jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
***** umefanya nmecheka kama falaTena kitambi wkti wa vita ndio kizuri,maana mwili una reserve calories za kutosha.. hata ikitokea mko mafichoni, mwenzako ata-survive wiki mbili zaidi bila chakula
Mitambi ni uvonjwa unaotokanana uzembe. Hakuna mchezaji mpira akawa na kitambi hapa duniani.Eneo naloishi nipo karibu na kambi ya Jeshi. Kwahiyo mida ya Jioni huwa raia tunaopenda boli tunajumuika nao kwenye kiwanja chao kusakata kabumbu.
Aisee, kitambi kisikupumbaze. Kuna wajomba wana mimba mpaka za miezi 8, lakini wakisimama mkoba au middle utafurahi. Stamina na wepesi walionao wanawazidi hadi vijana.
Hata kukiwa na mechi, hao wajomba wakianza ushindi ni uhakika lakini ngoja waingie sub vijana (ambao wanaonekana kwa nje wapo fit). Ni hovyo kabisa!
Kwahiyo nadhani labda uwaseme wale walioelemewa na miili yao, lakini toa hilo wazo kabisa kuwa mwenye kitambi ni mzembe.
Sijajifananisha mkuu...nimetoa tu uzoefu na angalizo la kuto kukariri...Bro usijifananishe na huyu mzee marshal artist wa miaka 72 Sammo hung Kam-bo ama jina mashuhuri Dai Goh Dai .
Kwa umri umekwenda sana ndio maana mtambi umeota sana tofauti na alivyokuwa kijana wa 20 mpaka 45. Kwa Sasa amebaki kuwa mtayarishaji na mwandaaji wa sinema za mapigano. Mzee Sammo huwa ni mtu mwenye mwili mkubwa ila kitambi kimekolea kutokana na uzee.(72yrs)
Kutokana a umri na kitambi kuongezeka sana hawezi kufanya yale akifanya wakati ule hivi Sasa katika uhalisia wake. Ni sawa sawa leo umwambie drogba ama ronardino acheze soka. Utakachoweza kuona ni skills tu ila sio energy na strength ya kuperform action.
Pamoja na hayo nakubaliana na wewe japo kwa asilimia fulani kwamba sio kila aliye na kitambi hayuko physically fit na sio kila asie na kitambi yuko physically fit.
Kwa mazingira ya kibongo labda ni asilimia 0.1 wenye vitambi ndio wanaweza kuwa physically fit. 99.9% ya waswahili wenye mavitambi ni majanga tu.
Kijana below 50 unakuwaje physically fit wakati hufanyi mazoezi na unakula kama jini, hakuna unachoweza stamili kuacha kipite mbele yako?
Kwa wale wenye vitambi above 50yrs hatuwezi walaumu sana Kwa vitambi maana huo ni umri wa kuanzi kukata tamaa.
Jitetee uwezavyo ila kitambi Kwa kijana wa kiume ni fedheha. Kwa raia tunawza kufumba macho ila kwa walinzi hapana!
Sio sahihi na sikubaliani nao kabisa, na si Wajeda tu, hata Polisi,Trafik na Mgambo wapo wenye vitambi lakini tunaweza kuwafanya nini na wenyewe wamehiyari kuwa hivyo!? Labda hujui kwamba, kwa watu wengine "Kitambi" ni heshima na kinatunzwa kwa gharama kubwa!Tumbo la taifa😀
Haya "bana".
Lakini wataalam wa afya wanasemaje? Unajua kuwa kitambi ni utapiamlo?
Ni sahihi askari wetu kuwa ugonjwa uitwao "kitambi"?
Wenyewe Wanasema AfyaMatokeo ya ulaji mbovu na kubweteka.
Kitambi ni ugonjwa,Matokeo ya ulaji mbovu na kubweteka.
Ni sawa kwa watu binafsi kufuga vitambi kama wanataka, lakini si watu wa vyombo vya dola.Sio sahihi na sikubaliani nao kabisa, na si Wajeda tu, hata Polisi,Trafik na Mgambo wapo wenye vitambi lakini tunaweza kuwafanya nini na wenyewe wamehiyari kuwa hivyo!? Labda hujui kwamba, kwa watu wengine "Kitambi" ni heshima na kinatunzwa kwa gharama kubwa!
Aliekwambia kitambi ugonjwa nani!?Ni sawa kwa watu binafsi kufuga vitambi kama wanataka, lakini si watu wa vyombo vya dola.
