Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kwani Tipu Tipu alikuja akitokea wapi? Si alikuwa mzaliwa wa Tanganyika tu mwenye asli ya kiarabu, aliyejiona mjanja wa kusaidia kuuzia wajomba zake waarabu, binadamu wenzie?
 
Wapo vijana wengine singida hapo wanajiita wasomali wanapenda kukaa juu ya mawe , Wakorofi ,watutuku , wabishi , wanakula gomba(Mirungi,mkokaa) wanavuta msuba kiwango cha sgr...

Pia Wana lifestyle ya kimarikansomalianchuganian ..inshort ni upuuzi mtupu ..


Na wao hashtag zao ni wasomali wa nafsi ...

Umeongelea mawe na Singida. Je hawa ndo waandishi wa Mwigulu Rais 2015?
 
Ule ni ujinga tu. Katika saikolojia ya binadamu ni jambo la kawaida kwa fukara au mtu anayetumwa/kutawaliwa/kuteswa kujipendekeza kwa anayemtesa na kumuona wa maana huku akiamini hakuna sehemu sahihi ya yeye kwenda kupata ahueni ama furaha maishani zaidi ya pale anakoteswa. Hali hii iliwatokea watumwa weusi wa Marekani pale walipopata uhuru, wengi wao walikataa kuwa huru walitaka waishi tu kwa utumwani kwani waliamini utumwa ndiyo njia pekee ya uzima na ndicho wanachokifanya hawa ndugu zetu Wazanzibari. Utakuta mtu mweusi kama mkaa anajiita ama kujifanya mwarab huku akiona sifa, mtu huyu huyu anasahau mateso ambayo waarab waliwafanyia mababu na mabibi zetu mpaka Mze Karume kwa ujasiri akaja na wenzake kuja kuwakomboa hawa ndugu zetu kutoka kwenye ile hali ya utumwa na unyanyapaa. Wamekuwa huru toka enzi za mapinduzi lakini hapo hapo wanalalamika kwanini wametengwa na ndugu zao waarab. Wazanzibari kwa kweli wanahitaji maombi waondokane na huu ujinga walionao na ndiyo maana shule ni muhimu sana kuliko madrasat. Mtu unaenda shule kujifunza vitu na sana sana historia yako na si historia ya Saudi Arabia ama Roma/Vatican. Tafadhali tufunge kwa siku 7 tuwaombee nduge zetu Wazanzibari wapate kuelemika.
Umeeleza vizuri mkuu.
Sijui kama nimeruka sehemu, lakini Karume hakushiriki mapinduzi, hakuwa na ujasiri wowote! Muulize Kassim Hanga, Babu au John Okello! Alas! They are all dead!
Kwa ujumla ulichokisema, tunaita Stockholm Syndrome.
 
View attachment 2193296


Wazanzibari wengi ni kama wamesahau kabisa historia ya chimbuko lao kwamba babu zao walitolewa huku bara na maeneo ya jirani wakiwa kama wakimbizi waliodakwa, makabila dhaifu yaliyoshindwa vita, koo zilizotengwa, n.k hawa ndio waliuzwa kwa wafanya biashara wa utumwa kama Tipu tipu na kisafirishwa kwenda Zanzibar kwajili ya kuuzwa kuwa watumwa nje ya nchi ama kubaki Zanzibar kulima mikarafuu,

Leo hii utashuhudia hivi vituko 😂😂

1-watakwambia waarabu ni ndugu zao hapo unakuta mtu mweusi hafikii hata robo ya ngozi ya mwarabu.

2-wanavaa kama Waarabu wakiwa wanafunga ndoa. Unamkuta mtu hadi ana jambia kiuononi!

3. wengi wamebadili majina yote yawe ya kiarabu, yale ya ukoo wameyafukia, utawakuta kina Abdul Mohamed, Ally Saleh, Abubakar Sharriff, n.k

4-Nilisoma habari >> hii hapa << watoto huminywa visogo ili wawe vichwa flat kama waarabu na barakashia zitumbukie kirahisi.

5-Kwa wazanzibari wengi jiji la Muscat lililopo nchi ya Oman ni kama pepo, humwaambii kitu aisee, hilo jiji kwao ni zaidi ya London, New York, Paris, n.k

6. yani akitokeaga mmama wa kiarabu hata mwenye miaka 47 aliepewa talaka tatu na anatafta mwanaume mpya, basi huyo bado ni mbichi kabisa kwa wazanzibari, atashambuliwa kama mchele ukimwagia kuku.

