Kwanini wadada wengi siku hizi wanazaa bila kujulikana baba wa mtoto?

Kwanini wadada wengi siku hizi wanazaa bila kujulikana baba wa mtoto?

Masikini ya Mungu hao "wadada" wsmetumiwa kama kondom kwa ujibga wao tu wakatupwa.


Kuns taasisi moja naifahsmu kazu yake ni kusaidia wanawaje wote wenye watoto waliotrlekezwa na baba zao.

Ataetaka nimpe contacts za huko aseme tu, atasaidiwa kwa hali na mali kuwalea watoto wake yeye mwenyewe, wanachofanya wao ni kukutafutia mume wa kukuoa mlee watoto pamoja.

Inasikiitisha sana. Si rahisi mwanamke kulea vizuri watoto akiwa pekeake.
 
Masikini ya Mungu hao "wadada" wsmetumiwa kama kondom kwa ujibga wao tu wakatupwa.


Kuns taasisi moja naifahsmu kazu yake ni kusaidia wanawaje wote wenye watoto waliotrlekezwa na baba zao.

Ataetaka nimpe contacts za huko aseme tu, atasaidiwa kwa hali na mali kuwalea watoto wake yeye mwenyewe, wanachofanya wao ni kukutafutia mume wa kukuoa mlee watoto pamoja.

Inasikiitisha sana. Si rahisi mwanamke kulea vizuri watoto akiwa pekeake.



[emoji3][emoji28]
Mambo ya kusilimishwa tena Kwa wasio Waislam?

Mmnh! [emoji848]
 
Wanawake wa kisasa wameaminishwa ujinga na ushetani wa u "feminism* kuwa eti mwanamme ni chombo cha kuwabandika mbegu tu na hahitajiki baada ya hapo. Imefikia mpaka sasa qanawake wsnijiwezankidogonwsnaenda kupachikwa mimba za maabara bila ya tendo. Kama ng'onbe.

Mambo hayo yanapingana kabisa na imani kuu za kidini. Matokeo wasagaji na mashoga wanazidi.

Asilimia kubwa ya ",single mothers" ni msago.

Acha kuisingizia sayansi kwa upuuzi wa dini,watu wamepata uzao kupitia sayansi baada ya njia za kiasili kushindikana,halafu tangu lini kila mwanadamu wafanane katika maamuzi na maisha yao.
 
Acha kuisingizia sayansi kwa upuuzi wa dini,watu wamepata uzao kupitia sayansi baada ya njia za kiasili kushindikana,halafu tangu lini kila mwanadamu wafanane katika maamuzi na maisha yao.
Siisingizii chochote sayansi, naona umekuja na mihemko. Matatizo ya kiafya yanajulikana lakini hapa inaongelewa kina mama waliokuwa na watoto bila mababa zao? Umeelewa kijana.

Njia bora ya kipekee ya maisha ni kujisalimish kwa Muumba wako. Nayo ni Uislam pekee. Fikiri.
 
Sio kwamba single mother wengi kipindi cha usichana wao wanakataa wanaume wenye nia njema ya kuwaoa, halafu wanakubali wanaume wahuni..

Tena utakuta kipindi cha usichana mdada anajua kabisa kuwa mwanaume fulani ananipenda sana na ni husband material, akitaka kuolewa hata kesho ataolewa, ila anamkataa, anaishia kumkubali mvaa jinsi za kubana na cheni shingoni..

Sio kwamba wanaozalishwa nyumbani, kipindi cha usichana wao walikuwa na tabia mbovu ambazo ziliwafukuza wanaume wa maana wenye nia ya kuwaoa.

Though pia wadada wengi kuzalia nyumbani inatokana na sisi wanaume, wengi wetu sisi wanaume ni watu wa ovyo tusiofaa kwenye jamii, mwanaume anakula mirungi na kushinda vijiweni bila kazi, mlevi, malaya, mwizi aliekubuhu etc atakuwa vipi mwanaume responsible wa kuendesha familia
Unique Flower Zemanda
Sema nn ww jamaa unanondo sana ,unasepeak exactly kinachoendelea mitaani,wengi wa wanawake waliozalishwa nawako nyumbani tu inatokana natabia zao wenyewe tu.kama ulivyoelezea hapo juu.mwanamke anaweza kudiriki kuzaa namwanaume ambae anajua dhahiri shahiri hawezi muoa ila yy anadai anataka mbegu ya huyo mwnaume..kama alivyozaa faiza ally mtoto wake wakiume.. wanawake wengine hujibebesha mimba bila makubaliano nawapenzi wao pia,unakuta njemba wala haina mipango nae bali inasuuza rungu tu,yy anajibebesha mimba akidhani mwamba atababaika labda unakuta njema inamke au haikua nampango nae wowote.wanawake wajitambue.
 
Imekuwa ni fasheni kwa wadada na mabinti wengi wanazaa bila mtoto kujulikana ni wa nani hii hatua waliofikia hawa dada zetu naona tunaelekea kupoteza maadili yetu kama watanzania.

Nina dada yangu pia nina shangazi yangu hawa wote wamezaa bila kuolewa kibaya zaidi watoto haijulikani baba zao ni nani mtoto ana miaka minne mwingeni miwili sijawahi kuwaona baba zao sijawahi kuona wakitambulishwa wala kujulikana naona ndugu zangu wakipambana wenyewe kwenye malezi

Pia naona wanawake wengi na wengine najuana nao mtaani na mazingira ya kazi naona wengi ni single maza lakini baba za watoto hawajulikana hali hii imenifanya nakaa nawaza inawezekana maisha ya mbeleni hawa dada zetu naona wanaelekea kule kwenye njia za upandikazaji wa mbegu bila kuhitaji mwanaume
Kwa hiyo una mpwa na mjomba lakini haujui shemeji wala mjomba?😂
 
Siisingizii chochote sayansi, naona umekuja na mihemko. Matatizo ya kiafya yanajulikana lakini hapa inaongelewa kina mama waliokuwa na watoto bila mababa zao? Umeelewa kijana.

Njia bora ya kipekee ya maisha ni kujisalimish kwa Muumba wako. Nayo ni Uislam pekee. Fikiri.
Uislamu pekee?Acha sound zako mkuu.Usipolikiri jina la Yesu unakwama.
 
Back
Top Bottom