Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

Yes for advance level ni history 2 but at higher level than that Kwa wale waliosoma history kuna optional course ya history of South Africa ....
Ok mkuu kumbe kuna history kubwa zaidi ya advance, sikuwahi kufahamu
 
Paragraph ya pili huu ni uongo sasa, khaaah
Sijawahi amini kitu km hiki, bas marehemu wangekua wanaletwa wakiwa wapyaaa.

Hii ni uongoooo.
 
Paragraph ya pili huu ni uongo sasa, khaaah
Sijawahi amini kitu km hiki, bas marehemu wangekua wanaletwa wakiwa wapyaaa.

Hii ni uongoooo.
Ndio maana nimeiandika Kama theories..hata Mimi siamini but I have just presented what was written....
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hata usijar, ntaweka uzi hapa kuwaalika wana JF wote mje mjumuike.

Lastborn wa JF navaa joho. [emoji91][emoji91]
Naaam maana lile chimbo lenu la selfica mmefungiwa sijui chimbo jipya....


Mtoa Uzi unisamehe nipo out of topic. Japo huyu coca hawezi kuvumilia mume akifungwa jela even two months
 
Naaam maana lile chimbo lenu la selfica mmefungiwa sijui chimbo jipya....


Mtoa Uzi unisamehe nipo out of topic. Japo huyu coca hawezi kuvumilia mume akifungwa jela even two months
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mingi hivyo? Yaan anavyoenda jela na mie natafuta wa kudeveleka nae siku hiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…