7-Ukitaka mzanzibari afurahi wewe mwambie tu ana asili kama ya waarabu, hapo utayaona meno yake yote kwa tabasamu ataloachia.

8.huwaona waarabu kama wakamilifu, wengi wanadhani kila mwarabu ni mstaarabu na hatendi makosa. hata uwaonyeshe video za wale wafanyakazi wanaotokea Zanzibar wanavyopigwa huko uarabuni na mabosi wao wa kiarabu, wao watabisha ni video ya uongo.


Cha kushangaza mwarabu ni kama hata huo undugu hautaki, labda uwakute wapo na viongozi wa juu ili dili zao ziende, huwa hawaozeshi hata mabinti zao kwa wazanzibari weusi na wale waarabu pori
Waharabu waliwafanya kitu mbaya sana, kwanza kuuwa tamaduni zao za asili, kipindi wanachukuliwa u ko mikoani kwenda kuuzwa nchi mbali mbali waliobaki Zanzibar ya leo hawana tamaduni harisi, wanaona waharabu Kama role model wao maana hawajui background walikotoka. Ni sawa na kuchukuwa yai la kanga uweke kwenye kuku, kikitotolewa kifaranga hakiwezi jua kwamba asili yake ni wapi anaona kuku ndo kila kitu. Hivyo ni sawa na wazanzibar, wanaona waharabu Kama mungu mtu ndo kamweka hapa duniani.siyo Zanzibar tu hapa sehemu walikopita waharabu , kigoma, tabora, Singida, pwani,tanga, Lindi,mtwara hi yale yale tu mpaka leo wanamwabudu mwarabu Kama Mungu mtu, zile bakora walizopewa babu zao zinazunguka kwenye damu zao. Itachukuwa miaka mingi kujitambua.

Kwa waromani pia ni hivyo hivyo.
 
Huja ona wapemba wewe hadi nywele wanaeka dawa ili tu wawe waarabu na wale ndugu zenu wakojani na waTanga mashavu mpaka yanaomba poo kwa wekundu ili wawe waarab kutokujikubali tu Yan mnarithisha hadi watoto upumbavu.
Na wabara wanaoweka nywele dawa au kuweka mawigi ya kizungu unawasemaje? Ukimnyooshea mwenzako kidole ujue vinne vimekuelekea wewe.

Zanzibar nywele wala siyo issue, kama ni nywele laini hata wapemba wa asili kabisa ambao hawana udugu na waarabu wanazo. Nyinyi wabara ndiyo munapapatikia nywele muwe kama wazungu.
 
Acheni ujinga,muoman kaenda zenji 1800s,zenji Pana watu kabla ya hapo,hawakupelekwa Kama watumwa
ni kweli Zanzibar palikuwa na watu kabla, lakini idadi yao ilikuwa ndogo sana na inaonesha wazi mjinga ni wewe ambae hata hujui historia ya nchi yako. Tokea AD 700 waarabu walianza kufanya biashara na kufika pwani ya Zenji, miaka ya 1000's washirazi wakafika, kisha wareno miaka ya 1400's kabla ya waoman kumfukuza mreno miaka ya 1600's wakati huo wote biashara ya utumwa ilikuwa inafanyika kama kawa, hiyo 1800's(40) ni Seyyid said kuhamishia makao makuu yake Zenji, zitafute hata nyaraka za historia yenu ili muijue kabla ya kukumbatia pumba, Sultan Bargash alitoa takwimu miaka ya 1890's watumwa walikuwa karibia 300k, waarabu 15k na Aborigines (wapemba n.k) zaidi ya 30k na wahindi na wazungu wachache
 
ni kweli Zanzibar palikuwa na watu kabla, lakini idadi yao ilikuwa ndogo sana na inaonesha wazi mjinga ni wewe ambae hata hujui historia ya nchi yako. Tokea AD 700 waarabu walianza kufanya biashara na kufika pwani ya Zenji, miaka ya 1000's washirazi wakafika, kisha wareno miaka ya 1400's kabla ya waoman kumfukuza mreno miaka ya 1600's wakati huo wote biashara ya utumwa ilikuwa inafanyika kama kawa, hiyo 1800's(40) ni Seyyid said kuhamishia makao makuu yake Zenji, zitafute hata nyaraka za historia yenu ili muijue kabla ya kukumbatia pumba, Sultan Bargash alitoa takwimu miaka ya 1890's watumwa walikuwa karibia 300k, waarabu 15k na Aborigines (wapemba n.k) zaidi ya 30k na wahindi na wazungu wachache
AD 700 ni miaka 70 tangu kifo Cha mtume,walipokuja kufanya biashara walifanya na Nani hiyo biashara!?..wao waarabu walikua wangapi!?..mreno kaja 1400s,pwani ya kilwa,akashangaa mji mzuri,akauchora,Kisha akautia Moto mji,unadai wakati huo wote biashara ya utumwa ilikua ikifanyika ,walitoka wapi hao watumwa,zenji au magharibi(unyamwezi)!?...
 
