majam19
JF-Expert Member
- Nov 13, 2024
- 900
- 971
Kwahyo unatak kusema upendo wa kwel bado upo hapa kwetu tz?jamaa kwa aliyoandika kwa upande wangu naona ni ukweli,maana kuna kipindi tulipitia hali ngumu kimaisha lakn alivumilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo unatak kusema upendo wa kwel bado upo hapa kwetu tz?jamaa kwa aliyoandika kwa upande wangu naona ni ukweli,maana kuna kipindi tulipitia hali ngumu kimaisha lakn alivumilia
upendo upo ila kwa wachacheKwahyo unatak kusema upendo wa kwel bado upo hapa kwetu tz?
Kuna ukweli hapaConditions:
Kwao wawe wawili au zaidi, watoto wa baba moja mama moja
Awe kalelewa na wazazi wote, sio baba na mama walifarakana
Kutakuwa kuna relationship kubwa ya watoto wa kiume wa kwanza kujizolea umaarufu wa kuwa na spirit ya kupambana ila kwa watoto wa kike wakiwa 1st born wanajitahisi kudumu kwenye ndoa.
Kina first bone wanavyoondoka nyumbani wanajua wanaenda kwenye ndoa, hawa ni watoto walioona mambo mengi tangu wazazi wakiwa vijana bega kwa bega mpaka uzeeni, wamesaidia malezi ya wadogo zao, n.k.
Kina first bone wana jukumu zito la kuwa mfano wa wadogo zao wanaowafauta na wapo sensitive na vile jamii inavyowachukulia kama watoto wa kwanza wa familia, majina yao huwatambulisha wazazi wao, mama flani, baba flani.
hawa wengine wanaondoka na funguo za vyumba vyao hakuna mtu kuingia, 😂 bado wapo attached zaidi na nyumbani
hali ipojeHata mimi nimeoa first born kwa mzee fulani
strong, kivp yaan?wanaume dhaifu mnajificha kwenye kivuli cha kutafuta excuses kwa wanawake
technically wanawake wote ni sawa ina depends kukutana na mwanaume strong kiasi gani
hali ni nzuri kiukweli ni mvumilivu,japo kuna kipindi tulipitia magumu lakini tunalisongeshahali ipoje
Ile nyimbo ya dazi nunda (barua hii)?? Unakumbuka vzurupendo upo ila kwa wachache
Haya mambo hayana formula lakini tunachoangalia ni pattern, wanawake wengi wa kundi hili kuna vitu vingi wanafanana kwenye maisha ya ndoa.
Conditions:
Kwao wawe wawili au zaidi, watoto wa baba moja mama moja
Awe kalelewa na wazazi wote, sio baba na mama walifarakana
Kutakuwa kuna relationship kubwa ya watoto wa kiume wa kwanza kujizolea umaarufu wa kuwa na spirit ya kupambana ila kwa watoto wa kike wakiwa 1st born wanajitahisi kudumu kwenye ndoa.
Kina first bone wanavyoondoka nyumbani wanajua wanaenda kwenye ndoa, hawa ni watoto walioona mambo mengi tangu wazazi wakiwa vijana bega kwa bega mpaka uzeeni, wamesaidia malezi ya wadogo zao, n.k.
Kina first bone wana jukumu zito la kuwa mfano wa wadogo zao wanaowafauta na wapo sensitive na vile jamii inavyowachukulia kama watoto wa kwanza wa familia, majina yao huwatambulisha wazazi wao, mama flani, baba flani.
hawa wengine wanaondoka na funguo za vyumba vyao hakuna mtu kuingia, 😂 bado wapo attached zaidi na nyumbani
Nakumbuka nilikuwa nala mke wa jamaa rafiki yangu kwenye banda la mpira . Wote mashabiki wa Chelsea pakiwa na game tunakumbushana na code za mikeka ya betting tunarushiana .
Ila Kuna ka ukweli Fulani hivi
KATAA NDOAHaya mambo hayana formula lakini tunachoangalia ni pattern, wanawake wengi wa kundi hili kuna vitu vingi wanafanana kwenye maisha ya ndoa.
Conditions:
Kwao wawe wawili au zaidi, watoto wa baba moja mama moja
Awe kalelewa na wazazi wote, sio baba na mama walifarakana
Kutakuwa kuna relationship kubwa ya watoto wa kiume wa kwanza kujizolea umaarufu wa kuwa na spirit ya kupambana ila kwa watoto wa kike wakiwa 1st born wanajitahisi kudumu kwenye ndoa.
Kina first bone wanavyoondoka nyumbani wanajua wanaenda kwenye ndoa, hawa ni watoto walioona mambo mengi tangu wazazi wakiwa vijana bega kwa bega mpaka uzeeni, wamesaidia malezi ya wadogo zao, n.k.
Kina first bone wana jukumu zito la kuwa mfano wa wadogo zao wanaowafauta na wapo sensitive na vile jamii inavyowachukulia kama watoto wa kwanza wa familia, majina yao huwatambulisha wazazi wao, mama flani, baba flani.
hawa wengine wanaondoka na funguo za vyumba vyao hakuna mtu kuingia, 😂 bado wapo attached zaidi na nyumbani