Kwa muda mfupi sana kiongozi wa Tanzania alipata maadui wengi sana

Kama mabandiko ni ya kipuuzi mbona umewashwa kuchangia? Unajifanya mjuaji. Nimekuuliza unajua Mao Zhedong aliifanyia nini China kama kiongozi aliyekuwa ana ushawishi binafsi unabaki unaharisha.
 
Kama mabandiko ni ya kipuuzi mbona umewashwa makalio kuchangia? Huna akili zaidi ya kujifanya mjuaji. Nimekuuliza unajua Mao Zhedong aliifanyia nini China kama kiongozi aliyekuwa ana ushawishi binafsi unabaki unaharisha.
Nimekwishakueleza, na umeelewa. Hilo ndilo muhimu.
 
Jk alikuwa hakusanyi Kodi kutoka kwa hao wawekezaji ndiomaana waliitana wengi kuja kuwekeza maana walikuwa wakipiga hela bila kusumbuliwa, JPM aliamua tu kufuata sheria kuhakikisha wanalipa Kodi stahiki ndio maana wawekezaji uchwara walianza kukimbia
 
sijui una umri gani kiongozi,ila wewe ni kati ya watu wazima wajinga sana.

nyinyi wazembe wachache ndio matokeo ya tz hii ilipo zaidi ya miaka 50 ya uhuru.
Sasa hao wazembe wachache madhara yao yanafunika vipi jitihada za wachapakazi wengi?
 
Kwa mara ya kwanza nakupongeza
 
Pole kifo cha mama mdogo wako
 
Muda utasema tu kiongozi tatizo la watanzania wengi hawana uzalendo na wanapenda kuishi kiujanja ujanja na kifisadi bila kufanya kazi.
Shida wengi wenu mnadhani kuwa masikini ndio uzalendo mmekaririshwa ujinga na nyie bila kujielewa mnadhani ni sifa. Aliyejifanya mtetezi na myonge mwenzenu kumbe yeye anapiga za kutosha halafu anawadanganya nyie mazumbukuku kuwa ni masikini mwenzenu
 
Wakati wa mapinduzi ya Kijani,China ilitumia jeshi kuhakikisha wananchi wanafanya kazi.
Rushwa ,upendeleo,ukabila,havikukubarika,
Wananchi walipitia Hari ngumu lakini waliona matokeo,
Sasa huwezi kulinganisha juhudi za Mao se tung,na Jiwe,Jiwe alizuia wengine wasiibe Ili aibe yeye na maswaiba zake,Mfano mdogo tu Makonda aliingiza mzigo wa magari akidai ni viti vya shule Ili asilipe kodi,Hakutumbuliwa.
Jiwe alichukua tender ya uwanja wa Chato akampa shemeji yake,bila kufata taratibu za tender,hii china unapigwa risasi.
Jiwe alikuwa muhongo sana,miradi ya flyover za Dar ilibuniwa kipindi Cha Kikwete na inajengwa kwa pesa za UN na Ulaya.
Siku hizi mapato yote yanakusanywa na TRA,halmashauri zimezuiwa kukusanya,hakuna kilichoongezeka.
Jiwe halikuwa haambiriki,Mkabila,much know nyingi,hafati Sheria.Bora limeenda.
 
Aliwatafuta yeye mwenyewe jwa kihere here chake!
 
Orodha ni ndefu sana ya mambo ya namna hii
 
Wewe usiwafanye watu wajinga Chama cha wafanyakazi kinauhusiano gani na siasa acha uujinga peleka huko kwa wenzio hukumu ndani sio size yako, unatengeneza maneno huenda hata elimu huna nenda kalime na upambane na maisha yako.
 
Wewe usiwafanye watu wajinga Chama cha wafanyakazi kinauhusiano gani na siasa acha uujinga peleka huko kwa wenzio hukumu ndani sio size yako, unatengeneza maneno huenda hata elimu huna nenda kalime na upambane na maisha yako.
Zamani vilikuwa ni matawi ya CCM, sasa mwendazake alikuwa anataka kuturudisha huko, si unaona bunge limekuwa la chama kimoja kama zamani, hakuna cha ajabu hapo.
 
Hatuwezi kurudi kule kwenye enzi za ujima eti kisa ndivyo wachina walivyoendelea.
Toa na mifano ya mataifa mengine makubwa basi, au huyaoni? USA, Ujerumani, Ufaransa, UK, Hispania nk.
Ukatili, uonevu ,kuua wenzako kwa kisingizio cha maendeleo haikubaliki.
Isitoshe alikuwa mpigaji kama wapigaji wengine.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Eti wachina 🤣🤣🤣🤣
 
Motion ya huyo hayati wenu haikua na uelekeo wa kutupeleka uchina,ngoma ilikuwa inaelekea ZIMBABWE acheni kufananisha uharo na futari.
NIPO WAZI KABISA SIKUMPENDA JAMAA YENU HAKUWA KIONGOZI RAFIKI WA WATANZANIA.
Ficha chuki za kijinga, hakuwa rafiki yako wewe na Mzee wa MIGA labda.

Watanzania walimpenda sana kwa uzalendowake na kazinzuri alizo wafanyia nandio maana walimlilia kwa mamilioni.
 
Hakuheshimu katiba
Alizuia nyongeza ya mishahara ambayo ipo kikatiba.
Alionea sana watu
Wasiojulikana walishamiri
Kikokotoo cha uonevu
Ubinafsi(Airport kijijini kwake)
Kushamiri kwa kesi za uhujumu uchumi ili kuwasotesha watu jela.
Kutumia task force kuharibu biashara za watu.
Kukumbatia viongozi waovu.

Kunyang'anya UHURU wetu (halafu eti kila j.pili kanisani kutoa vijembe)

Kwani ilishindikana nini kufanya maendeleo bila kuyanfanya yote hayo hapo juu?

HE WAS WRONG.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…