Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Aa
Binadamu wote tumeumbiwa mifumo mitatu mfumo wa Nafsi unao-control akili, hisia, utashi na Maarifa kwa ujumla, mfumo wa Roho unao-control masuala ya kiimani na mfumo wa Mwili unao-control mechanism nzima ya uchakataji chakula ukiwa na tisu, seli na mfumo wa upumuaji na mfumo wa fahamu na mfumo wa damu, na mifumo yote hii inafanya kazi kwa kuangaliana yaan kwa kutumia formula ya Check's and Balance sasa ikitokea mfumo mmoja umefanya ukavuka ukomo au mstari na kufanya kazi za mfumo mwingine ndio hapo unapomkuta Padre amepiga kitasa kwenye Bunyero sio kwamba Padre ni Malaika Padre nae ni binadamu km Mimi na wewe hata yeye anazimika na misambwanda, elewa hivyo
Ahaaaaa
 
Cha ajabu hizo imani tulizoletewa ndio zimekuwa mawakala wa ubakaji, ulawiti na maadili mengine mabovu. Kidume mzima aliyekomaa anajificha mbele ya madhabau na kupachikwa jina Padre anaapa kuishi bila kuoa kwa sababu ya Mungu mwisho wa siku anaishia kulawiti vijana wa altareni. Stupid
Halafu na mwisho wa mwaka tunamchangia mamilioni Ili kumsimamisha na kumtegemeza
 
Kasi ya watu kuwa Atheist yaani watu wasioamini uwepo wa Mungu ni kubwa sana siku hizi. Tulizoea kusikia mambo haya kwa wenzetu Ulaya na America, lakini atheism imehamia Africa na inakuwa kwa kasi kubwa mno.

Ni nini sababu za watu wengi hasa vijana kuacha kuamini katika uwepo wa Mungu na nguvu zake? Je, wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuporomoka kwa maadili Afrika? Tujadili.
Aliyekuambia waafrika hawaamini Mungu ni nani? HAKUNA mwafrika asiye amini Mungu ila wengi siku hizi baada ya kusoma na kujuwa ukweli hawataki tena kuabudu hizi dini za kuletewa na wakoloni kwani hazina ukweli wowote.
 
Dini imeshakua Biashara halali ukitaka kupiga Pesa za wajinga vichaa wapungufu wa akili jiite prophet au jiite nabii au jiite kuhani baada ya hapo fungua kanisa lako hawatojari una elimu gani wewe tema neno ukimaliza wakamue sadaka tena kaba hadi kwenye mitandao ya simu yote weka namba wajinga watachangia, miezi miwili mingi una kiwanja kigambo huku unapush harrier matako ya nyani new model
 
Aliyekuambia waafrika hawaamini Mungu ni nani? HAKUNA mwafrika asiye amini Mungu ila wengi siku hizi baada ya kusoma na kujuwa ukweli hawataki tena kuabudu hizi dini za kuletewa na wakoloni kwani hazina ukweli wowote.
Congrats

Overtime Mungu wa kwenye makaratasi yaitwayo Biblia atapitwa na wakati
 
Dini imeshakua Biashara halali ukitaka kupiga Pesa za wajinga vichaa wapungufu wa akili jiite prophet au jiite nabii au jiite kuhani baada ya hapo fungua kanisa lako hawatojari una elimu gani wewe tema neno ukimaliza wakamue sadaka tena kaba hadi kwenye mitandao ya simu yote weka namba wajinga watachangia, miezi miwili mingi una kiwanja kigambo huku unapush harrier matako ya nyani new model
Hapo Sina la kuongezea
 
Kasi ya watu kuwa Atheist yaani watu wasioamini uwepo wa Mungu ni kubwa sana siku hizi. Tulizoea kusikia mambo haya kwa wenzetu Ulaya na America, lakini atheism imehamia Africa na inakuwa kwa kasi kubwa mno.

Ni nini sababu za watu wengi hasa vijana kuacha kuamini katika uwepo wa Mungu na nguvu zake? Je, wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuporomoka kwa maadili Afrika? Tujadili.
Binafsi sioni kama kuna vijana wengi wanao mchukia Mungu ila ninachokiona ni Changamoto za maisha (ukosefu wa AJIRA/mitaji na ukosefu wa Mvua za msimu zinazopelekea kukosekana kwa mazao na hivyo kuwepo na ugumu wa maisha
Kwa kawaida Binadamu mambo yasipo enda Vizuri huwa tunatabia ya kutafuta wa kumtupia lawama......
 
Fikiria kama Mungu Leo ameamua kumsamehe shetani, je, utaendelea kwenda church, utaendelea kusali, etc.

Na je, atatumia njia Gani kuiambia Dunia kwamba msala wake na shetani umeisha?

Sijawahi acha kwenda Church, lakini Kuna story za sijui shetani, jehanamu, zaka, sadaka, etc ukinihubiria, sikubishii ila nakuachia mahubiri Yako.
 
Back
Top Bottom