Ungenyamaza ungeonakana una hekima zaidi ya hivi ulivyoandika ila ni mtizamo wa akili yako ilivyo kama ulivyotaja vilaza,yote yamesemwa kuhusu huyu mtu na raisi kamsimamisha,kupisha uchunguzi!Wewe unaanza kutoa majibu ya uchunguzi wako.Tulia,subiri,Watu wafanyie kazi jambo hili.Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa
kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya sabaya
yaani hawa watu wanashindwa kuelewaa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lkn cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa
Kwenye hili suala la Sabaya huyu kijana anaenda kuwwaaibisha wengi sana akiwemo na FARU JOHN
Heshima ni kitu cha bure bwashee!Kwa lipi?
Ni Tanzania pekee yenye mamburura kama weweYaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa
Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.
Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Bado una nguvu ya kumuongelea huyo? Hujaelewa kitu inaitwa detention under Presidential Orders aisee.Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa
Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.
Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Kwani Walioagiza achunguzwe na waliomkamata ni wapinzani?Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa
Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.
Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Mlikuwa mnafanya nini mpaka akakufaidisha namna hiyo mpaka akakulioia Kodi😃😃Kwa namna Moja ama nyingine nimenufaika na uwepo wa sabaya hasa alipo kuja dar kufanya interview na cloud nimenufaika snaa na kwa kipindi fln nikiwa singida nimenuafikaa pia ..ila jus kati kabla ajatiwa nguvuni jmn nimepata chochotena kipindi chote watu wanatoa hbr zake niliwashangaa Sana kwn alikuepo tu apa dar akila gambe lake kimy kimya ... Namshukuru Sana kwa kweli kwani nimeweza kulipa Kodi ya nyumba nilikuwaa nadaiwaa..ila bas ngoja tuone anafikishwaa wapi
Funga domo lako kwanini ujatuhumiwa wewe ila sabayaYaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa
Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.
Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Mpumbavu anapotoa utetezi Akidhani anaokoa kumbe anazidi kuzamisha jahazi.Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa
Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.
Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Ndugu yangu, mbona wahangaika sana? Uchunguzi utasema iliyo kweli. Hofu yako inaanzia wapi?Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa
Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.
Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Atakua baunsa wakeWewe ni mfuasi na shabiki wake siyo?
Kama ndivyo, basi hapo naweza kukuelewa kwa sababu siku zote inzi (flies) hufuata kinyesi au kwenye harufu ya mzoga ulio - oz0!
Kichaa na hayawani wa kwanza utakuwa wewe. Ni mwendawazimu tu anaeweza kumtetea huyu shetani.Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Huyu atakuwa chawa...We ndio baunsa wake
Uko sahihi kabisa kasimamishwa kazi na yuko sero ak lockup kwa tuhuma za rushwa kubwa kubwa na TAKUKURU wanaendelea kumuhojiYaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.
Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.
Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.