Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kufanya kazi kwa bidii kuna mahusiano na kufanikiwa ila kufanya kazi ngumu hakuna mahusiano na kufanikiwa.Kufanya kazi kwa bidii au kufanya kazi ngumu hakuhusiani na kufanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufanya kazi kwa bidii kuna mahusiano na kufanikiwa ila kufanya kazi ngumu hakuna mahusiano na kufanikiwa.Kufanya kazi kwa bidii au kufanya kazi ngumu hakuhusiani na kufanikiwa
Tupe maoni yako jinsi ya kufanikiwa!Kufanya kazi kwa bidii au kufanya kazi ngumu hakuhusiani na kufanikiwa
✅🙏Kufanya kazi kwa bidii kuna mahusiano na kufanikiwa ila kufanya kazi ngumu hakuna mahusiano na kufanikiwa.
😃😃😃Kwa kuiondoa CCM madarakani.
Tufanyeje mkuu?Kweli kabisa kwa Tanzania watu ni wapambanaji sana lakini hawapati kulingana na bidii zao,tofauti na nchi za ulaya. Ndio maana watu wanakimbilia ulaya,huko kadiri unavyojituma ndivyo unavyozidi kufanikiwa
Kufanya kazi kwa bidii au kufanya kazi ngumu hakuhusiani na kufanikiwa
😃😃😃Hard work + low income =0
Hard work +decent income +being smarter =success
Kazi ngumu ni mafanikio yes ,mabondia ,soka,madini n.kKufanya kazi kwa bidii kuna mahusiano na kufanikiwa ila kufanya kazi ngumu hakuna mahusiano na kufanikiwa.
Asilimia zaidi ya 60 inategemea ni piki unachopambania asilimia inayobaki ndio ni jinsi unavojituma na nyingine ni watu wanaokuzunguka kwenye hicho unachofanya.Tupe maoni yako jinsi ya kufanikiwa!
Ukiwa Marekani nadharia ya kufanya kazi kwa bidii na kufanikiwa ni sahihi sana kwa sababu kuna ukweli mkubwa kwamba US ni "land of equal opportunity" na watu wengi waliofanya kazi kwa bidii wamefikia American Dream katika siasa, sanaa, michezo, teknolojia n.kDr. John C. Maxwell ni Mwalimu mashuhuri wa uongozi duniani. Kabla ya kufika barani Afrika, aliamini yafuatayo kuhusu mafanikio, kwamba:
1. Mafanikio yanatokana na kufanya kazi kwa bidii.
2. Wamarekani wanaongoza kwa kufanya kazi kwa bidii.
Lakini baada ya kufika Afrika, alibadilisha mtazamo. Kwa mara ya kwanza maishani mwake alishuhudia watu wanaofanya kazi sana lakini bado hawana maendeleo.
Sijui "case study" yake ilikuwa nchi gani Afrika, lakini maadam ni Afrika, na Tanzania inahusika, na ni kweli kuwa kuna Watanzania wengi wanaofanya kazi kwa bidii lakini wangali wana hali ngumu kiuchumi.
Kwanini iko hivyo?
✅🙏Kazi ngumu ni mafanikio yes ,mabondia ,soka,madini n.k
Kwenye madini wengi wanaofanikiwa sio wachimbaji, ni wenye migodi na wanahisa. Vibarua wachimbaji wachache hubahatika mafanikio ila mafanikio yao huambatana na kelele nyingi sana.Kazi ngumu ni mafanikio yes ,mabondia ,soka,madini n.k
✅🙏Kufanya kazi kwa bidii au kufanya kazi ngumu hakuhudiani na kufanikiwa
Asilimia zaidi ya 60 inategemea ni piki unachopambania asilimia inayobaki ndio ni jinsi unavojituma na nyingine ni watu wanaokuzunguka kwenye hicho unachofanya.
✅🙏Ukiwa Marekani nadharia ya kufanya kazi kwa bidii na kufanikiwa ni sahihi sana kwa sababu kuna ukweli mkubwa kwamba US ni "land of equal opportunity" na watu wengi waliofanya kazi kwa bidii wamefikia American Dream katika siasa, sanaa, michezo, teknolojia n.k
Sehemu kubwa ya Africa hata ukiwa actor au mwanamziki mzuri sana hakuna wa kununua kazi zako,
Ukizaliwa na wazazi Immigrants kama Obama, hata uwe mzuri vipi Urais sahau.
Kuanzisha biashara vikwazo kibao, watawala mangimeza wanavuruga biashara na kazi za watu kwa sababu ya siasa tu.
Taaluma muhimu kama madaktari hazithaminiwi,
Haya ni baadhi ya mambo tu ambayo yanafanya hata walio na juhudi kubwa sana kubaki na maisha ya kubangaiza.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kazi ngumu ni mafanikio yes ,mabondia ,soka,madini n.k
Mkuu, kama hutajali, fafanua the so called AMERICAN DREAM.Ukiwa Marekani nadharia ya kufanya kazi kwa bidii na kufanikiwa ni sahihi sana kwa sababu kuna ukweli mkubwa kwamba US ni "land of equal opportunity" na watu wengi waliofanya kazi kwa bidii wamefikia American Dream katika siasa, sanaa, michezo, teknolojia n.k
Sehemu kubwa ya Africa hata ukiwa actor au mwanamziki mzuri sana hakuna wa kununua kazi zako,
Ukizaliwa na wazazi Immigrants kama Obama, hata uwe mzuri vipi Urais sahau.
Kuanzisha biashara vikwazo kibao, watawala mangimeza wanavuruga biashara na kazi za watu kwa sababu ya siasa tu.
Taaluma muhimu kama madaktari hazithaminiwi,
Haya ni baadhi ya mambo tu ambayo yanafanya hata walio na juhudi kubwa sana kubaki na maisha ya kubangaiza.
✅🙏Kwenye madini wengi wanaofanikiwa sio wachimbaji, ni wenye migodi na wanahisa. Vibarua wachimbaji wachache hubahatika mafanikio ila mafanikio yao huambatana na kelele nyingi sana.
Ngumi na soka ni michezo ambayo wenye vipaji wakaongeza na bidii ndio hufanikiwa zaidi, wapo wengi katika hiyo michezo wana bidii kubwa ila kutokana na kukosa vipaji au fursa wanaishia kuwa wa kawaida tu na wengi pia hawafiki popote.
Kwa uhalisia wetu maendeleo ni hali ya kufikirika, kwanini?Dr. John C. Maxwell ni Mwalimu mashuhuri wa uongozi duniani. Kabla ya kufika barani Afrika, aliamini yafuatayo kuhusu mafanikio, kwamba:
1. Mafanikio yanatokana na kufanya kazi kwa bidii.
2. Wamarekani wanaongoza kwa kufanya kazi kwa bidii.
Lakini baada ya kufika Afrika, alibadilisha mtazamo. Kwa mara ya kwanza maishani mwake alishuhudia watu wanaofanya kazi sana lakini bado hawana maendeleo.
Sijui "case study" yake ilikuwa nchi gani Afrika, lakini maadam ni Afrika, na Tanzania inahusika, na ni kweli kuwa kuna Watanzania wengi wanaofanya kazi kwa bidii lakini wangali wana hali ngumu kiuchumi.
Kwanini iko hivyo?
[emoji115]kufanya kazi za risk ya uhai ndizo zina mafanikio kwa sekunde moja tu umeingia kwenye orodha ya matajiri e.g.Kazi ngumu ni mafanikio yes ,mabondia ,soka,madini n.k