Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Sawa na mimi naitaka hiyoUnakuwa unapitia response za chat bot unazirekebisha au kuzpolish ziwe bora zaidi au unaangalia kama imevunja kanuni ilizowekewa kwa kuwa tricked na mtumiaji. Mfano mtumiaji kuitrick chatgpt imweleze jinsi ya kutengeneza bomu kwa kutumia vifaa vya nyumbani, akiuliza directly inaweza isijibu lakini akaitrick.
Artificial intelligence model trainingNa hiyo online model training ikoje
Nawezaje kujiungaArtificial intelligence model training
Kweli ukitulia home unapata na muda wร mbususu!Nipe somo mkuu namie nitulie home
Sema mm ni winga unaipaka rangi eti mtu wa Masoko.KWakuu.
Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.
Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.
Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .
So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.
So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.
Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.
So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
Mkuu hizi kazi zinapatikana online na si kwamba zinakuwepo muda wote ni kwamba inapaswa uwe mtu wa kukaa unacheki ukiipata unaweza kukuta unaipia miezi sita au mwaka au kama ni kampuni kwa mfano ya hizi voice over za online lessons unakuta unaipiga hata mwaka au miaka kila mwezi unavutia dollar kadhaa. Unaweza vuta kati ya dollar 500-5000+ kwa mwez kutegemea una kazi ngapi, rate wanayolipa, mzigo wanakushushia.Sawa na mimi naitaka hiyo
una ujuzi? kama unaona jiunge Upwork utakuwa unapata kaziNawezaje kujiunga
Wanahitaji uwape kianzio amaMkuu hizi kazi zinapatikana online na si kwamba zinakuwepo muda wote ni kwamba inapaswa uwe mtu wa kukaa unacheki ukiipata unaweza kukuta unaipia miezi sita au mwaka au kama ni kampuni kwa mfano ya hizi voice over za online lessons unakuta unaipiga hata mwaka au miaka kila mwezi unavutia dollar kadhaa. Unaweza vuta kati ya dollar 500-5000+ kwa mwez kutegemea una kazi ngapi, rate wanayolipa, mzigo wanakushushia.
Sawa ngoja nijiungeuna ujuzi? kama unaona jiunge Upwork utakuwa unapata kazi
Hakuna kianzio ukiona mtu anakudai kianzio jua ni tapeli. unalipiaje kazi ili ufanye kazi?Wanahitaji uwape kianzio ama
Ujuzi upiuna ujuzi? kama unaona jiunge Upwork utakuwa unapata kazi
Nenda kalime wewe acha uvivu!!!Wabongo wengi wanaamini mpaka utoke ndani ndio upate hela amkeni dunia ishabadilika sana hapo hapo ndaji unaweza fanya kitu ukaishi na kuongezeka.
Sasa utafanyaje hiyo kazi ya kutrain AI model kama hujui ๐Ujuzi upi
NitajifunzaSasa utafanyaje hiyo kazi ya kutrain AI model kama hujui ๐
Wuke d kama hii unatakiwa mwanawane unchat na warembonu awakarinisha nyumba hapo full kiyoyoz, friedge imeja masavvanah nyama choma unaagiza wanaleta kinachobaki ninkugoga 3some tuu maisha murwaaaaa.Kweli ukitulia home unapata na muda wร mbususu!
Basi fanya ujifunze kwanza kuna online courseNitajifunza
Wapi iko hiyo courseBasi fanya ujifunze kwanza kuna online course