Kwa uonevu wa wazi dhidi ya goli la Yanga leo, suluhisho ni timu za Tanzania kujitoa mashindano ya Afrika. Na tujitoe kwa staili hii

Kwa nini mchezo wa Simba na Al-Ahly haujadiliwi? Haukuwa na umuhimu wowote? Ulikuwa wa kukamilisha ratiba tu?

Ninajua kuwa nimekosea kuandika Al-Ahly nikaonegeza i kuwa Al-Ahlyi na siwezi kuifuta
Hauna malalamiko

Afu watu wa Simba hawakuwa na vidomo vidomo vya kudharau hatua ya robo fainali.

Kuna watu walidiriki kuwaita wengine mwakarobo.
 
Hauna malalamiko

Afu watu wa Simba hawakuwa na vidomo vidomo vya kudharau hatua ya robo fainali.

Kuna watu walidiriki kuwaita wengine mwakarobo.
Umekwishaje? SImba amefungwa tena au safari hii amepata ushindi tulioahidiwa na Ahmed Ally.

Kuhusu mpira wa Yanga, angalia sehemu kubwa ya Africana baadhi ya Mamelodi including Kocha wao) wanasema inawezekana Yanga kanyimwa goli halali ispokuwa Simba ndio haoni hilo
 
Siyo Suluhisho sahihi. Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kufanya vizuri zaidi na zaidi ili iwe ni aibu kubwa sana kuzionea. sasa hivi watu wengine watadhani kuwa kweli Mamelodi ni zaid ya Yanga, lakini iwapo Yanga itajipambanua kuwa ni timu tishiao basi siku nyingine marefa wataogopa kutoa maamuzi mabovu dhid ya Yanga kwa kuogopa reaction yake.
 
Huu leo ni usheitwani wa wazi kabisa.
Goli linaonekana hata na mtoto mchanga halafu yanatokea mambo ushoga
 
Unataka kusema yanga walirogwa😳?
 
Sasa hiyo inasaidia nini katika kufanya Yanga iwe tofauti na Simba kwenye kutupwa katika tournament?

Majibu yako yeyote unayopata kwa kufafijiwa na waliokufunga either kwa kukudhulumu au kihalali hayana influence yeyote ya kukufanya uwe nusu fainali.

Sheikh hiyo ndio imetoka habari za kwamba kocha wao kasema hivi mara wachezaji wao wanasema hivi hiyo ni mind game tu.

Na ndio maana uliwaona wakishangilia baada ya nyie kukosa penalti maana yake ni kitu ambacho walikihitaji wao kuvuka hii hatua
Your browser is not able to display this video.
 
= goli
= sheria


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Umefurahi? Andaa mwili kubeba 5G nyingine kwenye NBC; nakuahidi bila huruma.
 
Yanga mmeonewa ingawa naona imetoa sare na Simba, wote mmetoka
 
Africq hakuna goli line technology hiyo saa iliyolia ni ipi?
 
Umeandika takataka, hawa Yanga mbona wanahonga marefa huku ligi kuu wanashinda kimagumashi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…