Kwanini tukarabati kivuko kwa Tsh. bil 7.5 wakati kipya ni bil 8.5?

Kwanini tukarabati kivuko kwa Tsh. bil 7.5 wakati kipya ni bil 8.5?

Wasalaam member wote wa JF!

Kwanza nianzw kuwapa pole wote mliopata na mshangao wa gharama za ukarabati wa ferry yetu wa Mv Magogoni kuwa ni Tsh Billion 7.5 huku gharama za ujenzi wa ferry ile ikiwa mpya mwaka 2009 ulikuwa ni Tsh Billion 8.
View attachment 2519723
Niende kwenye hoja yangu juu ya harufu ya rushwa ninayoiona kwenye issue iliyoteka mirandao ya jamii katika siku ya leo juu ya gharama za ukarabati wa Mv Magogoni.


Gazeti la The Citizens November 09,2022 liliandika habari juu ya PPRA kubatilisha tender iliyokampa ushindi kampuni ya African Marine and General Engineering Company Ltd. Huku mlalamikaji akiwa Kampuni ya Songoro Marine ambaye alifungua shauri hilo PPRA kwa kuilalamikia TEMESA kwa kuto mtendea haki katika ushindani na PPRA alikubaliana na Songoro Marine na hatimae kubatilisha ushindi wa kampuni ya African Marine and General Engineering Company Ltd. Na kuagiza mchakato uanze tena upya.

Ajabu mda uliotolewa maamuzi na PPRA mpaka kufikia leo ni kweli Temesa ilishatangaza tender tena na kupata mshindi yuleyule African Marine and General Engineering Company Ltd. Na kwa gharama zilezile ambazo walishindwa mwanzo?
View attachment 2519729
Ni kweli Songoro Marine ambae alijenga hiki kivuko kwa Gharama ya Tsh Bilion 8 leo hana sifa ya kukifanyia ukarabati?

PPAA nullifies Sh7.5 billion Mv Magogoni ferry tender
Acha wahuni wapige hela. Maza si anacheka cheka tu
 
Wasalaam member wote wa JF!

Kwanza nianzw kuwapa pole wote mliopata na mshangao wa gharama za ukarabati wa ferry yetu wa Mv Magogoni kuwa ni Tsh Billion 7.5 huku gharama za ujenzi wa ferry ile ikiwa mpya mwaka 2009 ulikuwa ni Tsh Billion 8.
View attachment 2519723
Niende kwenye hoja yangu juu ya harufu ya rushwa ninayoiona kwenye issue iliyoteka mirandao ya jamii katika siku ya leo juu ya gharama za ukarabati wa Mv Magogoni.


Gazeti la The Citizens November 09,2022 liliandika habari juu ya PPRA kubatilisha tender iliyokampa ushindi kampuni ya African Marine and General Engineering Company Ltd. Huku mlalamikaji akiwa Kampuni ya Songoro Marine ambaye alifungua shauri hilo PPRA kwa kuilalamikia TEMESA kwa kuto mtendea haki katika ushindani na PPRA alikubaliana na Songoro Marine na hatimae kubatilisha ushindi wa kampuni ya African Marine and General Engineering Company Ltd. Na kuagiza mchakato uanze tena upya.

Ajabu mda uliotolewa maamuzi na PPRA mpaka kufikia leo ni kweli Temesa ilishatangaza tender tena na kupata mshindi yuleyule African Marine and General Engineering Company Ltd. Na kwa gharama zilezile ambazo walishindwa mwanzo?
View attachment 2519729
Ni kweli Songoro Marine ambae alijenga hiki kivuko kwa Gharama ya Tsh Bilion 8 leo hana sifa ya kukifanyia ukarabati?

PPAA nullifies Sh7.5 billion Mv Magogoni ferry tender
Unanunua simu laki tano ikiaribika unaitengeneza kwa laki nne na....aiseee ina mahana aoni askihi ahambiwi
 
Imauma sana,leo unabiwa 7.5 bil,jana tril 4 kubadili nyaya za umeme nchi nzima,zote hizo zinaenda nje ya nchi.
Tuliona 1.3 ilivyochangamsha nchi ni kwa vile iliingia ndani sasa sisi tunatoa tu.
 
Hakuna cha magufuli au nani ila hili swala limekaa hivyo kabisa. Hizo pesa unapata karibu kivuko kipya. Naona kuna mtu anafungu lake kwenda iyo kampuni ya kenya
IMG_4308.jpg
 
Back
Top Bottom