The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
It is difficult to believe View attachment 2955043
Hakuna cha kuonewa,Malengo yao yalikua ni makundi kwisha,CAF wanaangalia na malengo yako.Ishatoka hio asante ami Motsepe
Hauna malalamikoKwa nini mchezo wa Simba na Al-Ahly haujadiliwi? Haukuwa na umuhimu wowote? Ulikuwa wa kukamilisha ratiba tu?
Ninajua kuwa nimekosea kuandika Al-Ahly nikaonegeza i kuwa Al-Ahlyi na siwezi kuifuta
Umekwishaje? SImba amefungwa tena au safari hii amepata ushindi tulioahidiwa na Ahmed Ally.Hauna malalamiko
Afu watu wa Simba hawakuwa na vidomo vidomo vya kudharau hatua ya robo fainali.
Kuna watu walidiriki kuwaita wengine mwakarobo.
Siyo Suluhisho sahihi. Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kufanya vizuri zaidi na zaidi ili iwe ni aibu kubwa sana kuzionea. sasa hivi watu wengine watadhani kuwa kweli Mamelodi ni zaid ya Yanga, lakini iwapo Yanga itajipambanua kuwa ni timu tishiao basi siku nyingine marefa wataogopa kutoa maamuzi mabovu dhid ya Yanga kwa kuogopa reaction yake.Goli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.
Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.
Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...
Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..
Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...
Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...
Kataa Soka la Africa. Soka la Africa ni usengwile mtupu.
Sasa hiyo inasaidia nini katika kufanya Yanga iwe tofauti na Simba kwenye kutupwa katika tournament?Umekwishaje? SImba amefungwa tena au safari hii amepata ushindi tulioahidiwa na Ahmed Ally.
Kuhusu mpira wa Yanga, angalia sehemu kubwa ya Africana baadhi ya Mamelodi including Kocha wao) wanasema inawezekana Yanga kanyimwa goli halali ispokuwa Simba ndio haoni hilo
= goliHivi mumeliona vipi goli la Aziz kii. Mpiraumepigwa kutoka uwanjani na ukagonga nguzo ya juu amabayo iko nyuzi 90 na mstari na ikawa ndani ya gori. Hivyo ilikuwa imeshavuka nyuzi 90 na kwa shelia za mhamo (low of movement) ilitakiwa iwe na msukumo kuelekea ndani
Swali ni je
Kipi kiliurudisha mpira ndani ya uwanja?
Umefurahi? Andaa mwili kubeba 5G nyingine kwenye NBC; nakuahidi bila huruma.Sasa hiyo inasaidia nini katika kufanya Yanga iwe tofauti na Simba kwenye kutupwa katika tournament?
Majibu yako yeyote unayopata kwa kufafijiwa na waliokufunga either kwa kukudhulumu au kihalali hayana influence yeyote ya kukufanya uwe nusu fainali.
Sheikh hiyo ndio imetoka habari za kwamba kocha wao kasema hivi mara wachezaji wao wanasema hivi hiyo ni mind game tu.
Na ndio maana uliwaona wakishangilia baada ya nyie kukosa penalti maana yake ni kitu ambacho walikihitaji wao kuvuka hii hatua
View attachment 2955178
Umefurahi? Andaa mwili kubeba 5G nyingine kwenye NBC; nakuahidi bila huruma.
Aaah wapi...Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.
Umeandika takataka, hawa Yanga mbona wanahonga marefa huku ligi kuu wanashinda kimagumashiGoli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.
Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.
Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...
Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..
Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...
Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...
Kataa Soka la Africa. Soka la Africa ni usengwile mtupu.
Yanga waongo balaaaHakuna saa ya refa CAF CL Hakuna goal line technology