Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #101
Wapi nimelazimisha? Au unataka ligi? Sipo kwa mood hioNadhani umejifunza. Na usidhani wewe peke yako ndiye mwenye hati miliki ya kutukana watu. Ukiona hoja imekuelemea au hukubaliani nayo pita kimya. Watu tumeumbwa na mitizamo tofauti, sasa ukilazimisha sote tufikiri kama wewe, unaonekana kituko tu.
AiseeeeUngewahi kutekwa na kuvuliwa nguo mbele ya mkeo, watoto, wakwe na kupigwa hili wazo usingelipigia chapuo. Labda yawepo mabasi yanayosafiri usiku na ya mchana ili kila abiria ajichagulie muda wake wa safari.
Una umri Gani?
Huna unalolielewa wewe. Nakuona juha tu fulani unaetaka kulazimisha ujuaji. Una mandate gani ya kushangaa akili zangu wewe juha? Tunakueleza kutokana na uzoefu wa huko nyuma halafu wewe unakuja kutukana hapa. Sasa hakuna cha safari za usiku, ukitaka jinyonge.
Unalazimisha kwa kutukana akili za wenzako kisa tu wana mtazamo tofauti nawe. Kasome comment namba 105 ukatukane tena.Wapi nimelazimisha? Au unataka ligi? Sipo kwa mood hio
EwaaaaaaaNight ndo mpango mzima Kwangu kutwa nzima kazi kazi jioni safari Dar Mwz masaa 10 Nairobi Mwz masaa 10 Musoma Makambako masaa 16 hakuna kero yo yote usiku hata Kama una makosa hakuna anakuhoji speed Kama zote raha sana night
Wewe ndio punguani! Dogo Mimi sio level yenu, you better shut upHilo punguani linalilia safari za usiku haya ndio majambazi
Dada yupo sawa azungumzie na kupunguza kodi kwenye magari ili watu waagize magari bora kupunguza ajali...
Aliekwambia usiku zinatembea gari chache ni Nani? Asiku malori ndo yanatembea sasa alafu bila tahadhariBora usiku tutembee wachache bwana..
Kile kibarabara cha Bariadi/Maswa- Mwanza unakifaham?Ndio, Kwa sasa ni Kigoma tu ndio Ina changamoto