Waharabu waliwafanya kitu mbaya sana, kwanza kuuwa tamaduni zao za asili, kipindi wanachukuliwa u ko mikoani kwenda kuuzwa nchi mbali mbali waliobaki Zanzibar ya leo hawana tamaduni harisi, wanaona waharabu Kama role model wao maana hawajui background walikotoka. Ni sawa na kuchukuwa yai la kanga uweke kwenye kuku, kikitotolewa kifaranga hakiwezi jua kwamba asili yake ni wapi anaona kuku ndo kila kitu. Hivyo ni sawa na wazanzibar, wanaona waharabu Kama mungu mtu ndo kamweka hapa duniani.siyo Zanzibar tu hapa sehemu walikopita waharabu , kigoma, tabora, Singida, pwani,tanga, Lindi,mtwara hi yale yale tu mpaka leo wanamwabudu mwarabu Kama Mungu mtu, zile bakora walizopewa babu zao zinazunguka kwenye damu zao. Itachukuwa miaka mingi kujitambua.

Kwa waromani pia ni hivyo hivyo.

NAona umetaja miko kibao kuonesha kuwa ni wajinga, Hebu tutajie nahio mikoa yenu ambayo ndio wenye akili
 
Ule ni ujinga tu. Katika saikolojia ya binadamu ni jambo la kawaida kwa fukara au mtu anayetumwa/kutawaliwa/kuteswa kujipendekeza kwa anayemtesa na kumuona wa maana huku akiamini hakuna sehemu sahihi ya yeye kwenda kupata ahueni ama furaha maishani zaidi ya pale anakoteswa. Hali hii iliwatokea watumwa weusi wa Marekani pale walipopata uhuru, wengi wao walikataa kuwa huru walitaka waishi tu kwa utumwani kwani waliamini utumwa ndiyo njia pekee ya uzima na ndicho wanachokifanya hawa ndugu zetu Wazanzibari. Utakuta mtu mweusi kama mkaa anajiita ama kujifanya mwarab huku akiona sifa, mtu huyu huyu anasahau mateso ambayo waarab waliwafanyia mababu na mabibi zetu mpaka Mze Karume kwa ujasiri akaja na wenzake kuja kuwakomboa hawa ndugu zetu kutoka kwenye ile hali ya utumwa na unyanyapaa. Wamekuwa huru toka enzi za mapinduzi lakini hapo hapo wanalalamika kwanini wametengwa na ndugu zao waarab. Wazanzibari kwa kweli wanahitaji maombi waondokane na huu ujinga walionao na ndiyo maana shule ni muhimu sana kuliko madrasat. Mtu unaenda shule kujifunza vitu na sana sana historia yako na si historia ya Saudi Arabia ama Roma/Vatican. Tafadhali tufunge kwa siku 7 tuwaombee nduge zetu Wazanzibari wapate kuelemika.

Pumba tupu, Na kwa kukusaidia tu Ujinga wako, Karume Hakumkomboa mtu, mana hakuwemo kabisa wala kushiriki kwenye Mapinduzi
 
Kama wanavyo fosiwa na Watanganyika kuwa ni wa Tanzania visiwan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Kiufup Achana nao bro tafuta hela maisha yaendelee ayo mambo yao waachie wenyewe
 
Wamekusikia ila kuna wale Wa-Znz waswahili kabisa na kuna Wa-Znz wenye asili za kiarab na hao wengi wao wana ndugu Oman, Yemen n.k
 
Zanzibar mbali sana nenda Tanga hpo waja leo warudi leo, kuna kabila linaitwa WADIGO ni weusi kama giza lkn wanapenda kujitambulisha kama ukoo wa waarabu! Niliwai kusimuliwa kua zamani walikua wanalipia kujiita ukoo wa akina Sharif!
Umenikumbusha kuna mdada mmoja mdigo alikuwa kila akipost picha zake lazima aandike caption "Mwarabu wa Tanga"
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom