Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kuhusu kuingizwa mkenge, wala tusiingie huko kwasababu kati ya wanadamu waliingizwa mkenge ni wewe, mood alikuingiza chaka tena la miiba na michongoma. amewadanganya na mpo mnaelekea motoni mmoja baada ya mwignine. turudi tu kwenye mada ya Gaza.wayahudi wamewaaingiza nyinyi mkenge kuwa huyo ndiyo mungu wenu, na nyinyi mpo tu mnamuabudu myahudi feki.
Mimi siabidi myahudi feki, kumbuka hilo. Wewe unaabudu mtu ambae haujuwi ukristo ni nini. Majanga.kuhusu kuingizwa mkenge, wala tusiingie huko kwasababu kati ya wanadamu waliingizwa mkenge ni wewe, mood alikuingiza chaka tena la miiba na michongoma. amewadanganya na mpo mnaelekea motoni mmoja baada ya mwignine. turudi tu kwenye mada ya Gaza.
Bora ungekaa kimya tu kuliko huu upumbavu ulioandika.. Hakuna jamii inayoongozwa na waislam waje kutawala hii dunia Never Never.Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.
Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?
Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.
Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.
Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.
Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.
Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.
Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.
Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).
Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.
Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.
View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4
Hapo hata sikuelewi unasema nini.Bora ungekaa kimya tu kuliko huu upumbavu ulioandika.. Hakuna jamii inayoongozwa na waislam waje kutawala hii dunia Never Never.
Uislam mwema sana, tazama QAur'an inavyonifundisha kuhusu wewe:kuhusu kuingizwa mkenge, wala tusiingie huko kwasababu kati ya wanadamu waliingizwa mkenge ni wewe, mood alikuingiza chaka tena la miiba na michongoma. amewadanganya na mpo mnaelekea motoni mmoja baada ya mwignine. turudi tu kwenye mada ya Gaza.
anaposema, "masihi" yani Yesu, si chochote ila ni mtume, ndio tofauti kati yangu mimi na wewe na huu ndio uongo ambao tunasena mood aliuleta duniani. Uungu wa Yesu kwa namna alivyofanyika mwili (alivaa mwili) umetabiriwa tangu kitabu cha Isaya kilichoandika mamia ya miaka kabla mohamed hajazaliwa. yeye alipokuja, kwasababu alikuwa kizazi kilichotokana na mtoto wa kambo (ishmael) akawa anapotosha moja baada ya jingine ya kwenye Biblia. lakini cha ajabu, the Bible has been there years, na imetunzwa for years na kwa lugha ileile ya kiyahudi ambayo wayahudi wa sasa wanasoma Torah (yaano torati) ambayo ipo in the same na Agano la kale la kwenye Biblia. hakijabadilika kitu chochote kwenye Torah.Uislam mwema sana, tazama QAur'an inavyonifundisha kuhusu wewe:
Qur'an 5:74.
Je! Hawatubu kwa Mwenyezi Mungu na wakamwomba msamaha? Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira na Mwenye kurehemu. 74
75. Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo wabainishia Aya, kisha angalia vipi wanavyo geuzwa. 75
76. Sema: Je! Mnawaabudu, badala ya Mwenyezi Mungu, wale ambao hawawezi kukudhuruni wala kukufaeni? Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 76
Una shida gani kichwani, kuna sehemu nimesema Mungu wangu ni Myahudi?mchango wako si unatowa kwa ajili mungu wako ni myahudi? Hao wayahudi wenyewe hawamtambui kabisa.
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.
Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?
Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.
Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.
Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.
Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.
Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.
Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.
Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).
Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.
Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.
View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4
Kwani nyie hamas mlivyolianzisha mlipiga kambi za Jeshi. Si mlipiga raia? Halafu uhai wa mtu unathamani ileile machoni pa MUNGU, awe mtoto, kijana, mwanamke, mwanaume, mzee. Wote ni binadamu walioumbwa na MUNGU, hawatakiwi kuuliwa bila,sababu.Kelele kwasababu badala ya kupiga kambi za hamas, mnapiga raia wanawake na watoto alafu mnajiita jeshi bora duniani
Sasa kijana "masihi" si ndiyo Christ"?anaposema, "masihi" yani Yesu, si chochote ila ni mtume, ndio tofauti kati yangu mimi na wewe na huu ndio uongo ambao tunasena mood aliuleta duniani. Uungu wa Yesu kwa namna alivyofanyika mwili (alivaa mwili) umetabiriwa tangu kitabu cha Isaya kilichoandika mamia ya miaka kabla mohamed hajazaliwa. yeye alipokuja, kwasababu alikuwa kizazi kilichotokana na mtoto wa kambo (ishmael) akawa anapotosha moja baada ya jingine ya kwenye Biblia. lakini cha ajabu, the Bible has been there years, na imetunzwa for years na kwa lugha ileile ya kiyahudi ambayo wayahudi wa sasa wanasoma Torah (yaano torati) ambayo ipo in the same na Agano la kale la kwenye Biblia. hakijabadilika kitu chochote kwenye Torah.
na ndani ya Torah kuna kitabu cha Nabii Isaya 53 ambacho kimetabiri kila kitu kuhusu maisha na wokovu kwa njia ya Yesu Kristo. hicho ndicho mnachokikosa kwasababu mnamkataa yule aliyevaa mwili wa mwanadamu ili azibebe dhambi za mwanadamu, na hiki ndicho kinachomfanya mtume wenu awe motoni akiwapokea hata ninyi mnapoenda huko siku baada ya siku.
ndio maana yake, ninyi mmemkataa Yesu Kristo (masihi Yesu), nini hujaelewa hapo ajuza?Sasa kijana "masihi" si ndiyo Christ"?
