Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kazi ya UDOBI mkuu....tengeneza MEZA YA MBAO..
PASI YA MKAA....MASHUKA MATATU...MKAA debe MOJA.... SABUNI YA MBUNI MICHE 3... Sabuni YA UNGA... TOSS ndoo.1 NA NDOO 3 TUPU ZA PLASTIC kwa ajili ya kufulia....PESA kama 120000 utatoa kodi ya baraza..kwa mwezi 10000""unalipa mwaka mzima....na 5000 utalipia BANGO LA KIBAO CHA MATANGAZO. utakiandika kama ifuatavyo.....MTAALAM WA KUFUA NA KUPIGA PASI...YUPO HAPA...suruali ISIPOSIMAMA YENYWE BILA KUSHIKWA baada ya KUPIGWA PASI......unarudishiwa pesa zako... Mkuu lazima UTOKE TU....maisha hayo mkuu....
 
Bila kujali jinsia yako, unaweza kufanya bishara ya mboga mboga na matunda kwa kutembeza majumbani, waweza kuwa na beseni ama chochote ya kubebea, unaweza anzia hapo, kama upo Dar nakuhakikishia hutojuta
 
Pamoja na biashara ya mboga mboga, unaweza tengeneza ubuyu, karanga, tambi na crips na kuziuza kwa jumla kwa faida ndogo, Kwa laki 1 mtaji na vifaa inatosha kwa kuanzia
 
Hapana unaweza kama upo dar,..angalia bidhaa online kupitia alibaba na wengine (fanya research kwanza)agiva Vitu vidogo vinavoweza kuuzika haraka apa tz,..chukua vya bei ya chini lakin vipo in high demand,..then see urself grow as fast as rocket jet
 
Hapana unaweza kama upo dar,..angalia bidhaa online kupitia alibaba na wengine (fanya research kwanza)agiva Vitu vidogo vinavoweza kuuzika haraka apa tz,..chukua vya bei ya chini lakin vipo in high demand,..then see itself grow as fast as rocket jet
like what mkuu eg.
 
Je unaweza kunipa changamoto kubwa inayowakuta ukiwa unafanya mradi huu.
Bila kusahau kila kazi ina vikwazo.

Hapa katika mradi huu utakutana na vitu vikuu vifuatavyo.
1.magonjwa
2.soko

Ukiweza kuwa mwangalifu kuwakinga na kutibu magonjwa ndo unaelekea kwenye uvunaji mzuri wa mazao ya huu mradi.

Pia unatakiwa utoke utafute soko katika maeneo mbalimbali(maofisini na taasisi bila kusahau watu wenye shughuli za harusi).

Ukiweza watengeneze vizuri na kuwapaki kwa kilo moja(1kg) then tafuta frame(duka la vitoweo/nyama ya kuku).

Kwa haraka haraka vikwazo ndo hivyo na njia za kutatua ndo hizo nilizojaribu kueleza hapo, na zingine unaweza angalia mazingira yanayokuzunguka.
 
Kazi ya UDOBI mkuu....tengeneza MEZA YA MBAO..
PASI YA MKAA....MASHUKA MATATU...MKAA debe MOJA.... SABUNI YA MBUNI MICHE 3... Sabuni YA UNGA... TOSS ndoo.1 NA NDOO 3 TUPU ZA PLASTIC kwa ajili ya kufulia....PESA kama 120000 utatoa kodi ya baraza..kwa mwezi 10000""unalipa mwaka mzima....na 5000 utalipia BANGO LA KIBAO CHA MATANGAZO. utakiandika kama ifuatavyo.....MTAALAM WA KUFUA NA KUPIGA PASI...YUPO HAPA...suruali ISIPOSIMAMA YENYWE BILA KUSHIKWA baada ya KUPIGWA PASI......unarudishiwa pesa zako... Mkuu lazima UTOKE TU....maisha hayo mkuu....
Acha kumpoteza mwenzio.
Hyo kazi ya kijungu jiko.
 
Habari!

Hii ni mahususi kwa wale wanaohitaji kufanya biashara, sio wanaofanya biashara.
Njia panda,mahala salama pa kutafakari upande upi uelekee ama uufate. Nimechagua leo kushare nanyi ndugu zangu kwa kile kidogo, na kesho siku yakuanza mfungo ianze vema.

Haihitaji shule kufanya hili, inahitaji dhamira, kuamka na kufanya. Waweza kuwa na mapesa mengi ama kidogo sana..

(1) Tafuta laki 3 TU ama ukiwa na pesa zaidi sio mbaya, ni nzuri zaidi.

(2) Tafuta simu ya android, hata window phones poa

(3) Tenga muda wa kutembelea mitandao hii:

a.AliExpress.com - Online Shopping for Electronics, Fashion, Home & Garden, Toys & Sports, Automobiles from China.

b.Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com

c.ebay.com

NB: Hapa masoko ya kwenye mitandao ni miiingi sana lakini for beginners anzia hapa, 1 step at a time, pia apa hakikisha unaspend almost siku 14 kuipitia hii mitandao kwa kina, usijipe moyo kwa siku moja tu kwamba aah niisha umaliza kuupitia, mind u; The more u get involved to them the more new things about them you will learn.

(4)Tenga muda wa kushare urafiki na watu wako wa karibu ata kama ulikuwa huna tabia io,sasa unahitaji watu katika biashara yako,maana wao ndio wateja wa kile utakacho anza uza,pokea watu wote... Hudhuria vikao vya harusi ata kama huna mchango wa kuchangia,uwepo wapo ni muhimu zaidi kuliko ile pesa,nenda kuswali kwa jumuia sio ndani kwako pekee,kama msikitini,kanisani n.k

(5)Jiunge na magroup kupitia hiyo android phone yako either katika WhatsApp, viber, instagram n.k laweza kuwa group la ulio soma nao,group la kazini kwenu,group la washkaji wanywa pombe,group lolote ata wewe waeza kubuni waunge tu ata watu 7 kwa siku

(6)Jiunge na facebook na magroup yalioko umo,yatakusaidia...

Itaendelea...
Asante hebu nifuatilie hii
 
Habari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?
 
Habari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?
Mmmh,hiyo pesa ndogo sana labda ufanye biashara ya karanga na vocha,biscuits,pipi,sigara nk.
 
Habari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?
Kwanza Pole kwa changamoto za kubezwa nabaadhi ya wadau humu Sijui nao huwa

Hawaombi ushauri Binadamu nikama ibilisi wa binadamu mwenzie anapenda anavyo vifanya yeye viwe sahihi kulilko la mwingine

Is not fear

Naenda kuku shauri mkuu kama unaweza wekeza katika mifugo hasa ya kuku wa nyama utaingiza zaidi ya pesa hiyo ukitaka ushaur zaidi pm

Nautatengeneza ajira pia kwa wengine
 
Habari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?
Kama unania kweli ya biashara kanunue u- fresh ni maji yaliyowekwa ladha na rangi box(ice cream za wanafunzi) ni 4000tsh na zinakaa 100 na zinauzwa kila moja 100tsh.
100*100=10000
Hapo faida ni 6000

Haya kwa hy 50000
Nunua box 8 kwa 32000
Itabaki 18000
Kama unaweza kukomaa nauli kutoka tegeta kiwandani popote kwa dar haizidi 10000
Hiyo 8000 ongeza umeme nyumbani ili uzigandishe tayari kwa biashara

Box 8 * idadi ya pc 100=800
800*100=80000
80000-50000=30000
Faida ni 25000-30000

Aya kijana kazi kwako!
 
Back
Top Bottom