Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
hawa bila mchi hawaishi mkuu nimekaa pale hawa shida wanapenda kunyanduana mara kwa mara matokeo yake ndo hao watoto wasio na baba yan kuna wadada wengine kwa mtoto mmoja anataja baba watatu atakaekubali ndo huyohuyoinawezekana maisha ya mbeleni hawa dada zetu naona wanaelekea kule kwenye njia za upandikazaji wa mbegu bila kuhitaji mwanaume
Janga hiliZinaa!!! Tunaichukulia zinaa kitu cha kawaida sana mbaya zaidi hao wa kuzini nao mpaka mimba kuingia na mtoto kuzaliwa hawana muda wala uhitaji na hao viumbe waliozaliwa
Kuna huyu mmoja bhana alikuwa alikuwa shombe hivi la kiarabu ,tunamaliza form 4 aliolewa na jamaa yake ni mwarabu kabisa .Kuna mmoja kipindi Yuko kwenye prime alikuwa hata simu hapokei Sasa hivi kachakazwa naona ananitafuta [emoji3]
Ni mwendo wa kumpiga matukio
Hatari ...kwa kweli balaaa. Wanawake wanakuomba uwatie mimba tuu wanasema kulea watalea wenyewe. Sijui nimtie mimba huyu mremboImekuwa ni fasheni kwa wadada na mabinti wengi wanazaa bila mtoto kujulikana ni wa nani hii hatua waliofikia hawa dada zetu naona tunaelekea kupoteza maadili yetu kama watanzania.
Nina dada yangu pia nina shangazi yangu hawa wote wamezaa bila kuolewa kibaya zaidi watoto haijulikani baba zao ni nani mtoto ana miaka minne mwingeni miwili sijawahi kuwaona baba zao sijawahi kuona wakitambulishwa wala kujulikana naona ndugu zangu wakipambana wenyewe kwenye malezi
Pia naona wanawake wengi na wengine najuana nao mtaani na mazingira ya kazi naona wengi ni single maza lakini baba za watoto hawajulikana hali hii imenifanya nakaa nawaza inawezekana maisha ya mbeleni hawa dada zetu naona wanaelekea kule kwenye njia za upandikazaji wa mbegu bila kuhitaji mwanaume
Kwa kweli watoto wa chuo tamaa zinawaponza yaani mwanachuo umuwekee laki mbili anakupa linda.Dada zetu muda mwingne ni wapuu** mfano natolea ambao nshawah kuuona kuna wadada kama wanne hv ila ngj nitolee mmoja huyo ni alikuwa mwanachuo chuo x sasa kabla ya kwenda chuo alikuwa na washkaj wanapiga siku zinapta muda wa kwenda chuo ukafka akaenda chuo alivyofika huko lazima mwendo ulikuwa uleule kupigwa tu akirud likizo anakutana na aliowaacha mtaani hio ikawa ni lifestyle yake sasa siku moja alikuja likizo ana kama week 3 ikagundulika kuwa ana ujauzito akaamua kumpa mmojawapo pale kitaa zikapata kama siku 4 baada ya kumshikisha mshkaji mimba akaamua waende wakapime kwa uthibitisho walivyopima ukakutwa una karbia miez miwili na yeye hana mwezi tangu atoke chuo ikabak kumuuliza mwenye mimba hata hamjui kwahy Kwao wanaona sio tatizo vitoto hivi vinatumika sana pia tamaa nazo zinawaponza sana vitazalishwa had akili iwakae sawa
Likoje hilo🤔Bao la kusababisha mimba linajulikana. Ukipizi unajua tu.
