cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hewaaa, uko uko
vitoto v1n@t0mb@n@ kama havina akili nzuri vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hewaaa, uko uko
vitoto v1n@t0mb@n@ kama havina akili nzuri vile
Nyie wabovuMie sijui na familia zinachangia ama shida ni nini,mimi kwetu tupo wasichana wengi lakini kila mtu kaolewa na yuko na familia yake, sasa kuna familia naijua kila binti ameleta pale mtoto wake alafu yeye akaenda mjini kuendelea na mishe zake sasa shida ni nini mie mbona sielewi?
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dar hapahapa, mpakani mpakani huku
yaani kvt0mba@n@ ni mlo wao wanne kwa siku
Rudia usome tena ulichoandika angalia huu ushuzi ulioutoa hapa tumia ata akili ya kuku tu kufikiria kwamba kuna kitu ungepungukiwa ama ongeongeza kama ungeamua kupita bila kuandika chochote heshima ni kitu cha bureHili naona lipo kwenye ukoo wenu. Angalia na wewe usije zalishwa halafu ukashindwa mjua baba wa mtoto.
Kuna mtoto atakuja bila baba?? Aachane na mambo ya watuBaba zao wanajulikana...
Mambo yao waachie wenyewe...
Sasa mbona unatumia maneno ya hasira. Ugomvi unatokea wapi wajameni? Nimechangia tu kwa upendo kwako. Umekuwa mkali.... Hutaki tuchangie uzi? Why lakini mtanzania mwenzangu? Shida iko nini?Rudia usome tena ulichoandika angalia huu ushuzi ulioutoa hapa tumia ata akili ya kuku tu kufikiria kwamba kuna kitu ungepungukiwa ama ongeongeza kama ungeamua kupita bila kuandika chochote heshima ni kitu cha bure
Mbaya sanaWanawake wa kisasa wameaminishwa ujinga na ushetani wa u "feminism* kuwa eti mwanamme ni chombo cha kuwabandika mbegu tu na hahitajiki baada ya hapo. Imefikia mpaka sasa qanawake wsnijiwezankidogonwsnaenda kupachikwa mimba za maabara bila ya tendo. Kama ng'onbe.
Mambo hayo yanapingana kabisa na imani kuu za kidini. Matokeo wasagaji na mashoga wanazidi.
Asilimia kubwa ya ",single mothers" ni msago.
🚮🚮🚮Sasa mbona unatumia maneno ya hasira. Ugomvi unatokea wapi wajameni? Nimechangia tu kwa upendo kwako. Umekuwa mkali.... Hutaki tuchangie uzi? Why lakini mtanzania mwenzangu? Shida iko nini?
Wewe ni shoga?Dunia inaendelea na safari kwa speed,
na bado itawashangaza wengi, huku wengi ikiwaacha njiani.
Kila kitu kilichomo duniani ni uzao wa dunia yenyewe. Hatutaweza kuidhibiti dunia kwa sababu ya kila nuclei inajipambanua kuonyesha uwezo wake na kuziweka mythical ideologies kwenye uhakika wa kuvunjika na kupotea.
Mada ni hii, "Kwa nini Wadada wengi Siku hizi Wanazaa bila kujulikana baba zao".Wewe ni shoga?
Mimi nimekuuliza wewe ni shoga?Mada ni hii, "Kwa nini Wadada wengi Siku hizi Wanazaa bila kujulikana baba zao".
Nimempa tafakari ya Social Change. Sijaku quote wewe.
Tafuta unayemhitaji kwengine.
Sijui labda nililogwa sana ila basi tu tutaona next year kama zungu ataoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Da Maua, kwann lakini??