Kwanini Rais Samia mpaka sasa hajaongea na waandishi wa habari kuhusiana na sakata la Bandari?

Kwanini Rais Samia mpaka sasa hajaongea na waandishi wa habari kuhusiana na sakata la Bandari?

Samia hana jibu, wala usipoteze muda wako kumsubiri atolee ufafanuzi hilo suala la bandari, kimsingi wanachojibu kina Mbarawa ndio ujinga huo huo uliopo kwenye kichwa cha Samia, hana ajualo.

Ameshajipambanua siku nyingi yeye ni kiongozi wa kuwaachia wasaidizi wake wafanye kile kitu, yeye ni kama ceremonial president.

Hujiulizi kwanini licha ya kukaa kimya muda mrefu, lakini alipozungumza juzi wakati akiwaapisha kina Kitila bado aliongea pumba, akasema wakenya nao wamekimbilia uwekezaji wa DPW.

Kama vile hatutaki uwekezaji, wakati shida yetu ni terms za hovyo zinazotunyonya kwenye ule mkataba wa bandari, na unapomlinganisha na Nyerere ndio unatenda dhambi nyingine kubwa zaidi, huyo ungemuwekea mfano wa Kikwete tu inatosha.
Aongee mara ngapi?? Havutii kumsikiliza make hawezi kuhutuba. Lakini kwa nafasi chache alizopata tayari alishafikisha ujumbe.
My take: Ishu ya bandari tayari imeenda!
Dubai kamwaga fedha nyingi sana walafi hawawezi kuziacha!
 
Karl Peter's sign fake treaty with Chief mangungo of Msovero many years ago.Nilifundishwa na mwalimu wangu wa history kidato Cha tatu akatusisitiza darasani kwamba tuwe makini Sana na kitu kinachoitwa kusaini mkataba ,tusitie sahihi zetu pasipo kuelewa kilichoandikwa na ikitokea hujaelewa shirikisha wataalamu wakufafanulie kilichomo ili usije kuingia mkenge.Historian kazi kwenu
Iko hivi... Lazima yule Karl Peters wa zamani alitumia hongo. Na hata huyu wa sasa naye katumia hongo!
Kitu ambacho Mwalimu wako hakukwambia ni kuwa kina Karl Peters wapo. Na kina Chief Mangungo pia wapo. Tena kwa sasa ni wasomi na wataalamu kweli kweli!
#Maslahi
#Hongo
 
Ni zaidi ya mwezi sasa hili suala la bandari limeendelea kuwa gumzo, kinyume na matarajio yangu!

Mwanzoni nilidhani lilikuwa ni upepo tu upitao kama yalivyo masuala mengine.

La hasha. Haijawa hivyo.

Kila kunapokucha, gumzo la bandari zetu ndo linatawala vinywa vya wananchi.

Hali hii imenifanya nijiulize maswali kadha wa kadha;

Kwa vile ni gumzo ambalo limeendelea kutawala mazungumzo ya watu kwa muda mrefu [kwa zama hizi za utandawazi, umma kuongelea jambo moja kwa zaidi ya mwezi, ni muda mrefu!], basi ni wazi kuwa wananchi wengi wanaliona kuwa ni suala la muhimu sana.

Sasa kwa nini mpaka sasa Rais Samia hajaitisha mkutano wa habari na waandishi wa habari ili kulizungumzia na kulitolea ufafanuzi na kujibu maswali ya wananchi?

Badala yake, ni kama vile kajificha nyuma ya makada wa chama chake pamoja na baadhi ya wateule wake serikalini ambao wao ndo wamejaribu kulizungumzia, lakini kila wafanyapo hivyo, wanaishia kuzua maswali mengi zaidi.

Ni kwamba hana taarifa za kutosha za kumwezesha kulizungumzia hilo suala mbele ya waandishi wa habari?

Au hajiamini kuongea na waandishi wa habari?

Come on Samia….talk to the press [and the nation].

If everything is above board….is on the up and up, it shouldn’t be that difficult for you to talk to the press and take their questions.

Ona huyu alivyokuwa anakabiliana na waandishi wa habari wa kimataifa…


Samia ndio kwanza anaanza kuusoma vizuri na kuujua mkataba wa bandari. Naamini mtazamo wake umebadilika na inakuwa vigumu kurudi nyuma.
 
Bahati mbaya hatuna waandishi wenye guts au uwezo wa kuuliza maswali magumu.

Huwa wanaishia kujichekesha tu na kusifia sifia.
 
Samia aseme nn tena?? Kashalikologa tayari, kuendelea kuongea ni kuendelea kujitafutia matatizo kwa raia wake...anajua kbs kashapuyanga na hela kashachukua kwa ajiri ya kampeni za uchaguzi ujao hivyo kaona bora afe na tai shingoni tu ... hapana chezea fwedha weye [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Bandari day 22 July
 

Attachments

  • IMG-20230716-WA0843.jpg
    IMG-20230716-WA0843.jpg
    247.4 KB · Views: 2
Muhimu ni kwamba wataalam kama kina shivji washaongea sasa we shivji unaona hana akili?mtu ka publish mavitu yanasomwa chuo kikuu Leo hii aongee kitu kuhusu tasnia yake me nimpinge..sorry kwanza kwani rais mama samia kasomeaga nini??
Kasomea form 4
 
Kwangu mimi bora asiongee kuliko kuongea na kudanganywa ninakasirika sana siku hizi hawa Policians Ku-insult our Intelligence yaani wanadangaya hivi hivi / wazi wazi kabisa, Hivyo basi binafsi ili kuondoa mzizi wa fitina tuache usiri kwenye mali za Taifa kila kitu kiwe wazi - Hapo hatutahitaji kuambiwa sababu tutajisomea

 
Ni zaidi ya mwezi sasa hili suala la bandari limeendelea kuwa gumzo, kinyume na matarajio yangu!

