Hakuna kitu kizito hapo. Swali jepesi sana hilo hata mtoto anajibu. Labda uelewa wenu wa neno nguzo ni tofauti.Umepiga na kitu kizito sana chenye ncha kali kichwani..
#AkikujibuNitag
pamoja na kukuelewa,bado unanifokeaOmba mods wabadilishe tittle yako. Shida yenu msiojua Uislam mnakurupuka sana. Hebu jaribuni hata kuresearch au hata google ipo kabla hamjaleta nyuzi za kipuuzi kama hizi.
Hiyo ni ndoto ya chizi,unaota unakula biriani kwenye hoteli ya kifahari kumbe umetafuna shuka karibu nusu nzima.....kitu kinatokotaaa underground...one day mlipukoo mara papapap papaaaa, mgombea anateuliwa mwingienee
Jibu lako ni hili hapa:Pakistan sio Islamic country.
Uwe na uelewa huo.
Na haifati Sheria za kiislam.
Pakistan hawafati Sharia za kiislam,Jibu lako ni hili hapa:
Pakistan, officially the Islamic Republic of Pakistan, is a country in South Asia. It is the world's fifth-most populous country, with a population of ...
Largest city: Karachi; 24°51′36″N 67°00′36″E / 24.86000°N 67.01000°E
Capital: Islamabad; 33°41′30″N 73°03′00″E / 33.69167°N 73.05000°E
Official languages: Urdu; English
Government: Federal Islamic parliamentary republic
Hapo wenye mirathi umekosea.Kitu chochote ambacho dini ya Islam imekataza,,
Hilo ni katazo la Mungu.
Na chochote Mungu alichokataza kwa wanadamu, [emoji817]% kina madhara kwa binadamu au jamii husika.
Mfano,
_zinaa.
_Pombe.
_kusema uongo.
_Kula riba.
_Mwanamke kuongoza wanaume.
--mwanamke kuonyesha maungo ya mwili wake.NK.
Hilo ni katazo la Mungu.
Kwa kibinadamu hilo la mwanamke kuongoza wanaume linafanyika dunia lakini si kwa inchi za kiislam..
Hata kuna maandiko yanasema kwamba mwanamke ni dhaifu..
Hata mgawanyo wa Mali ktk dini ya kiislam,
mirathi mwanamke hupata 1/4 ya Mali atakayopata mwanaume .
Kama Baba alikuwa na watoto 2,
Na aliacha 100,000/ bank,
Basi mwanamke atapewa 25,000/Tu.
Kilichobaki 75,000/ atapewa mwanaume.
Kumbe umesomea ujinga!Pakistan hawafati Sharia za kiislam,
Usishupaze shingo.
Kuwa Islamic country na Sheria zinafuatwa za British hiyo ndy Muslim country?
1. Mwanamke wa kiislamu kula kitimoto ni DHAMBIRekebisha heading yako. Nguzo za Uislam ni 5
1. Kusadiki imani ya Kiislam kwamba Mungu ni 1 na Muhammad ni mjumbe wake
2. Kusali sala 5
3. Kutoa zaka
4. Kufunga Ramadhan
5. Kuhiji Makka
Sasa mwanamke akiwa Rais ni nguzo gani imekiukwa?
Kama nchi yenye waislamu wengi duniani,Indonesia,imeongozwa na mwanamke,sembuse Tanzania ambayo takwimu hazituambii waislamu wanazidi 50% ya population,tuanze kufunua maandiko eti nguzo ya Imani imevunjwa,mwenye uzi aache kuipotosha jamii,Tanzania siyo secular state,hii inamaanisha kwamba kama nchi inatawaliwa kwa sheria za kiislamu kama Iran,ukimuweka mwanamke kuwa raisi au kiongozi mkuu wa serikali basi unakuwa umekiuka misimgi ya uislamu,hapa nchi yetu haiko hivyo acha kupotosha,serikali ya Tanzania si ya kidini,ila wananchi wake wanaabudu dini mbalimbali na katiba yetu inaruhusu hivyo.Kitu chochote ambacho dini ya Islam imekataza,,
Hilo ni katazo la Mungu.
Na chochote Mungu alichokataza kwa wanadamu, [emoji817]% kina madhara kwa binadamu au jamii husika.
Mfano,
_zinaa.
_Pombe.
_kusema uongo.
_Kula riba.
_Mwanamke kuongoza wanaume.
--mwanamke kuonyesha maungo ya mwili wake.NK.
Hilo ni katazo la Mungu.
Kwa kibinadamu hilo la mwanamke kuongoza wanaume linafanyika dunia lakini si kwa inchi za kiislam..
Hata kuna maandiko yanasema kwamba mwanamke ni dhaifu..
Hata mgawanyo wa Mali ktk dini ya kiislam,
mirathi mwanamke hupata 1/4 ya Mali atakayopata mwanaume .
Kama Baba alikuwa na watoto 2,
Na aliacha 100,000/ bank,
Basi mwanamke atapewa 25,000/Tu.
Kilichobaki 75,000/ atapewa mwanaume.
Kwani hujuwi mkuu kama ndoa ni sitara?Kwa kifupi tunaweza sema kwa msemo "kusitiri".
Tanzania siyo secular state,hii inamaanisha kwamba kama nchi inatawaliwa kwa sheria za kiislamu kama Iran,ukimuweka mwanamke kuwa raisi au kiongozi mkuu wa serikali basi unakuwa umekiuka misimgi ya uislamu,hapa nchi yetu haiko hivyo acha kupotosha,serikali ya Tanzania si ya kidini,ila wananchi wake wanaabudu dini mbalimbali na katiba yetu inaruhusu hivyo.
Ni kweli mkuu,,Hapo wenye mirathi umekosea.
Mtoto wa kiume anapata mara 2 ya anachopata mtoto wa kike.
Hivyo mtoto wa kike ANAPATA ½ (Nusu) ya anachopata mtoto wa kiume.
Hizo hazipo kwenye nguzo za uislam1. Mwanamke wa kiislamu kula kitimoto ni DHAMBI
2. Mwanamke wa kiislamu kuswalisha ni DHAMBI
Imekiuka nguzo gani hii?
#YNWA
Achana naye huyo.Rekebisha heading yako. Nguzo za Uislam ni 5
1. Kusadiki imani ya Kiislam kwamba Mungu ni 1 na Muhammad ni mjumbe wake
2. Kusali sala 5
3. Kutoa zaka
4. Kufunga Ramadhan
5. Kuhiji Makka
Sasa mwanamke akiwa Rais ni nguzo gani imekiukwa?
Zanzibar siyo nchi na wala haina kiti UN!Mkuu tofautisha.
Inchi ya kiislam.
Na inchi yenye waislam wengi.
Hivi Zanzibar ni Muslim country?
Kuwa muelewa.
Nilinukuu komenti yako,uliandika Pakistani siyo waislam,mashoga 25%,ninachopinga hicho Cha kusema si waislamMkuu tofautisha.
Inchi ya kiislam.
Na inchi yenye waislam wengi.
Hivi Zanzibar ni Muslim country?
Kuwa muelewa.
Tatizo unasahau umezunguma niniPakistan 70% ni waislam na 30% ni dini zingine.
Na sio inchi ya kiislam.
Inafata Sheria za kingereza kama zetu.