Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni zaidi ya mwezi sasa hili suala la bandari limeendelea kuwa gumzo, kinyume na matarajio yangu!
Mwanzoni nilidhani lilikuwa ni upepo tu upitao kama yalivyo masuala mengine.
La hasha. Haijawa hivyo.
Kila kunapokucha, gumzo la bandari zetu ndo linatawala vinywa vya wananchi.
Hali hii imenifanya nijiulize maswali kadha wa kadha;
Kwa vile ni gumzo ambalo limeendelea kutawala mazungumzo ya watu kwa muda mrefu [kwa zama hizi za utandawazi, umma kuongelea jambo moja kwa zaidi ya mwezi, ni muda mrefu!], basi ni wazi kuwa wananchi wengi wanaliona kuwa ni suala la muhimu sana.
Sasa kwa nini mpaka sasa Rais Samia hajaitisha mkutano wa habari na waandishi wa habari ili kulizungumzia na kulitolea ufafanuzi na kujibu maswali ya wananchi?
Badala yake, ni kama vile kajificha nyuma ya makada wa chama chake pamoja na baadhi ya wateule wake serikalini ambao wao ndo wamejaribu kulizungumzia, lakini kila wafanyapo hivyo, wanaishia kuzua maswali mengi zaidi.
Ni kwamba hana taarifa za kutosha za kumwezesha kulizungumzia hilo suala mbele ya waandishi wa habari?
Au hajiamini kuongea na waandishi wa habari?
Come on Samia….talk to the press [and the nation].
If everything is above board….is on the up and up, it shouldn’t be that difficult for you to talk to the press and take their questions.
Ona huyu alivyokuwa anakabiliana na waandishi wa habari wa kimataifa…
Hapo ndipo unapoleta changamoto.Haihusu.
.....Mama ana mengi sana ya kufanya, hana sababu za kubishana na wajinga.
Huyo hana maslahi yoyote zaidi ya dini tu.Huyu faiza ni nani nchi hii anajihusisha na shughuli gani kwanini anapambana sana wakati huu hasa sakata hili la bandari si usiku si mchana yupo active tofauti kabisa na kipindi cha magufuli
Nchi ina watu milioni sitini. Ni kujidanganya kusema wenye kazi zao washaamua kwenye kitu ambacho kinataka unyenyekevu na hekima ili kukipeleka mbele.Haihusu.
Wapo wenye kazi zao juzi waliitisha kongamano wakajibu maswali yote, na wamekubaliana kikao kijacho itakuwa ni mdahalo na wale wamaopinga.
Mama ana mengi sana ya kufanya, hana sababu za kubishana na wajinga.
Record keepingMuhimu ni kwamba wataalam kama kina shivji washaongea sasa we shivji unaona hana akili?mtu ka publish mavitu yanasomwa chuo kikuu Leo hii aongee kitu kuhusu tasnia yake me nimpinge..sorry kwanza kwani rais mama samia kasomeaga nini??
Na yeye na usomi wake alitahadharisha ubinafsishaji wa mabenki hatari kwa nchi asimame mbele leo atuonyeshe hizo athari kwenye hili la masuala ya uchumi na mageuzi huwezi sikiliza mtu kama Shivji alishaharibu toka mwanzo huko ukishachanganya imani zako za mambo ya ujamaa na taaluma utatoa tahadhari zisizokuwa na maaana , akajifunze kwa wenzake kama dean wa school ya Lee Kuan Yew watu wametoa michango ya kufanya nchi zao zimekuwa mataifa tajiri ulimwenguni .Muhimu ni kwamba wataalam kama kina shivji washaongea sasa we shivji unaona hana akili?mtu ka publish mavitu yanasomwa chuo kikuu Leo hii aongee kitu kuhusu tasnia yake me nimpinge..sorry kwanza kwani rais mama samia kasomeaga nini??
Kwi Kwi Kwi ! Hali mbaya ! Maji yamekorogekaHaihusu.
Wapo wenye kazi zao juzi waliitisha kongamano wakajibu maswali yote, na wamekubaliana kikao kijacho itakuwa ni mdahalo na wale wamaopinga.
Mama ana mengi sana ya kufanya, hana sababu za kubishana na wajinga.
Ww ni kikarogosi ww uliona kuna mtu alijibu kitu pale zaidi ya bla blaa za hapa Na paleHaihusu.
Wapo wenye kazi zao juzi waliitisha kongamano wakajibu maswali yote, na wamekubaliana kikao kijacho itakuwa ni mdahalo na wale wamaopinga.
Mama ana mengi sana ya kufanya, hana sababu za kubishana na wajinga.
Mie nilidhania una akili!Haihusu.
Wapo wenye kazi zao juzi waliitisha kongamano wakajibu maswali yote, na wamekubaliana kikao kijacho itakuwa ni mdahalo na wale wamaopinga.
Mama ana mengi sana ya kufanya, hana sababu za kubishana na wajinga.
TuHuna hoja ndo maana umemshambulia nafsi yake!
Waarabu wa DP World wana moto na Royal Tour saa hizi. Unafikiri hizo porojo zenu watu wana habari nazo? Jionee👇🏾Kwi Kwi Kwi ! Hali mbaya ! Maji yamekorogeka
Nyie hororojeni na kubwabwaja, mama Samia anajibu kwa vitendo:Ww ni kikarogosi ww uliona kuna mtu alijibu kitu pale zaidi ya bla blaa za hapa Na pale
Tanzania hii wenye akili ni Mbowe na Slaa tu.Mie nilidhania una akili!
kwani wale wakina Johari ndiyo wamepewa madaraka ya Kusimamia rasilimali za taifa kwa mujibu wa katiba,mpaka wawe final say?Haihusu.
Wapo wenye kazi zao juzi waliitisha kongamano wakajibu maswali yote, na wamekubaliana kikao kijacho itakuwa ni mdahalo na wale wamaopinga.
Mama ana mengi sana ya kufanya, hana sababu za kubishana na wajinga.
Mkuu acha kufananisha icho kichwa na Kabeji!Inahusu sana tu. Mjinga ni anayeogopa kukabiliana na waandishi wa habari.
Huyu alikuwa na mambo mengi sana na hakuwa anajificha katika kuongea na waandishi wa habari!!
Kwani sasa wewe ni tajiri?Mzee waa porojo tu huyo.Katuwacha masikini wa mwisho duniani, simsahau umasikini wa ujinga wa mwisho duniani aliotuwacha nao.
mama ni wa vitendo zaidi.
Watu wa Pwani Wana akili sasa,waacheni waendelee kucheza midumange!Kwahiyo wewe unaona bandari ni jambo dogo?? Huo ushungi ulivaa umepita hapo bandarini.