Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

Kama ni upendo tu mbona hamuolewi na mababu wapiga kiwi wale😅 au mafundi viatu ama saa?
 
Kimsingi ni fuba tu! Vibabu kibao vifundi saa na washona viatu mijini humu mbona hatuoni ndoa hizo zikiwahusisha wao?
Utaskia Canal mstaafu...,mara gavana mstaafu au waziri mstaafu😅
 
Nami nashangaa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
sasa ndugu

mmefata hela ndio


kukjmbatia na kubusu makunyanzi unafikiri mchezo


bado na mechi za kizee.....
Hakuna anayependa shida duniani Hapo nawapa hongera kwa huo ujasiri mnakuwa mnazishika kabisa saggy Balls zenye mvi ili mzee apate stimulation

Mzee anakula mate na meno yake matatu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
sasa ndugu

mmefata hela ndio


kukjmbatia na kubusu makunyanzi unafikiri mchezo


bado na mechi za kizee.....


Umenifanya nimecheka kwa sauti kubwa sana bila kutegemea [emoji1787][emoji1787][emoji1787] baada ya kusoma ulichoandika!

Kwa kweli yataka moyo !
 
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima muoneshewe vidole huwa mnafata Fedha tuu sio lolote ww unaolewa na Mzee miiaka karibia 80 hivi Hapo kuna Mapenzi kweli tuulize Sisi tuliokulia pwani tukwambie yaliyomkuta Tour guide aliyeoa Bibi wamiaka sabini kule Kendwa - Zanzibar kwenye 6× 6 akipelekewa Moto kidogo anazima tunampeleka hospitali Bibi wawatu mwisho nilimwambia Yule Suka utamuaa Bibi wawatu kaenda mfia Ugerman huko *****.

Faida aliyopata Uraia na vimali kidogo huyu Jamaa sijui kama hajamuua Bibi wawatu Kwa hii njia dunia inavisa hii[emoji23][emoji23][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…