Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Zinaongeza uchumi wa familia kwa kiwango gani?Kuna jambo linanitatiza sana maana nimefanya research kiasi nikuwa huko mikoani na hata nilipofika huku Dar hili nimeliona sana.
dishe Je, kuvaa pete ya ndoa ni Ushamba? Au si kitu cha maana kwenye utamaduni wetu sisi waafrika?
Hizo mbona huwa zinavuliwa na kufichwa mifukoni au pochi.Uzinzi tu, pete ni kielelezo kua una mahausiano. Na si rahisi mtu kukufata kwa lengo la kukutaka kimahusiano ikiwa kaona una pete kidoleni.
Hata mwanaume kutongoza akiwa na pete kidoleni lazima mtongozwaji kama ana akili timamu atajihoji sana na ni rahisi kuchomoa.
Sasa kwakua wengi uzinzi umewatawala basi huzificha hizo pete au lah hawazivai kabisa ili watongozane kwa uhuru.
Huonagi watu wakifumaniwa au mambo kuharibika huwa wanasema alikua hajui kama ni mume/mke wa mtu, sababu ya kwanza ni kua mchepukaji havai pete kuepuka maswali.
Hakuna usaliti wowote, Mimi zangu nauzaga kwa sonara nikiwa na pesa ya kuchezea ndio nanunuwa nyingine.Sijasoma unachouliza ila jibu ni USALITI
Wewe unaishi dunia ya peke yako, waume za watu ndio wanapendwa na wadada wa kisasa kwa imani wanajuwa care na wana busara.Uzinzi tu, pete ni kielelezo kua una mahausiano. Na si rahisi mtu kukufata kwa lengo la kukutaka kimahusiano ikiwa kaona una pete kidoleni.
Hata mwanaume kutongoza akiwa na pete kidoleni lazima mtongozwaji kama ana akili timamu atajihoji sana na ni rahisi kuchomoa.
Sasa kwakua wengi uzinzi umewatawala basi huzificha hizo pete au lah hawazivai kabisa ili watongozane kwa uhuru.
Huonagi watu wakifumaniwa au mambo kuharibika huwa wanasema alikua hajui kama ni mume/mke wa mtu, sababu ya kwanza ni kua mchepukaji havai pete kuepuka maswali.
Kuna siku nilikuwa nimepiga kinoma, nikaiuza ilikuwa ya gold. Nimerudi homa naulizwa pete iko wapi, nikamuambia nimeuza.. paliwaka.. kwakua na miw mzima wa akili, kawakaa sanaaa.. nikaona hizi fujo, nikabeba begi nikasepa nikaenda kulala hotel, asubuhi nakuta na missed call zaidi ya 50 π€£π€£π€£π€£ hakurudia tena kuniuliza mambo ya pete
Ndoa ipoo moyoni...Kama mtu msaliti ni msalitii tu..halafu hizo Pete watu hata hawaogopi now daysHamna Joannah, nilishamwambia kuwa hii kitu sitavaa, nilivyoivua sikuwahi kuirudia tena, huenda hata ishauzwa na sijui. Agano langu lipo moyoni...
Halafu ujue kusaliti haina cha pete wala nini, ukiamua kusaliti ni unasaliti tu. Hata hivyo kidume kudumu na Ke mmoja ni mtihani mkubwa sana kuwahi kutokea duniani, nilijaribu nimeshindnimesh
π π sasa nilikuwa sina hela na pete ninayo kwanini nisiuze .. kusukuma sikuMwamba huyu hapaaπ π
Kwa kweli kimfaacho mtuu chakeeπ π π tusifanye Mambo yawe magumuπ π sasa nilikuwa sina hela na pete ninayo kwanini nisiuze .. kusukuma siku
π π π weye yako unayoKwa kweli kimfaacho mtuu chakeeπ π π tusifanye Mambo yawe magumu
Haimzuii mzinzi kuzini,Tena mwanaume ukivaa hakuna mwanamke anakukataa sababu wao wanaamini Kama unaweza tunza mke nae utamtunza bila keleleJamii itambue kuwa umeoa na hutaki mbambambaa
Yanguu inanibanaa ipoo kabatini na very soon napiga beiiπ π π ..ya mwenzanguu ndio sijuii tuuu maana wote hatuvai and no one caresπ π π maisha yanaendeleaa tu kirohoo safiiπ π π weye yako unayo
View attachment 2679149
Kweli maisha hayataki useriousπ π π weye yako unayo
View attachment 2679149
TrueWanasema zina wabana
Uislam hauna hyo sheriaKanisa na Msikiti
Ila kipindi cha uchumba na harusi zinatanuliwa na kumwagiwa mafuta mpaka ziingie πTrue