cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
MmmmmmhBinti,nafuatilia mpira tangu 88,nimeona wachezaji wengi,wengi wanaocheza Leo ligi kuu,miaka ya 90 wasingekua ligi kuu(ikiitwa ligi daraja la kwanza) Wala ligi daraja la pili,mgosi nimemuona Sana Simba pale,goli alikua mshambuliaji Bora kuliko mgosi,mgosi kupiga mpaka ajiandae!