Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

Nasikia alomwambukiza gonorrhea Kali sana
Ndio maana
 
Kwamba huyu Mandela alietoka hakuwa yule aliefungwa mwanzoni? Kivipi?

Kwanini iwe hivyo kuna lipi limefichwa hadi winnie amchukie mumewe?
 
Ila kwa mbaaaliii nahisi yesu naye aliona mbali akaona aa acha akamilishe mishe tu iliyomleta duniani .Na sio kuhangaika na mashangazi wa yudea ,karpenaumu au kule galilaya maana angepigwa na kitu kizito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…