Ni mambo ya Ajabu ,yalojaa wizi , Roho mbaya Kwa Watanzania , matumizi mabaya ya Fedha zetu, na kutuona Watanzania ni wajinga sana .
Lakini haya yote ni matokeo ya kuongozwa na Kiongozi mwepesi mwepesi, asiyemjuzi na mdadisi, ambaye yeye akiletewa jambo ni kutia wino tu!.
Bahati mbaya sana, Unakuta Hizi Pesa, watu wa TAKUKURU wanafungu lao, Usalama Wana lao, Vyombo vyetu vya Ulinzi ma Usalama nao wa lao, Viongozi wa Dini Wana lao, Wapinzani njaaz Wana lao , Kiongozi Mkuu naye ana lake '.
Tumejengewa madaraja ya mbao Kwa mamilion, tumejengewa vibanda Kwa ma milion, watu wameonba Trillion 11, watu wameingia mikatana na wahindi, wr mikatana ya kumonitor hali ya umeme nchini..
Mambo ya ovyo ovyo ovyooo..
Hivi Kwa akili ya haraka haraka, Kivuko kiloungwa Kwa Billion 8, Leo kinakarabatiwa Kwa Bilion 7??.
RAIS KWELI ??