Kwangu mimi hawa ndio wachezaji bora wa muda wote kwa timu za Yanga na Simba na Taifa Stars miaka ya 90s, wewe je?

Kwangu mimi hawa ndio wachezaji bora wa muda wote kwa timu za Yanga na Simba na Taifa Stars miaka ya 90s, wewe je?

Sawa kabisa ila jamaa walijitajodi kuchez a sana..BADO NATHAM8MI MCHANGO WA MAJEMBE YALE.
Ila haya mambo ya ndumba haya siku moja kulikuwa na me hi ya simba na Yanga ilifanyika Dodoma,
Mi sikwenda uwanjani lwasababu watoto wa mtaani tuliitwa kwa Mzee mmoja Kibamba huyu mzee aliuchezesha mpira kwenye jisufuria! yaani ile mechi ilichezeshwa kwenye msufuria mkubwaaa sijawahi ona mahala pengine.
Wachezaji uwanjani mnawaona kwenye JISUFURIA .
Alitumia teknolojia gani kuonesha mechi ndan ya sifuria mkuu? Hii iliyoletwa na meli? (mabeberu) au ile ya kwetu wenyewe waafrika? (ndumba)
Umenichekesha sana mkuu 😂😂🤣🤣
 
Back
Top Bottom