inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kusoma kwao au ulikua ushauri wa wazungu!?Kuna memba humu aliwahisema Zanzibar KANISA KATOLIKI Mila pili kuwa na rdhi kubwa wakiongozwa na kesho. Lkn wamelipata kwa kufuata taratibu zote. Hivyo full document. Na hao wakatoliki nafikiri kusoma kwao ndiko kulikowapa hizo ardhi. Wana maneno makubwa tena potential kila Kona ya nchi hii. Lkn kiuhalali wala si kwa wizi.
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
Hebu ziorodhesheHata Saudia mali nyingi ni za Wamarekani 😂😂
Dini na shughuli za kiuchumi wapi na wapi!?..wafuate taratibu za wawekezaji wengine kwenye kupewa ardhi,kodi na kila kitu,lakini Wana Bei kubwa kwenye hizo shughuli zao na bado wanapitisha vitu bandarini bila kutozwa ushuru,Kisha wanabeba na sadaka za waumini masikini,hao wanyonyaji,watazanwe kwa jicho jingineHujui kwamba huko kwenye taasisi za kidini kunakuwa na shughuli za kiuchumi na kijamii kama ufugaji,kilimo,hospitali mfano angalia RC utaelewa
Hajaanza leo, ni msaga sumu wa miaka mingi hapa nchini.Naanza kukuogopa, unaweza kuwa mchawi wewe!
Faizafoxy, nilikuwa sijui kama una akili ndogo namna hii. hapo unazuga tu. mimi sio mkatoliki, ila nikusaidie tu kufunguka, nia yako ni kusema kwanini wakatoliki wanahodhi maeneo makubwa namna hii?Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.
nafikiri anamaanisha, nyie walalamikaji. mbona bado kuna maeneo mengi tu faiza, nenda kahodhi tena ya bei ndogo sana. zamani kiluvya hapo palikuwa porini sasaivi ni dsm. maeneo kibaha huko yamejaa, baadaye watoto wako watakuja kusema taasisi fulani zimehodhi kumbe walichangamka mapema.Unaongelea "nyie" ndiyo kina nani hao?
Udini na uchawa utakuua kwa tunakufahamu Wala hautupi shida umezunguka weeee kuandika Ila ujue tu BANDARI na ardhi ya TANGANYIKA haitoki uislamu peleka Zanzibar af unapozungumzia masuala mtambuka wewe zungumzia ya Zenji bara siyo kwenu.Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.
Mwambie aje Bugando tu aone Kanda ya ziwa inavyopata huduma wakati Hospitali ya Seko Toure ya serikali ipo hoi!Mkiambiwa pangeni mipango ya muda mrefu mnaona ni ujinga.
Mkiambiwa nendeni mpate elimu dunia iliyo bora, mnaona ujinga.
Kwa taarifa yako,taasisi za dini (Hasa Za Kikristo) ndizo zinazoongoza katika kuhudumia Watanzania wengi masikini (hasa kwenye sekta ya afya).
kumbe hii mbuzi ni ya zenji? anatafuta nini sasa huku? si akale urojo huko? hivi kweli kumbe siku zote nabishana na mtu anayekula urojo?Udini na uchawa utakuua kwa tunakufahamu Wala hautupi shida umezunguka weeee kuandika Ila ujue tu BANDARI na ardhi ya TANGANYIKA haitoki uislamu peleka Zanzibar af unapozungumzia masuala mtambuka wewe zungumzia ya Zenji bara siyo kwenu.
Over
Pole Mkuu kwa kuhangaika na hii takataka mdini na mkabila wa Zenjikumbe hii mbuzi ni ya zenji? anatafuta nini sasa huku? si akale urojo huko? hivi kweli kumbe siku zote nabishana na mtu anayekula urojo?
Dada yangu najua unawazingumzia Wakatoliki;kwanza wale wamewekeza kwenye Elimu na Afya ambazo ni msaada kwa masikini wa nchi hii,mfano Mwanza tu hapa na Kanda ya ziwa kwa ujumla Hospitali ya Bugando ya Wakatoliki ndiyo imebeba mzigo mkubwa wakati Hospitali za serikali zipo hoi!Unaongelea "nyie" ndiyo kina nani hao?
Leta mfano wa taasisi za dini zenye Ardhi isiyoendelezwa!Sheria za Tanzania za kuhodhi ardhi ni iwe imeendelezwa ndani ya miaka mitatu, kama sikosei.
BAKWATA maeneo yao wamemuuzia Manji sasa naona wanatamani na wengine wauze au waporwe ili wote muwe sawa. Wivu mbaya sanaSiyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.
Takibiiir![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bakwata waliuza kila kitu palibakia pale Kinondoni tu
Sema tu Shujaa na Makonda waliingilia Kati na kuleta mfadhili wa kujenga Msikiti wangeshapauza!
Kimbweru!
Hapo kibibi amelenga taasisi za kikristu p...amejificha tu kwenye ...ila tunaomjua tumeshang'amua....Kwa hiyo ndio unachochea hao raia wakavamie ardhi za taasisi za kidini?
Wewe bibi ni mchawi.
Kwa Waislamu kunyang'anywa naunga mkono,nyie siyo watu wa maendeleo,maneno mengi sana!Tena kwa kuongezea, taasisi za Kiislam ndiyo zinahodhi maeneo makubwa makubwa kila sehemu Tanzania hii, kuliko taasisi yoyote ya kidini Tanzania, serikali ikazirudishe wapewe wananchi.