Kwani wanaume ni mambo gani yanawapa amani mkifanyiwa na wake zenu?

Barikiwa mno
 
Brother unayo madini sana,nimejifunza hapa chakula ya ubongo.
 
Jibu ni kuwa mwanamke mmoja hatoshi. Hata uwe mzuri kjasi gani hata ufanye nini, ni lazima tuwe na mchepuko nje

Mwaka mzima unaingiza hapohapo tu, Hilo kwa mwanaume haliwezekani na tukikujua lazima tukuwekee vikao
 
Jibu ni kuwa mwanamke mmoja hatoshi. Hata uwe mzuri kjasi gani hata ufanye nini, ni lazima tuwe na mchepuko nje

Mwaka mzima unaingiza hapohapo tu, Hilo kwa mwanaume haliwezekani na tukikujua lazima tukuwekee vikao
Sawa mkuu
 
For my side mwanamke awe ana wivu na mimi tena wivu kweli halafu awe msumbufu yani siku zingine aninyime utamu yani ndo napendaa na nitampendaaa as long as ananipenda na kuniheshimu aiiiii siwezi kumuacha
 
I agree. A woman is supposed to stay at home and raise the man's children. A man is supposed to provide for the family. Women shouldnt get married to men who can not provide.
 
I agree. A woman is supposed to stay at home and raise the man's children. A man is supposed to provide for the family. Women shouldnt get married to men who can not provide.
Antonnia embu soma madini haya...japo ni kimombo ila ni maneno yaliyotoka kwenye mdomo wa mzazi wako❤
 
For my side mwanamke awe ana wivu na mimi tena wivu kweli halafu awe msumbufu yani siku zingine aninyime utamu yani ndo napendaa na nitampendaaa as long as ananipenda na kuniheshimu aiiiii siwezi kumuacha
Wee,sema kweli😳
 
Antonnia embu soma madini haya...japo ni kimombo ila ni maneno yaliyotoka kwenye mdomo wa mzazi wako❤
Nimeyaona dear Hapo pa ku just stay not to this era kipenzi walau Nawewe ukiwa na kakitu kidoooogo mambo yanakua mukide . Kujishughujulisha kunaifanya hata akili inakua bize sometimes!
Pia financially uwezo unatofautiana muhimu heshima utulivu na upendo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…