zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kafanyaje huyo Hosea ? Jamàa nilisoma nae Chuo alikua kitombi balaaHosea 4:6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanyaje huyo Hosea ? Jamàa nilisoma nae Chuo alikua kitombi balaaHosea 4:6
Kwaiyo unataka Nini?Kafanyaje huyo Hosea ? Jamàa nilisoma nae Chuo alikua kitombi balaa
Wewe nawe pia unasema MUNGU hayupo Mungu hana uwezo Mungu ni ameumbwa na simulizi za kusadikika za wanadamu Mungu hajawahi kuwepo, unamaanisha hivyo ? Na je pia wewe una-support ushoga na usagaji ?
Hosea kafanyaje nimekuuliza jibu swaliKwaiyo unataka Nini?
Kiranga ni supporter wa mashoga na wasagaji, haamini uwepo wa Mungu anakubariana na uwepo wa ushoga na usagaji wewe je uhamini katika uwepo wa Mungu una-support ushoga na usagaji ?Tukirudi kwenye ushoga na usagaji unaposema na-support unamaanisha nini haswa fafanua ili nijibu swali lako vizuri
Upuuzi mtupuHalafu na mwisho wa mwaka tunamchangia mamilioni Ili kumsimamisha na kumtegemeza
Watu km wapi anaowachagua kuwapa wanyonyaji, wezi na matapeli ?Huenda ni kitendo cha Mungu kuwa na upendeleo, anachagua watu wa kuwapa.
Wewe ni mjingaWewe nawe pia unasema MUNGU hayupo Mungu hana uwezo Mungu ni ameumbwa na simulizi za kusadikika za wanadamu Mungu hajawahi kuwepo, unamaanisha hivyo ? Na je pia wewe una-support ushoga na usagaji ?
Kiranga ni supporter wa mashoga na wasagaji, haamini uwepo wa Mungu anakubariana na uwepo wa ushoga na usagaji wewe je uhamini katika uwepo wa Mungu una-support ushoga na usagaji ?
bianca2023 umekimbia au ?
Wewe ni mjinga
Hujui kujenga hoja za kudhihirisha uwepo wa Mungu, Una changanya mada kwa kuingiza ushoga.
Mada inahusiana na Atheism wewe unaleta ushoga!
Au na wewe ni shoga?
Huyu jamaa ni mjingaUsimkejeli ndugu mueleweshe tu kua kachanganya mada[emoji3][emoji3]usiwe mkali hivyo
Atheist hawana hoja zaidi ya mtindio wa akiliKuwa atheist sio kuporomoka kwa maadili, ni kupata akili
Wachungaji walizokula zinawatosha, watu wamepata akili
Kasi ya watu kuwa Atheist yaani watu wasioamini uwepo wa Mungu ni kubwa sana siku hizi. Tulizoea kusikia mambo haya kwa wenzetu Ulaya na America, lakini atheism imehamia Africa na inakuwa kwa kasi kubwa mno.
Ni nini sababu za watu wengi hasa vijana kuacha kuamini katika uwepo wa Mungu na nguvu zake? Je, wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuporomoka kwa maadili Afrika? Tujadili.