Kwanini Watanzania wengi hawafanikiwi kutokana na kazi zao?

Freemason je?
 
Kwani huyo dokta wako wa mchongo hajui kwamba Africa inakabiliwa na bottlenecks nyingi kiasi kwamba Tija ya kujituma haipo?
 
Viongozi wetu na matajiri wetu wa Afrika hawapati mafanikio kwa bidii ya kazi bali kwa mkato wa kuvunja sheria na Katiba ikiwemo ukwepaji kodi za serikali, sasa sisi raia tutafuata barabara ndeeefu ya mafanikio tuweze kweli?.
 
Ukifungua biashara utaelewa
 
Usipoonga utapata wap demu kutoa hamu zako alafu maisha sio strictly hivyo
 
Hata Samata angebakisha kipaji chake humu humu Afrika asingetoboa. Akina Sande Manara wangevuka bahari leo wangeacha ukwasi mkubwa wa kutisha.

Wafuatao wangecheza soka la kulipwa Afrika wasingekuwa matajiri:-
1. Diego Maradona.
2. Leonel Messi.
3. Ronaldo de Lema.
4. Ronaldinho Gaucho.
5. Christiano Ronaldo.
6. Neymar.
7. Hazard.
8. Paulo Dybala.
9. Lewandowski.
10. Sergio Aguero.
Nk nk.
 
Kama unataka mafanikio makubwa sahau kuajiriwa. Hakuna namna unaweza kutoboa maisha na kuishi utakavyo kwa kuajiriwa. Popote utakapokuwa umeajiriwa utalipwa asilimia 10 au hata chini ya asilimia 10 ya kile unachokiingiza kwenye kampuni
 
Most people are busy with the wrong things

Tupo bize lakini bize kwenye mambo ambayo siyo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…