Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

wazee hii kitu inaweza inaweza ikagharimu bei gani kwa dar es salaam
high-quality-wholesale-price-hot-selling-refrigerator.jpg_640x640xz.jpg
 
Habar zenu Wakuu...
Nilikuwa nahitaji business partner biashara ya Genge (Fruits & Vegetables).Itakuwa na home delivery pia
Makazi yawe Dar es Salaam na biashara itakuwa Dar pia preferably Tegeta,Boko, Kawe au Bunju.
Alie tayar kuanzisha kitu from scratch na kukiona kikikuwa akiwa part ya operations.
Please uwe determined na sio sababu upo desperate na ajira..
Alie serious please ni pm mengine tutazungumza..
hivi hiyo biashara hua inahitaji vibali vipi kutoka serikalini?TRA,halmashauri au mtaa?na kama ni frame umechukua ushuru inakuaje?unafahamu lolote hapo mkuu?
 
hivi hiyo biashara hua inahitaji vibali vipi kutoka serikalini?TRA,halmashauri au mtaa?na kama ni frame umechukua ushuru inakuaje?unafahamu lolote hapo mkuu?
Hapana Mkuu watu wanafanya tuu..
Ila ukitaka kuifanya official ndio Unaweza fuata utaratibu huo ambao ni mzuri incase una vision ya kuikuza..
Waweza Tafuta panda ukajenga sehem ukawa unalipia kias kidogo au Unaweza ku opt kwenye frame...
Muhimu ni mahali ulipo na vision ulonayo na genge lako
 
Nataman kujiajiri mwenyewe..je mtaj wa 5 naweza kujiajir na biashara gani wana jf.?..naomben mawazo yenu kama mdogo wenu na ntayafanyia kaz mana naamin naweza .Wazoefu wa biashara naombeni mawazo yenu naamin wote humu ni magrt thnker's ..Ahsante
 
Nipe ili nitrade kwenye forex baada ya mwezi nakupa milion 1.5
 
Nataman kujiajiri mwenyewe..je mtaj wa 5 naweza kujiajir na biashara gani wana jf.?..naomben mawazo yenu kama mdogo wenu na ntayafanyia kaz mana naamin naweza .Wazoefu wa biashara naombeni mawazo yenu naamin wote humu ni magrt thnker's ..Ahsante

Uko mkoa gan
 
Habari zenu wapendwa. Naitwa paresh napatikana dodoma naomben msaada wa mawazo kwa mtaji wa Tsh. laki tano niufanyie biashara gani ili niweze kujipatia faida itakayonisaidia kuingia japo amount ndogo ya kujikim na mahitaj ya nyumban
Watu wanapenda kunywa juisi za matunda ,na matunda kawaida lakn tatizo ni ugumu flan wa kwenda sokoni kununua matunda na kutengeneza wenyewe,ukifanya kuwasaidia na kuwapelekea walipo itasaidia sana.
 
Ukipewa laki 3 taslim uifanyie biashara yoyote then baada ya miezi sita urudishe, utaifanyia biashara gani?
 
-Naenda gym yetu hapa home nawaomba ubia. Naongeza vifaa, benchi la incline, benchi la slope, na mashine ya pull up cable.

Nakua nachukua elfu tatu mpaka elfu tano kila siku.

-Nanunua game la ps3 kwa mtu au nikibahatisha ps4. Natoa tv yangu ya nyumbani nakodi fremu nachezesha gemu.

Uhakika ni kupata kuanzia elfu saba mpaka elfu kumi na tano kwa siku. Baada ya muda naongeza ps3 mbili na TV.

Hizo ndiyo biashara ninazoweza kuzifikiria kwa kiwango hiko cha pesa.
 
kwa huku mpunguzi nakodi shamba 50,000 nanunua mbegu ya matikiti 120,000 mbolea 50,000 inayobaki ni kwaajili ya madawa. Halafu shambani naingia mwenyewe
 
Back
Top Bottom