jesus is alive
Member
- Jun 17, 2016
- 59
- 46
Kabisa. He was not patriotic leader, wasn't he?Magufuri unayemzungumzia ndio huyu huyu alienunua ndege na vivuko cash??
akanunua na kivuko kile ambacho hakitembei watu walivyo hoji akawapatia JWTZ ili watu waache kuulizia?
au unamzungumzia Magufuri yupi? Period
Kama kivuko kilikuwa Beyond Economic Repair kingekatwa katwa kisha kingeuzwa kama chuma chakavu (siso) tuNi mambo ya Ajabu ,yalojaa wizi , Roho mbaya Kwa Watanzania , matumizi mabaya ya Fedha zetu, na kutuona Watanzania ni wajinga sana .
Lakini haya yote ni matokeo ya kuongozwa na Kiongozi mwepesi mwepesi, asiyemjuzi na mdadisi, ambaye yeye akiletewa jambo ni kutia wino tu!.
Bahati mbaya sana, Unakuta Hizi Pesa, watu wa TAKUKURU wanafungu lao, Usalama Wana lao, Vyombo vyetu vya Ulinzi ma Usalama nao wa lao, Viongozi wa Dini Wana lao, Wapinzani njaaz Wana lao , Kiongozi Mkuu naye ana lake '.
Tumejengewa madaraja ya mbao Kwa mamilion, tumejengewa vibanda Kwa ma milion, watu wameonba Trillion 11, watu wameingia mikatana na wahindi, wr mikatana ya kumonitor hali ya umeme nchini..
Mambo ya ovyo ovyo ovyooo..
Hivi Kwa akili ya haraka haraka, Kivuko kiloungwa Kwa Billion 8, Leo kinakarabatiwa Kwa Bilion 7??.
RAIS KWELI ??
Hakukua na ulazima wa kumtukana jamaaSasa watu 200 unaleta hapa?? We jamaa una akili kichwani kweli?
Hiko kivuko kinachoenda kukarabatiwa unajua Capacity yake.
We jamaa maku kweli.
Nadhani amekuelewaAchana n mambo hayo fanya yako,hakuna jipya TZ
Na mimi niliposikia 7.5B nikajua tumepigwa tena. Sitaki wazo la viongozi wakuu katika sakata hili kuwa hawana uchungu na mali za Wabara liingie kichwani mwangu. Hivi Songoro Marine hana uwezo ku kukarabati hiyo feri kweli. Kama kweli ilijengwa kwa 8 B leo tena unatoa kiasi kama hicho kukarabati TEMESA na wote mliotia sahihi mna la kujibu kwa Mungu. Upinzani msikae kimya na kwa hili, maana ni kama hampo hapa Tanzania. Zito, Lisu, nk mko wapi?Ni mambo ya Ajabu ,yalojaa wizi , Roho mbaya Kwa Watanzania , matumizi mabaya ya Fedha zetu, na kutuona Watanzania ni wajinga sana .
Lakini haya yote ni matokeo ya kuongozwa na Kiongozi mwepesi mwepesi, asiyemjuzi na mdadisi, ambaye yeye akiletewa jambo ni kutia wino tu!.
Bahati mbaya sana, Unakuta Hizi Pesa, watu wa TAKUKURU wanafungu lao, Usalama Wana lao, Vyombo vyetu vya Ulinzi ma Usalama nao wa lao, Viongozi wa Dini Wana lao, Wapinzani njaaz Wana lao , Kiongozi Mkuu naye ana lake '.
Tumejengewa madaraja ya mbao Kwa mamilion, tumejengewa vibanda Kwa ma milion, watu wameonba Trillion 11, watu wameingia mikatana na wahindi, wr mikatana ya kumonitor hali ya umeme nchini..
Mambo ya ovyo ovyo ovyooo..
Hivi Kwa akili ya haraka haraka, Kivuko kiloungwa Kwa Billion 8, Leo kinakarabatiwa Kwa Bilion 7??.
RAIS KWELI ??
Utaachana nayo vipi wakat tozo Kila mahali na pesa zenyewe ndio wanazichezea hivyo? Bank tozo, kwenye simu tozo pesa tunayokatwa inauma sanaAchana n mambo hayo fanya yako,hakuna jipya TZ
Usisahau Mstaafu asiyestaafu naye yupo kutoa uzoefuBahati mbaya sana, Unakuta Hizi Pesa, watu wa TAKUKURU wanafungu lao, Usalama Wana lao, Vyombo vyetu vya Ulinzi ma Usalama nao wa lao, Viongozi wa Dini Wana lao, Wapinzani njaaz Wana lao , Kiongozi Mkuu naye ana lake '.
Tukisema nchi haina Raisi. mnakunja sura acha watu wajipigie bila hurumaNi mambo ya Ajabu ,yalojaa wizi , Roho mbaya Kwa Watanzania , matumizi mabaya ya Fedha zetu, na kutuona Watanzania ni wajinga sana .
Lakini haya yote ni matokeo ya kuongozwa na Kiongozi mwepesi mwepesi, asiyemjuzi na mdadisi, ambaye yeye akiletewa jambo ni kutia wino tu!.
Bahati mbaya sana, Unakuta Hizi Pesa, watu wa TAKUKURU wanafungu lao, Usalama Wana lao, Vyombo vyetu vya Ulinzi ma Usalama nao wa lao, Viongozi wa Dini Wana lao, Wapinzani njaaz Wana lao , Kiongozi Mkuu naye ana lake '.
Tumejengewa madaraja ya mbao Kwa mamilion, tumejengewa vibanda Kwa ma milion, watu wameonba Trillion 11, watu wameingia mikatana na wahindi, wr mikatana ya kumonitor hali ya umeme nchini..
Mambo ya ovyo ovyo ovyooo..
Hivi Kwa akili ya haraka haraka, Kivuko kiloungwa Kwa Billion 8, Leo kinakarabatiwa Kwa Bilion 7??.
RAIS KWELI ??
Kina nan na lini?Ndiyo maana wamefanya sherehe
Ohoo kumbe mweh twafiakwa 😅