Kwangu mimi hawa ndio wachezaji bora wa muda wote kwa timu za Yanga na Simba na Taifa Stars miaka ya 90s, wewe je?

Alitumia teknolojia gani kuonesha mechi ndan ya sifuria mkuu? Hii iliyoletwa na meli? (mabeberu) au ile ya kwetu wenyewe waafrika? (ndumba)
Umenichekesha sana mkuu 😂😂🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…