Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kasi ya watu kuwa Atheist yaani watu wasioamini uwepo wa Mungu ni kubwa sana siku hizi. Tulizoea kusikia mambo haya kwa wenzetu Ulaya na America, lakini atheism imehamia Africa na inakuwa kwa kasi kubwa mno.

Ni nini sababu za watu wengi hasa vijana kuacha kuamini katika uwepo wa Mungu na nguvu zake? Je, wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuporomoka kwa maadili Afrika? Tujadili.
 
Kasi ya watu kuwa atheist yaani watu wasioamini uwepo wa Mungu ni kubwa sana siku hizi. Tulizoea kusikia mambo haya kwa wenzetu Ulaya na America lakini atheism imehamia Africa na inakua kwa kasi kubwa mno.

Ni nini sababu za watu wengi hasa vijana kuacha kuamini katika uwepo wa Mungu na nguvu zake? Je wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuporomoka kwa maadili Afrika? Tujadili.
wewe upo upande gani.
watu wanafundishwaa kutii viongozi na kuwapa upendeleo viongozi wa dini kuliko hata Mungu
Viongozi wameacha dini, wanafanya biashara
 
Kasi ya watu kuwa atheist yaani watu wasioamini uwepo wa Mungu ni kubwa sana siku hizi. Tulizoea kusikia mambo haya kwa wenzetu Ulaya na America lakini atheism imehamia Africa na inakua kwa kasi kubwa mno.

Ni nini sababu za watu wengi hasa vijana kuacha kuamini katika uwepo wa Mungu na nguvu zake? Je wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuporomoka kwa maadili Afrika na ujio wa tabia kama ushoga na usagaji? Tujadili.

MITHALI 22:6
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Maombolezo 5:7
Baba zetu walitenda dhambi hata hawako; Na sisi tumeyachukua maovu yao.

MITHALI 10:1
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.

ISAYA 54:12-13
Nami nitaifanya minara yako ya akiki nyekundu, na malango yako ya almasi, na mipaka yako yote ya mawe yapendezayo.
Na watoto wako wote watafundishwa na Bwana; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.

YEREMIA 22: 29-30
Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neno la Bwana.
Bwana asema hivi, Andikeni habari za mtu huyu kwamba hana watoto, kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zake zote; maana hapana mtu katika wazao wake atakayefanikiwa, akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na kutawala tena katika Yuda.
 
Mungu ametuagiza tusamehe 7 mara 70, ila yeye kashindwa kumsamehe shetani. Ufafanuzi wa hili sijui ukoje.

Mungu alisema kuua ni dhambi lakini kwenye vitabu vya dini mara kadhaa Mungu ameua wale waliomchukiza.
Suala la Mungu ni eneo Pana sana hapa utamkaribisha Kiranga na mjadala hautoisha Leo maana atakwambia hamjui Mungu maana Mungu hayupo Mungu unaemzungumza ni yule alieumbwa na wanadamu Ila Mungu hayupo, hio ni kwa mujibu wa Kiranga ngoma ngumu
 
Tatizo ni kwamba Vijana hawana hela halafu Mungu anahitaji Pesa. Na Mungu hatoagi pesa hata akikupa unakua ushapigika kweli
Umepiga kwenye MSHONO nabii wa mchongo anataka Pesa za Sadaka anakwambia Pesa hizo zinaenda kwa Mungu, Mungu mwenyewe hujawahi hata kumuona lazima ufikiche akili wakati yeye anatajirika

Reference: Paul Mackienz

Shtuka!
 
Je wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuongezeka kwa ushoga, usagaji, ubakaji, ulawiti na madhambi mengine? Tujadiliane.
Cha ajabu hizo imani tulizoletewa ndio zimekuwa mawakala wa ubakaji, ulawiti na maadili mengine mabovu. Kidume mzima aliyekomaa anajificha mbele ya madhabau na kupachikwa jina Padre anaapa kuishi bila kuoa kwa sababu ya Mungu mwisho wa siku anaishia kulawiti vijana wa altareni. Stupid
 
Cha ajabu hizo imani tulizoletewa ndio zimekuwa mawakala wa ubakaji, ulawiti na maadili mengine mabovu. Kidume mzima aliyekomaa anajificha mbele ya madhabau na kupachikwa jina Padre anaapa kuishi bila kuoa kwa sababu ya Mungu mwisho wa siku anaishia kulawiti vijana wa altareni. Stupid
Binadamu wote tumeumbiwa mifumo mitatu mfumo wa Nafsi unao-control akili, hisia, utashi na Maarifa kwa ujumla, mfumo wa Roho unao-control masuala ya kiimani na mfumo wa Mwili unao-control mechanism nzima ya uchakataji chakula ukiwa na tisu, seli na mfumo wa upumuaji na mfumo wa fahamu na mfumo wa damu, na mifumo yote hii inafanya kazi kwa kuangaliana yaan kwa kutumia formula ya Check's and Balance sasa ikitokea mfumo mmoja umefanya ukavuka ukomo au mstari na kufanya kazi za mfumo mwingine ndio hapo unapomkuta Padre amepiga kitasa kwenye Bunyero sio kwamba Padre ni Malaika Padre nae ni binadamu km Mimi na wewe hata yeye anazimika na misambwanda, elewa hivyo
 
Binadamu wote tumeumbiwa mifumo mitatu mfumo wa Nafsi unao-control akili, hisia, utashi na Maarifa kwa ujumla, mfumo wa Roho unao-control masuala ya kiimani na mfumo wa Mwili unao-control mechanism nzima ya uchakataji chakula ukiwa na tisu, seli na mfumo wa upumuaji na mfumo wa fahamu na mfumo wa damu, na mifumo yote hii inafanya kazi kwa kuangaliana yaan kwa kutumia formula ya Check's and Balance sasa ikitokea mfumo mmoja umefanya ukavuka ukomo au mstari na kufanya kazi za mfumo mwingine ndio hapo unapomkuta Padre amepiga kitasa kwenye Bunyero sio kwamba Padre ni Malaika Padre nae ni binadamu km Mimi na wewe hata yeye anazimika na misambwanda, elewa hivyo
Dini ina kazi yoyote katika hiyo mifumo?
 
Kasi ya watu kuwa Atheist yaani watu wasioamini uwepo wa Mungu ni kubwa sana siku hizi. Tulizoea kusikia mambo haya kwa wenzetu Ulaya na America, lakini atheism imehamia Africa na inakuwa kwa kasi kubwa mno.

Ni nini sababu za watu wengi hasa vijana kuacha kuamini katika uwepo wa Mungu na nguvu zake? Je, wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuporomoka kwa maadili Afrika? Tujadili.
Mungu anapewa vingi tofauti na yeye anavyodeliver in return

Biashara kati ya Mungu na binadamu ni biashara kichaka

Unatoa pesa unapata makelele yanayoitwa maombi

Biashara kati ya binadamu na ni biashara ya kimangungo
 
Back
Top Bottom