FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Masikini ya Mungu hao "wadada" wsmetumiwa kama kondom kwa ujibga wao tu wakatupwa.
Kuns taasisi moja naifahsmu kazu yake ni kusaidia wanawaje wote wenye watoto waliotrlekezwa na baba zao.
Ataetaka nimpe contacts za huko aseme tu, atasaidiwa kwa hali na mali kuwalea watoto wake yeye mwenyewe, wanachofanya wao ni kukutafutia mume wa kukuoa mlee watoto pamoja.
Inasikiitisha sana. Si rahisi mwanamke kulea vizuri watoto akiwa pekeake.
Kuns taasisi moja naifahsmu kazu yake ni kusaidia wanawaje wote wenye watoto waliotrlekezwa na baba zao.
Ataetaka nimpe contacts za huko aseme tu, atasaidiwa kwa hali na mali kuwalea watoto wake yeye mwenyewe, wanachofanya wao ni kukutafutia mume wa kukuoa mlee watoto pamoja.
Inasikiitisha sana. Si rahisi mwanamke kulea vizuri watoto akiwa pekeake.