... hewa haina mmiliki na kuitumia wewe popote ulipo haimnyimi mwingine fursa ya kuitumia.Watu sijui kama wanaelewa haki ya lazima na wajibu wa lazima!
Kuna vitu ukizaliwa tu tayali unahaki ya kuvitumia bure ikiwemo ardhi na hewa!
Mengine ya kuumba ni wajibu ambayo tunalipishwa kodi kwayo!
Ardhi ni bure, kwann niilipie kodi?
... sio kweli kwamba thamani ya ardhi ni majengo yaliyopo juu yake tu! Kile kitendo cha kui-own hata kama hujaweka chochote juu yake ni faida fulani kwako. Kama unaona haina faida iachie.Mada nzuri sana na nimependa wachagiaji wamechangia kwa busara bila matusi wala lugha za kukera,
Nimebaki njia panda kulingana na maoni ya wadau,
1. Ardhi isilipiwe sababu tumeikuta ni kitu cha Asili kama ambavyo hatulipii hewa
2. Ardhi inalipiwa sababu umekua mmiliki na ukiwa mmiliki ni wazi inakuletea faida na chochote kikupacho faida basi kilipiwe kodi,
Lakini kwanini nilipie ardhi kila mwaka wakati kinachonipa faida ni jengo na tayari jengo nalipia kila mwezi?
Hewa haionekani kwa macho ndugu,laiti hewa ingekuwa ina umbo maalumu,ina rangi na inakamatila wababe wangekuwa wanaiwahi na kuiweka ndani kwaoMbona hewa hatuuziani lakini hakuna vurugu ushawahi kusikia sehemu watu 100 wanagombaniana kuvuta hewa basi Kama hewa kaumba Mungu hatugombaniani kila mtu ni yeye tu na ukubwa wa pua yake kwanini hio ardhi kuwe na kuuziana na umiliki
Hili la kununua mbona huja hoji unahoji la kodi
Umetafakari vyema, hata mimi pia niliwahi kuwaza hivyo hivyo kwann tulipie kodi ya ardhi? Nadhani hata kama serikali inawajibu wa kukusanya kodi katika kila nyanja basi kodi ya ardhi ingeondolewa kwa wale wanaoitumia kwa ajili ya makazi tu.Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
Na kwasababu hio pia usiweke hewa na ardhi kwenye kundi moja kisa zimeumbwa na Mungu ni asili Kama ulivyokuwa unasema..... Ardhi ni kitu Tangible kina shikika, inakalika, inaonekana, ina milikika na kutathminika lazima iwe tofauti na kitu Kama hewa hivyo usisashangae kukunulika na kulipiwa kodiHewa haionekani kwa macho ndugu,laiti hewa ingekuwa ina umbo maalumu,ina rangi na inakamatila wababe wangekuwa wanaiwahi na kuiweka ndani kwao
Kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa kama ulivyopanga kiwe.Ukisema kusimamia unamaanisha nini in real sense?
Wakati vitu vingi thamani ina-depreciate, ardhi always inaongezeka thamani. Ukijua maana ya kauli hiyo ambayo ni sahihi huwezi kutumia neno BURE kwa ardhi.NA kwanini tunainunua wakati tumeikuta bure?
concept ni Nani ana mamlaka ya kuiuza ardhi tuliyoikuta, anayeuza aliitengeneza? Kama unaweza kununua kitu kilichoumbwa bure basi kilipie na kodiWakati vitu vingi thamani ina-depreciate, ardhi always inaongezeka thamani. Ukijua maana ya kauli hiyo ambayo ni sahihi huwezi kutumia neno BURE kwa ardhi.
... kama concept ndio hiyo basi everywhere pawe free for everybody which is not the case kama baadhi wanavyojaribu kuilinganisha ardhi na hewa.concept ni Nani ana mamlaka ya kuiuza ardhi tuliyoikuta, anayeuza aliitengeneza? Kama unaweza kununua kitu kilichoumbwa bure basi kilipie na kodi
Serikali walishawahi kuja kusimamia kiwanja chako kuhakikisha mambo yanakwenda sawa?Kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa kama ulivyopanga kiwe.
Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
Duh kama ardhi ingekuwa haina kodi, saivi tusingerithi chochote , manake kila mtu angekuwa ameshajikatia zake kilomita za mraba 10,000 akajimilikisha , yaani kusingekuwa na ardhi yoyote iko tupu.Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
Point! Kodi inasaidia pia kupunguza walafi wa ardhi.Duh kama ardhi ingekuwa haina kodi, saivi tusingerithi chochote , manake kila mtu angekuwa ameshajikatia zake kilomita za mraba 10,000 akajimilikisha , yaani kusingekuwa na ardhi yoyote iko tupu.
1.Kwa nini mfalme atoze kodi ya pango la ardhi wakati ardhi huyo mfalme ameikuta?
2. Mfalme ni binadamu au taasisi aliyoiunda ambayo imepewa ardhi na mungu kama ilivyo kwa wananchi wake, kwanini mfalme atoze kodi kwenye ardhi ambayo wote tumeipata bure?.
Duh kama ardhi ingekuwa haina kodi, saivi tusingerithi chochote , manake kila mtu angekuwa ameshajikatia zake kilomita za mraba 10,000 akajimilikisha , yaani kusingekuwa na ardhi yoyote iko tupu.
Ardhi ni Mali ya umma, na Rais ndo amekabidhiwa kama msimamizi thus wote tumekodishiwa kutumia tena kwa muda maalum. Ndo mana kuna hati za miaka 33, 99 ndo mana tunalipa kodi. Ukipata muda pitia sheria ya, Ardhi ya mwaka 1999 na maboresho yake.Ngoja tusubiri ufafanuzi kutoka kwa wasomi
Ana changanya! Hakuna anaepinga kodi! Tatizo unachukua kodi kwenye nini!... wewe sasa una-diverge; hoja hapa ni sahihi kulipa kodi ya ardhi? Kwamba kuna misuse ya kodi hiyo ni topic nyingine kabisa! Let's be focused vinginevyo mjadala huu utakuwa hauna mwelekeo unaoeleweka.
Quid plantue solo solo cediitMfumo wa dunia wa Kiutawala, wanachuma mpk kwenye kazi ya Uumbaji wa Mungu.
Sheria za kidunia, Ardhi ni mali ya Serikali pamoja na vyote vilivyopo chini na juu yake isipokuwa bhangi