Mwanzoni nilidhani lilikuwa ni upepo tu upitao kama yalivyo masuala mengine.

La hasha. Haijawa hivyo.

Kila kunapokucha, gumzo la bandari zetu ndo linatawala vinywa vya wananchi.

Hali hii imenifanya nijiulize maswali kadha wa kadha;

Kwa vile ni gumzo ambalo limeendelea kutawala mazungumzo ya watu kwa muda mrefu [kwa zama hizi za utandawazi, umma kuongelea jambo moja kwa zaidi ya mwezi, ni muda mrefu!], basi ni wazi kuwa wananchi wengi wanaliona kuwa ni suala la muhimu sana.

Sasa kwa nini mpaka sasa Rais Samia hajaitisha mkutano wa habari na waandishi wa habari ili kulizungumzia na kulitolea ufafanuzi na kujibu maswali ya wananchi?

Badala yake, ni kama vile kajificha nyuma ya makada wa chama chake pamoja na baadhi ya wateule wake serikalini ambao wao ndo wamejaribu kulizungumzia, lakini kila wafanyapo hivyo, wanaishia kuzua maswali mengi zaidi.

Ni kwamba hana taarifa za kutosha za kumwezesha kulizungumzia hilo suala mbele ya waandishi wa habari?

Au hajiamini kuongea na waandishi wa habari?

Come on Samia….talk to the press [and the nation].

If everything is above board….is on the up and up, it shouldn’t be that difficult for you to talk to the press and take their questions.

Ona huyu alivyokuwa anakabiliana na waandishi wa habari wa kimataifa…


Hata yeye anajua hawezi kujibu hoja zao.
 
Ni zaidi ya mwezi sasa hili suala la bandari limeendelea kuwa gumzo, kinyume na matarajio yangu!

Mwanzoni nilidhani lilikuwa ni upepo tu upitao kama yalivyo masuala mengine.

La hasha. Haijawa hivyo.

Kila kunapokucha, gumzo la bandari zetu ndo linatawala vinywa vya wananchi.

Hali hii imenifanya nijiulize maswali kadha wa kadha;

Kwa vile ni gumzo ambalo limeendelea kutawala mazungumzo ya watu kwa muda mrefu [kwa zama hizi za utandawazi, umma kuongelea jambo moja kwa zaidi ya mwezi, ni muda mrefu!], basi ni wazi kuwa wananchi wengi wanaliona kuwa ni suala la muhimu sana.

Sasa kwa nini mpaka sasa Rais Samia hajaitisha mkutano wa habari na waandishi wa habari ili kulizungumzia na kulitolea ufafanuzi na kujibu maswali ya wananchi?

Badala yake, ni kama vile kajificha nyuma ya makada wa chama chake pamoja na baadhi ya wateule wake serikalini ambao wao ndo wamejaribu kulizungumzia, lakini kila wafanyapo hivyo, wanaishia kuzua maswali mengi zaidi.

Ni kwamba hana taarifa za kutosha za kumwezesha kulizungumzia hilo suala mbele ya waandishi wa habari?

Au hajiamini kuongea na waandishi wa habari?

Come on Samia….talk to the press [and the nation].

If everything is above board….is on the up and up, it shouldn’t be that difficult for you to talk to the press and take their questions.

Ona huyu alivyokuwa anakabiliana na waandishi wa habari wa kimataifa…


Wanasheria walioshiriki kuandaa hiyo mikataba wameshaitolea ufafanuzi wa kina, kifungu kwa kifungu.

Sioni kama ni sawa kwa Rais kuingia katika mitego hii ya wanasiasa haswa hawa wa mitandaoni.
 
Aongee mara ngapi?? Havutii kumsikiliza make hawezi kuhutuba. Lakini kwa nafasi chache alizopata tayari alishafikisha ujumbe.
My take: Ishu ya bandari tayari imeenda!
Dubai kamwaga fedha nyingi sana walafi hawawezi kuziacha!
Hao ni jamaa zangu wa hayati JPM, nongwa zimewajaa mpaka shingoni.
 
Aongee mara ngapi?? Havutii kumsikiliza make hawezi kuhutuba. Lakini kwa nafasi chache alizopata tayari alishafikisha ujumbe.
My take: Ishu ya bandari tayari imeenda!
Dubai kamwaga fedha nyingi sana walafi hawawezi kuziacha!
Bandari haziwezi enda.

Amini usiamini,

Mungu wetu atajibu Kwa utisho mkuu.

Tusubiri
 
Jusi aliharibu kufungua kinywa sijui kwenye warsha gani Huko magogoni aloo SAS wadau kwenye comment wamemfvaa
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haihusu.

Wapo wenye kazi zao juzi waliitisha kongamano wakajibu maswali yote, na wamekubaliana kikao kijacho itakuwa ni mdahalo na wale wamaopinga.


Mama ana mengi sana ya kufanya, hana sababu za kubishana na wajinga.
Kwahiyo Profesa Shivji, Kadinali Pengo na wote wanaopinga ni wajinga?

Astaghafirullahi.
 
Back
Top Bottom