata taa za solar,VIATU vya wanawake, SAA za wanaume kwa mfano zinaweza kua na profit adi 50,000tshs
Bila kusahau kila kazi ina vikwazo.Je unaweza kunipa changamoto kubwa inayowakuta ukiwa unafanya mradi huu.
Acha kumpoteza mwenzio.Kazi ya UDOBI mkuu....tengeneza MEZA YA MBAO..
PASI YA MKAA....MASHUKA MATATU...MKAA debe MOJA.... SABUNI YA MBUNI MICHE 3... Sabuni YA UNGA... TOSS ndoo.1 NA NDOO 3 TUPU ZA PLASTIC kwa ajili ya kufulia....PESA kama 120000 utatoa kodi ya baraza..kwa mwezi 10000""unalipa mwaka mzima....na 5000 utalipia BANGO LA KIBAO CHA MATANGAZO. utakiandika kama ifuatavyo.....MTAALAM WA KUFUA NA KUPIGA PASI...YUPO HAPA...suruali ISIPOSIMAMA YENYWE BILA KUSHIKWA baada ya KUPIGWA PASI......unarudishiwa pesa zako... Mkuu lazima UTOKE TU....maisha hayo mkuu....
Sasa laki 3 biashara gn. Labda shoe shineAcha kumpoteza mwenzio.
Hyo kazi ya kijungu jiko.
Ila mzee una hesabu kaliiii.Sasa laki 3 biashara gn. Labda shoe shine
Good move.be blessedNianze na nyie wawili wengine watafuata, nitumieni namba PM.
ubarikiwe mkuu kwa mwanga uliotupanshakutumia namba boss kazi kwa PM...wengine watafata
Asante hebu nifuatilie hiiHabari!
Hii ni mahususi kwa wale wanaohitaji kufanya biashara, sio wanaofanya biashara.
Njia panda,mahala salama pa kutafakari upande upi uelekee ama uufate. Nimechagua leo kushare nanyi ndugu zangu kwa kile kidogo, na kesho siku yakuanza mfungo ianze vema.
Haihitaji shule kufanya hili, inahitaji dhamira, kuamka na kufanya. Waweza kuwa na mapesa mengi ama kidogo sana..
(1) Tafuta laki 3 TU ama ukiwa na pesa zaidi sio mbaya, ni nzuri zaidi.
(2) Tafuta simu ya android, hata window phones poa
(3) Tenga muda wa kutembelea mitandao hii:
a.AliExpress.com - Online Shopping for Electronics, Fashion, Home & Garden, Toys & Sports, Automobiles from China.
b.Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com
c.ebay.com
NB: Hapa masoko ya kwenye mitandao ni miiingi sana lakini for beginners anzia hapa, 1 step at a time, pia apa hakikisha unaspend almost siku 14 kuipitia hii mitandao kwa kina, usijipe moyo kwa siku moja tu kwamba aah niisha umaliza kuupitia, mind u; The more u get involved to them the more new things about them you will learn.
(4)Tenga muda wa kushare urafiki na watu wako wa karibu ata kama ulikuwa huna tabia io,sasa unahitaji watu katika biashara yako,maana wao ndio wateja wa kile utakacho anza uza,pokea watu wote... Hudhuria vikao vya harusi ata kama huna mchango wa kuchangia,uwepo wapo ni muhimu zaidi kuliko ile pesa,nenda kuswali kwa jumuia sio ndani kwako pekee,kama msikitini,kanisani n.k
(5)Jiunge na magroup kupitia hiyo android phone yako either katika WhatsApp, viber, instagram n.k laweza kuwa group la ulio soma nao,group la kazini kwenu,group la washkaji wanywa pombe,group lolote ata wewe waeza kubuni waunge tu ata watu 7 kwa siku
(6)Jiunge na facebook na magroup yalioko umo,yatakusaidia...
Itaendelea...
Mmmh,hiyo pesa ndogo sana labda ufanye biashara ya karanga na vocha,biscuits,pipi,sigara nk.Habari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?
Kwanza Pole kwa changamoto za kubezwa nabaadhi ya wadau humu Sijui nao huwaHabari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?
Kama unania kweli ya biashara kanunue u- fresh ni maji yaliyowekwa ladha na rangi box(ice cream za wanafunzi) ni 4000tsh na zinakaa 100 na zinauzwa kila moja 100tsh.Habari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?