Kwanini Dar es Salaam magari binafsi aina ya Landcruiser V8 yako mengi sana?

Yeah ni za mwanzo pre-orders hizo na zile ambazo zilikwishapelekwa Dubai! Kuagiza Japan hutoipata ziko Australia na Dubai ambako ndio masoko makubwa ya Land Cruiser!
Sawa chief,hizi LC 300 zenyewe zinatumia material gani mpk yamekua adimu mkuu?
 
Zile walisimamisha production Japan! Zinazalishwa Australia tu kwa sasa sababu material yalikuwa adimu!
Nmegundua kitu!

Australia wanazipenda sana toyota hasa hizi suv kubwa kubwa!

Hata hilux wana soko kubwa sana Australia sijui mazingira yao yanafanana na Afrika?
 
ni kweli lkn nyingi pia ya hizo Vietii ni za kazi maalum hasa wazee wa Makumbusho!!
 
Nmegundua kitu!

Australia wanazipenda sana toyota hasa hizi suv kubwa kubwa!

Hata hilux wana soko kubwa sana Australia sijui mazingira yao yanafanana na Afrika?
Yeah Australia landscape yake ina miamba miamba sana mkuu! Pamekaa kama Upareni kule Mwanga mpaka Usangi.

Gari wanazopendelea ni 4*4 hasa za Toyota ndio maana kule LC series kuanzia 70 mpaka 300 sasa soko lipo hot! Achilia mbali hizo pickup za Hilux nazo zamoto sana kule.
 
Ndo maana baada ya UHURU wakafata sera za ujamaa na ujamaa ukazaa udikteta.
Ujamaa na udikteta ni pacha Ili kuwadhibiti watawaliwa.
Thus awataki katiba mpya itawabana kuwatawala wananchi.
Afrika kuna watawala wenzetu hawana watawala Wana viongozi.
Thus huwezi kuta wanachezea kodi za wananchi.Watawala wa kiafrica baada ya kuzibomoa nchi zao wakawapropanda waafrika eti matatizo ya afrika yamesababishwa na wazungu lengo kuu ni kujificha na lawama ya aibu ya kudai UHURU kwa Mbwembe huku wakiwananga wakoloni baada ya UHURU tutakuwa mbali zaidi,wakaprovu failure mbaya sana mara mia ya mkoloni mwenyewe.Check mugabe,savimbi,banda nk ni wasomi wakubwa tu level ya phd wakazitumia vibaya phd zao kuzibomoa nchi zao zilizojengwa vizuri na wakoloni.
Always African leaders dies in foreign hospital hii ni shame sababu awaboreshi mifumo ya Afya ya nchi zao checkup na matibabu nje.
Hata mwendakuzimu alifia nje.
 
Alafu mbongo kutoka buza anadharau toyota eti ni ya watu masikini!
 
True Australia hali ya hewa na mazingira ni kama Afrika.
 
Hata hilux wana soko kubwa sana Australia sijui mazingira yao yanafanana na Afrika?
[/QUOTE]

Australi linchi likubwa saaana....na majamaa yanapenda sana Adventures na safari.....
 
Mkuu kama nchi tupo watu mill 60 unadhani hizo viieite ulizoona hapo Dar zinafika hata 1mill?

Halafu zipo pia za mchongo refer kesi ya sabaya ile aliinunua kwa mwarabu 60mill mpaka ikaja kujulikanika kwamba jamaa alikuwa na houseboy shoga.
Embu iweke vizur hiki kipande,ni nan alikuwa na houseboy shoga?

"Halafu zipo pia za mchongo refer kesi ya sabaya ile aliinunua kwa mwarabu 60mill mpaka ikaja kujulikanika kwamba jamaa alikuwa na houseboy shoga."
 
True kama wewe ni masikini jitahidi umiliki information, kama una information tayari ni pesa.Mwenye pesa anataka information Ili aingize pesa.
Information kuhusu marketing,raw materials, suppliers,nk unampatia muhitaji then anakupa pesa au kuingia ubia kwa kumuuzia information.Mfano wapi kuna mifugo,mazao bei rahisi ukiyaingiza mjini au nje pesa ipo.Au kipi kinapendwa vijijini tokea mjini unamfata mwenye navyo unapeleka mjini.
Mfano vijijini ndizi mkungu elf 4 Dar elf 25 hadi 30 mtu ana eka tatu kijijini ana link na muhitaji mjini.Wewe una information mhitaji na mkulima hawana information wapi watimize ndoto zao.
So wewe unakuwa mtimiza ndoto zao.
 
Kwa jiji la kibiashara kama Dar si jambo la kushangaza, labda huko mikoani ndo unaweza kukuta ipo ya mkurugenzi na mkuu wa mkoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…