Umeeleza vizuri sana na kweli wewe ni mdau wa safari, mabasi ya Kigoma, kasulu kulazwa kaliua ni kuonea abiria, kipande kile kama kuna shida ya usalama ni askari wajipange wakiwa na silaha, ina maana kila basi waingie askari wawili tu , hao walipwe posho zao kesi imeisha, haya kipande cha kahama nyakanazi nako kuwe na patrol ya maana, na escort ya magari nzuri maana kamanda Tosi alipambana na ujambazi wa pale hadi wakapotea wote, unapolaza watu kahama unaathiri mambo mengi kwa abiria japo wewe utafurahi kutengeneza pesa, ilitakiwa watu wakapumzike hata biharamuro ili mapema saa tatu watu wako Bukoba, mutukula saa nne na nusu,