Kitambi ni ugonjwa. Ikiwa watapata shida kutokana na ugonjwa wa kitambi, ni kodi zetu ndizo zitakazotumika kuwahudumi
vitambi wanapata wa2 waliopitia msoto udogoni,so wakija kukutana na pesa mingi wanakula blaa!!Walengwa hapa ni JWTZ, POLISI, JKT, Magereza na Zimamoto!
Wengi wa askari wenye vitambi ni "mabosi'
Vitambi kwa askari wa vyeo vya juu vina manufaa gani kwao na kwa Taifa?
Wanajua kuwa hivyo vitambi vinatusababisha "sisi" tusio na uzoefu wa masuala ya Kijeshi tuwaone kuwa ni wazembe? Mbona wenzao wa China, North Korea , na Rwanda hawana vitambi?
Wanajua kuwa wao ni mfano wa askari wa chini? Kwa kuwa wanasema "like the son, like the father", watajisikiaje siku moja wakigundua kuwa askari wote wanaowaongoza nao wan vitambi kama wao?
Hivi kukitokea dharura itakayowalazimu kukimbia kwa masaa matatu mfululizo si wanaweza wakahisi ulimi unataka kutoka?
Kwa nini "wanajeshi" wetu, japo siyo wote, wana vitambi?
Nimechekaje🤣🤣🤣Aliekwambia kitambi ugonjwa nani!?
Inavyoonekana una chuki binafsi na kitambi.
Walimu wameacha lini kulalamikia nyongeza ya mishahara!?kila wanavyopendelewa na Serikali wanaona haitoshi,Yote hayo ni kwasababu miongoni mwao wengi hawana "VITAMBI" vya pesa!Nimechekaje🤣🤣🤣
Kwa kule kijijini kwetu, hasa miaka ya nyuma, kitambi kilikuwa kinafmhusishwa na utajiri. Ilikuwa ni kawaida kwa baadhi ya watu kufanya jitihada za ziada ili nao waingie kwenye hilo kundi la wenye vitambi.
Lakini baada ya kwenda shule, Mwalimu alinifundisha kuwa kitambi ni utapiamlo. Kama unataka kulaumu, mlaumu Mwalimu wangu wa Sekondari.
Wenye utapiamlo ni wale wenye vitambi vya Pombe,(Pombe za kienyeji)Nimechekaje🤣🤣🤣
Kwa kule kijijini kwetu, hasa miaka ya nyuma, kitambi kilikuwa kinafmhusishwa na utajiri. Ilikuwa ni kawaida kwa baadhi ya watu kufanya jitihada za ziada ili nao waingie kwenye hilo kundi la wenye vitambi.
Lakini baada ya kwenda shule, Mwalimu alinifundisha kuwa kitambi ni utapiamlo. Kama unataka kulaumu, mlaumu Mwalimu wangu wa Sekondari.
Duh! ..Tena kitambi wkti wa vita ndio kizuri,maana mwili una reserve calories za kutosha.. hata ikitokea mko mafichoni, mwenzako ata-survive wiki mbili zaidi bila chakula
😀😀😀Wenye utapiamlo ni wale wenye vitambi vya Pombe,(Pombe za kienyeji)
Wanakula vizuri na wameridhika na maisha hamna kingine,. sisi raia tuna tamaa sana, wivu, majungu na unafki ndio maana hatunenepi kwa roho mbaya.Walengwa hapa ni JWTZ, POLISI, JKT, Magereza na Zimamoto!
Wengi wa askari wenye vitambi ni "mabosi'
Vitambi kwa askari wa vyeo vya juu vina manufaa gani kwao na kwa Taifa?
Wanajua kuwa hivyo vitambi vinatusababisha "sisi" tusio na uzoefu wa masuala ya Kijeshi tuwaone kuwa ni wazembe? Mbona wenzao wa China, North Korea , na Rwanda hawana vitambi?
Wanajua kuwa wao ni mfano wa askari wa chini? Kwa kuwa wanasema "like the son, like the father", watajisikiaje siku moja wakigundua kuwa askari wote wanaowaongoza nao wan vitambi kama wao?
Hivi kukitokea dharura itakayowalazimu kukimbia kwa masaa matatu mfululizo si wanaweza wakahisi ulimi unataka kutoka?
Kwa nini "wanajeshi" wetu, japo siyo wote, wana vitambi?
Nyundo Yule mbakaji?How about Nyundo ..