Kwanini Rais Samia mpaka sasa hajaongea na waandishi wa habari kuhusiana na sakata la Bandari?

Ww huwa ni mjinga na vingereza Koko. Ila leo umeongeo jambo la msingi kwanini raisi anakimbia kujibu jambo zito!? Analijibu jibu kwa mbali. This is not a practice of our presidents. Magu kwenye hoja nzito alikuwa anakuja front kutoa maelezo.
 
Mkataba umevuja ataongea nini. Hakutegemea yanayoendelea
 
Alijichanganya kwenye Kesi ya Mbowe sahivi akili imemkaa
 
Hana uwezo wowote wakujibu zile hoja,anafikilia wajomba zake watafanyaje akifuta mkataba.
Na pesa ya mwarabu wamekula tiyari.
Mpaka watanganyika tujute.
 
Mtu akiwa na tonge mdomoni kuongea inskuwa shida!
 
Aongee nao wa nini wakati jambo liko bayana na nchi itanufaika? Mama aendelee kujinywea maji asisikilize sauti za vyura.
 
Muhimu ni kwamba wataalam kama kina shivji washaongea sasa we shivji unaona hana akili?mtu ka publish mavitu yanasomwa chuo kikuu Leo hii aongee kitu kuhusu tasnia yake me nimpinge..sorry kwanza kwani rais mama samia kasomeaga nini??
amesomea mapishi
 
There are people who make things happen. There are people whowatch things happen. And there are people who say, “whathappened?”
 
Hana content na akili hio hana huyo Libibi wao
 
Inanihusu nini? Yeye kaandika mawazo yake. Nibishane na mawazo yake? Au?
Hapana, sio ubishane nawe...

Isipokuwa usome, yakuingie kwenye akili (ufahamu wako) kisha utoke kwenye giza la kutoelewa!!

That's all. Nothing more, nothing less..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…