mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Kazi ya UDOBI mkuu....tengeneza MEZA YA MBAO..
PASI YA MKAA....MASHUKA MATATU...MKAA debe MOJA.... SABUNI YA MBUNI MICHE 3... Sabuni YA UNGA... TOSS ndoo.1 NA NDOO 3 TUPU ZA PLASTIC kwa ajili ya kufulia....PESA kama 120000 utatoa kodi ya baraza..kwa mwezi 10000""unalipa mwaka mzima....na 5000 utalipia BANGO LA KIBAO CHA MATANGAZO. utakiandika kama ifuatavyo.....MTAALAM WA KUFUA NA KUPIGA PASI...YUPO HAPA...suruali ISIPOSIMAMA YENYWE BILA KUSHIKWA baada ya KUPIGWA PASI......unarudishiwa pesa zako... Mkuu lazima UTOKE TU....maisha hayo mkuu....
PASI YA MKAA....MASHUKA MATATU...MKAA debe MOJA.... SABUNI YA MBUNI MICHE 3... Sabuni YA UNGA... TOSS ndoo.1 NA NDOO 3 TUPU ZA PLASTIC kwa ajili ya kufulia....PESA kama 120000 utatoa kodi ya baraza..kwa mwezi 10000""unalipa mwaka mzima....na 5000 utalipia BANGO LA KIBAO CHA MATANGAZO. utakiandika kama ifuatavyo.....MTAALAM WA KUFUA NA KUPIGA PASI...YUPO HAPA...suruali ISIPOSIMAMA YENYWE BILA KUSHIKWA baada ya KUPIGWA PASI......unarudishiwa pesa zako... Mkuu lazima UTOKE TU....maisha hayo mkuu....