Wewe unafikiri maana yake ni nini?
Maana ya neno "masihi" unaifahamu, maana sisi Waislam hatujawahi kumkataa Yesu, labda ulikuwa huelewi, Muislam ambae hamkubali Yesu basi huyo siyo Muislam.ndio maana yake, ninyi mmemkataa Yesu Kristo (masihi Yesu), nini hujaelewa hapo ajuza?
halafu ajuza, nimeshagundua ninyi na jihad wenzio ni waoga sana, mnatutishaga tu kwamba mtajilipua au mtapigana jihad, kama mnapiganaga hizo na kama ninyi ni mashujaa, nendeni mkapigane jihad kule Israel, mbona mnakimbia na kujificha badala ya kupigana jihad dhidi ya myahudi? si mnajua myahudi hanaga utani na ninyi, anafyeka tu. hao al shabab, isis na boko haram si waende wakapigane israel pale tuone manguvu yao au kazi yao nikuonea raia wasio na silaha huku mtaani na kututishatisha? aibu yenu.
Neno Masihi maana yake ni Kriso, na kwa lugha nyingine ni "mpaka mafuta na Mungu", the annoited. ninyi mmemkataa Kristo kwasababu hata aya uliyoweka hapo juu imesema mnamwona si chochote, ni mtume tu. pia, mood alileta uongo mmoja, badala ya kutaja Jina la Yesu, kwasababu lina nguvu akaona atawaka moto, akasema "isa bin mariam" ili kupunguza makali. ajabu yake sana, Yesu Kristo na Issa Bin Mariam ni watu wawili tofauti, mmoja ni real Christ, na mwingine ni fiction tu. Isa bin mariam ni fiction, has never existed, wakati Yesu Kristo ni real. nasema hivi kwasababu, leo hii ukitaja Jina la Yesu Kristo hata mashetani unayofuga Faiza yanakimbia, ila kila siku isa bin mariam anatajwa huko kwenu na hakuna hata pepo anayekimbia kwasababu ni fiction tu ambayo shetani aliiunda kukwepa makali ya JIna la Yesu.Maana ya neno "masihi" unaifahamu, maana sisi Waislam hatujawahi kumkataa Yesu, labda ulikuwa huelewi, Muislam ambae hamkubali Yesu basi huyo siyo Muislam.
Waliomkataa ni wayahudi, hawamkubali kabisa tena wala hawaujui ukristo ni nini kama ulivyoiona clip hiyo juu.
Kumbe hauuelewi Uislm kijana. Ina bidi uisome Qur'an, utaelewa jindi Uidlam unavyomkubali Yesu na mama'ke.
Nyakati zinabadilika na mazingira ya vita yanabadilika, Israel inajua inafanya nini, bora kuchelewa na kufanya kazi kwa uhakikaHistoria inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.
Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?
Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.
Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.
Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.
Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.
Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.
Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.
Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).
Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.
Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.
View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4
Ndio wanshindwa hadi sasahivi ni story tu mara hali ya hewa visingizio vingi
kila jambo lina mwisho wake, mwisho wa Israel-Palestine nao utafikiwa. Time will tell.Hizo zote ni porojo bila mpango. Mambo ni Gaza, wanamgambo wa Hamas wanawafanya mhororoje na kubwabwaja bila mpango.
Jana Iran, Saudi Arabia, Jorda, South Afica, wote hao wametangaza kimbembe kw Myahudi.
Nafsi yako inajua ukweli, unaongea kishabiki!...Wawe au wasiwe na "sympathy" sisi tunayo "sympathy" kwa wanaoonewa ka zaidi ya miaka
Hii ndio aina ya jamii tuliyonayo.Wawe au wasiwe na "sympathy" sisi tunayo "sympathy" kwa wanaoonewa ka zaidi ya miaka 70 sasa.
Wayahud kwa maelfu wameuawa wewe unasema wiki 2 tu, akili zako umezificha wapi mkuu? kwa wayahud watu 1,300 tena wanajeshi kufa kwa mara moja ni janga kubwa sana. Waarabu hawaogopi kufa na wanakufa kila siku na wakifa wanafanya sherehe kubwa.Huwa hawakomi, Gaza hadi ije kuwa kama ilivyokuwa itachukua tena kwa uchache miaka 50 mbele.
Mabovu yameivuruga balaa!.
Wakati wao (Hamas) uharibifu walioufanya kwenye vijiji vya mpakani Israel utachukua wiki 2 tu kukaa sawa.
Motivation speaker waelezee hao fursa zilozopo tanzania.
Vipi ,kitabu chako Cha ujasiliamili Bado Kiko printing ,can't wait