wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Sawa chief,hizi LC 300 zenyewe zinatumia material gani mpk yamekua adimu mkuu?Yeah ni za mwanzo pre-orders hizo na zile ambazo zilikwishapelekwa Dubai! Kuagiza Japan hutoipata ziko Australia na Dubai ambako ndio masoko makubwa ya Land Cruiser!
Mbona hasira mzee[emoji51]
Ahaaaaaaaaa haaaaaaaaampaka unapata pesa V8 itakuwa haiko sokoni tena....tutakuwa tunaendesha electric cars na motorbike...fanya maarifa uinunue wili ijayo uanze kusumbua na wewe....
Nmegundua kitu!Zile walisimamisha production Japan! Zinazalishwa Australia tu kwa sasa sababu material yalikuwa adimu!
ni kweli lkn nyingi pia ya hizo Vietii ni za kazi maalum hasa wazee wa Makumbusho!!Sijajua watu wanafukua wapi hela, Kila cku huku dar Nakutana Na land cruiser v8 zenye condition nzuri tena Gari binafsi zenye Plate number d, najiuliza na hii mishahara midogo ya taasisi za kibongo ya laki 8 kwa mwezi, watu wanawezaje miliki Na ku-maintain gari ya Tshs million 80 - million 200 plus?
Anaenunua Toyota v8 kwenye account atakua na tsh ngapi? Ina maana hapa bongo Watu wengi kiasi ni matajiri?
Yeah Australia landscape yake ina miamba miamba sana mkuu! Pamekaa kama Upareni kule Mwanga mpaka Usangi.Nmegundua kitu!
Australia wanazipenda sana toyota hasa hizi suv kubwa kubwa!
Hata hilux wana soko kubwa sana Australia sijui mazingira yao yanafanana na Afrika?
Hahahahah Kijitonyama pale😅ni kweli lkn nyingi pia ya hizo Vietii ni za kazi maalum hasa wazee wa Makumbusho!!
Ndo maana baada ya UHURU wakafata sera za ujamaa na ujamaa ukazaa udikteta.Africa viongozi huku ni kama Miungu watu yani mtu akishapewa madaraka akili za kibinadamu anaziwacha pale anapoingia mlango wa ofisini tu😅!
Ni kujineemesha kwa kwenda mbele kwa kila fursa anayoona iko usawa wake yani na kejeli nyingi tu kwa wananchi sema tu ni vile tumeumbiwa upole ila kwa nchi ambazo wananchi ni vichaa upuuzi kama unaofanyika nchini hapa hawawezi uvumilia hata kwa week 1 tu lazma kiumane.
Yani mtu anafanya ufisadi kwenye hela za umma na still atatoa jibu jepesi tu akiulizwa na sababu ana backup ya askari anajua hatoguswa. Raisi nae unakuta wala hana habari na mtu😅
Alafu mbongo kutoka buza anadharau toyota eti ni ya watu masikini!Yeah Australia landscape yake ina miamba miamba sana mkuu! Pamekaa kama Upareni kule Mwanga mpaka Usangi.
Gari wanazopendelea ni 4*4 hasa za Toyota ndio maana kule LC series kuanzia 70 mpaka 300 sasa soko lipo hot! Achilia mbali hizo pickup za Hilux nazo zamoto sana kule.
True Australia hali ya hewa na mazingira ni kama Afrika.Yeah Australia landscape yake ina miamba miamba sana mkuu! Pamekaa kama Upareni kule Mwanga mpaka Usangi.
Gari wanazopendelea ni 4*4 hasa za Toyota ndio maana kule LC series kuanzia 70 mpaka 300 sasa soko lipo hot! Achilia mbali hizo pickup za Hilux nazo zamoto sana kule.
Hahahahahah wabongo utawaweza man! Huwa kejeli ni kama salamu kwao kwa mambo ambayo hata hawana uwezo nayo😅Alafu mbongo kutoka buza anadharau toyota eti ni ya watu masikini!
[emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo wana tabu sanaHahahahahah wabongo utawaweza man! Huwa kejeli ni kama salamu kwao kwa mambo ambayo hata hawana uwezo nayo[emoji28]
Isingekuwa hela tungekuwa tunafanana hadi matatizoTrue Australia hali ya hewa na mazingira ni kama Afrika.
Ni kiasi tu cha kuwapeleka akina Msoga line kule wakamate nchi😅Isingekuwa hela tungekuwa tunafanana hadi matatizo
Embu iweke vizur hiki kipande,ni nan alikuwa na houseboy shoga?Mkuu kama nchi tupo watu mill 60 unadhani hizo viieite ulizoona hapo Dar zinafika hata 1mill?
Halafu zipo pia za mchongo refer kesi ya sabaya ile aliinunua kwa mwarabu 60mill mpaka ikaja kujulikanika kwamba jamaa alikuwa na houseboy shoga.
True kama wewe ni masikini jitahidi umiliki information, kama una information tayari ni pesa.Mwenye pesa anataka information Ili aingize pesa.Utajiri ni mchanganyiko wa mambo mengi mkuu, positive mindset, determination, capital, risking. Kwenye capital ndio kuna mgawanyiko hapo; human capital na financial capital!
Ndani ya human capital kuna swala linaitwa connections. Askari,Wanajeshi,Matajiri,Wakurugenzi na zaidi ya hao.
Financial capital ndio pesa yenyewe sasa. Hapa ni hela ama cash money.Ukisikia pesa inaleta pesa ndio hivyo sasa usidanganyike na vitabu vya rich dad poor dad utachelewa maisha ni real sio story.
Ukivikosa hivyo ama ukawa huna access navyo jua utaendelea kuwa kapuku tu. Utajiri hauji kama hauna hivyo vitu hapo. Labda urithishwe mali kama Mo Dewji!
Waboregne waustralia weusi ndo wao maisha yao ni kama Waafrika.Isingekuwa hela tungekuwa tunafanana hadi matatizo