Vijamaa viongo sanaAfricq hakuna goli line technology hiyo saa iliyolia ni ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijamaa viongo sanaAfricq hakuna goli line technology hiyo saa iliyolia ni ipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado hamjasemaaa.Huu leo ni usheitwani wa wazi kabisa.
Goli linaonekana hata na mtoto mchanga halafu yanatokea mambo ushoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maskiniii wee umevurugwa had huelewi kabisaa.Umefurahi? Andaa mwili kubeba 5G nyingine kwenye NBC; nakuahidi bila huruma.
Ahahahah 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado hamjasemaaa.
Goli la jana lilikua exactly kama hili hapa chini.Goli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.
Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.
Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...
Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..
Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...
Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...
Kataa Soka la Africa. Soka la Africa ni usengwile mtupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea Robo weyeeee,Ahahahah [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo mmefurahia ile dhuluma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea Robo weyeeee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akisema Refa nani anapinga? VAR enyewe haimbishii Refa, wee huogopiiiii?Kwahiyo mmefurahia ile dhuluma?
Mbona unaongea ufala mkuu??Amjafa kiume . asie fanya kazi na asile uwezi kalisha pua golini kwako afu uje udai goli kizembe
Nyie wana thimba mna akili za kitoto mjue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akisema Refa nani anapinga? VAR enyewe haimbishii Refa, wee huogopiiiii?
Woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunywa pepsi ya baridiiiii upooze moyo.Ukweli jana nimeshindwa kulala yaani nimelala saa 10 nimeamka saa 12 , yaani moyo unawaka moto.
Nina uchungu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani uongoo??Nyie wana thimba mna akili za kitoto mjue
Kweli mchawi ndugu 😢[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunywa pepsi ya baridiiiii upooze moyo.
Woiiiiih
Motsepe kafanya nnKabisa mkuu Motsepe amejishushia heshima yake kwa kiwango cha stiglers gorge
Hah kabisa kabisaMmekufa kiume na hivi ndiovyo Simba hua anakufa kiume na nyie kimewalamba