Kwanini baadhi ya "wanajeshi" wetu wana vitambi?

Uzi huu bila picha ni umbea.
 
Hawana kazi za kufanya, mishahara minono, muda mwingi wamekaa tu

Si wangekuwa wanatumika kwenye miradi ya ujenzi wa hospitali, barabara, vyuo au shule za serikali?
Wakati RC wa Dar alivyowataka wakasafishe barabara, wengi walihemuka humu.

Wacha wajinenepeeee
 
Sasa Trafik kuvaa nguo nyeupe na kusimama katikati ya barabara kuanza kukusanya rushwa ya buk 5 ni mpaka mazoezi hata wewe hapo siunaweza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna chuma kimoja niliwahi kukiona kilikuwa mazingira ya (mlio wa kengele) kwa sasa kimestaafu alikuwa S/Sgt ana hicho kitambi kweli ila ni balaa combination za K/combat zimetubu.
Hivyo vikwazo vinavyorukwa acha tu, kwahiyo wapo wengine wana maumbile hayo ila wepesi.
 
Drill Sargent [emoji23]
Ndio Mkuu.
au ni makelele tu juu ya wenye vitambi.

Ki uhalisia, wanajeshi, polisi n.k wanapaswa kuwa fit kabisa, kama alivyoelezea mleta mada. Lakini haimanishi majeshi yote au wanajeshi wote wanafanya kazi za kukimbizana na kubingirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…