Sio kanda ya kusini kwelihuku niliko kumpata KE aliye 20+ bila mtoto kazi unayo
asiye naye ndiyo tobaa, anabugia P2 kama Panadol
kvtombana ovyo ovyo imekuwa fasheni
Dar hapahapa, mpakani mpakani hukuSio kanda ya kusini kweli
Khai kupewa sijui hela ya matumiz sio kwamba ndo hatoyafanya hayo me ngj nikubaliane na wanaosema kwamba mwanamke mwenyewe hajui anapenda nin maana hata hao wanaopewa hela ya matumiz na wazazi bado nao wanaliwa labda kikuwa ni kuwaombea tu wasipate magonjwa maana mtoto akifika chuo japo sio wote akikutana na marafk wengne had tabia inabadilika tuwaombee pia sio kuwapa hela za matumiz tu maana kama mtoto wa kike ameshaonja mapenzi akiwa sekondari sio rahis kuacha akienda chuoKwa kweli watoto wa chuo tamaa zinawaponza yaani mwanachuo umuwekee laki mbili anakupa linda.
Wazazi jamani jipangeni kuhamikisha watoto wenu wa kike wakifuka chuo wawe wanapata huduma nzuri ya mahitaji yao.
Ah na hawa bwana wakishaonja de liboloz ni balaaa mzazi ukiongea u aonekana fala tuu sii kashambiwa yeye mzuri sasa kazi kwishney hapo.Khai kupewa sijui hela ya matumiz sio kwamba ndo hatoyafanya hayo me ngj nikubaliane na wanaosema kwamba mwanamke mwenyewe hajui anapenda nin maana hata hao wanaopewa hela ya matumiz na wazazi bado nao wanaliwa labda kikuwa ni kuwaombea tu wasipate magonjwa maana mtoto akifika chuo japo sio wote akikutana na marafk wengne had tabia inabadilika tuwaombee pia sio kuwapa hela za matumiz tu maana kama mtoto wa kike ameshaonja mapenzi akiwa sekondari sio rahis kuacha akienda chuo
Ah na hawa bwana wakishaonja de liboloz ni balaaa mzazi ukiongea u aonekana fala tuu sii kashambiwa yeye mzuri sasa kazi kwishney hapo.
Aisee kwa mambk tunayowafanya hawa wanawake wa chuo, peponi tutapasikia tuu
Hili naona lipo kwenye ukoo wenu. Angalia na wewe usije zalishwa halafu ukashindwa mjua baba wa mtoto.Imekuwa ni fasheni kwa wadada na mabinti wengi wanazaa bila mtoto kujulikana ni wa nani hii hatua waliofikia hawa dada zetu naona tunaelekea kupoteza maadili yetu kama watanzania.
Nina dada yangu pia nina shangazi yangu hawa wote wamezaa bila kuolewa kibaya zaidi watoto haijulikani baba zao ni nani mtoto ana miaka minne mwingeni miwili sijawahi kuwaona baba zao sijawahi kuona wakitambulishwa wala kujulikana naona ndugu zangu wakipambana wenyewe kwenye malezi
Pia naona wanawake wengi na wengine najuana nao mtaani na mazingira ya kazi naona wengi ni single maza lakini baba za watoto hawajulikana hali hii imenifanya nakaa nawaza inawezekana maisha ya mbeleni hawa dada zetu naona wanaelekea kule kwenye njia za upandikazaji wa mbegu bila kuhitaji mwanaume
🤣🤣🤣🤣🙌Bao la kusababisha mimba linajulikana. Ukipizi unajua tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umri chief wengine wanaona ashafikisha 30+ jua la jioni hili hapa na hakuna mwanaume anayelekea kumuoa anaona ajibebee mimba azae tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Da Maua, kwann lakini??Mimi niliwapata wanaume vilaza mmoja hawezi kuperform anaishia kukulamba lamba mwingine hana uume kabisa anakadudu kama kidole , mwingine hana akilitimamu havuti wala hana huo muda wakuvuta , mwingine ni anaweza kila kitu ila ni malaya . Sasa niambie hapo wawili tu ndio wanajielewa kwa perfomance utaolewa nanani??
Ningumu jomba sasa maana anayehudumia ni haisimami imelala tu unamzuka hata kuperform kimoja kazi